Singida: Watu 6 wafariki kwa ajali ya gari

Gari ndogo hizi ni mbaya kwa safari ndefu, ipo siku ntakutafutia 4×4 moja Kali sana
Usiniumize wakati unajua natamani kuwa hata na nyumba ya vyumba viwili.Afu Siku zinavyozidi kwenda naiwazia sana nyumba kuliko mapenz.Soon nakuacha love😔
 
Acha ujinga wewe takwimu zinasoma katika afrika mashariki na kati Tanzania inaongoza kwakua na idadi kubwa ya fifo vya RAIA kwaajali kuliko nchi yeyote ile

Niwakati wetu madereva kujitambua uwapo na usafiri ufanye nn uwapo barabarani

Uchaguzi niwako ukimbie ili ufe au uwe mstarabu
 
Usiniumize wakati unajua natamani kuwa hata na nyumba ya vyumba viwili.Afu Siku zinavyozidi kwenda naiwazia sana nyumba kuliko mapenz.Soon nakuacha love[emoji17]
Usiniache, navyokupenda hivi ntapata shida sana. Kwenye nyumba hapo ndio uwanja wangu, mm ni contractor pia. Hebu tushauriane unataka ya aina ipi? Unataka iwe mbeya au dar?
 

Trafiki ee naona unatiririsha mada za lawama tu, kwani hizi ajali hazikuwepo hapo kabla!!
 
Kinana alikataza traffic kukaa barabarani, haya ndio matokeo yake
 
Mzee kinana ni jambazi yule. Anataka urahisi wa kusafirisha magendo. Traffic wangekamata meno ya tembo sasa ameona watimuliwe ili aibe vizuri.
 
Usiniache, navyokupenda hivi ntapata shida sana. Kwenye nyumba hapo ndio uwanja wangu, mm ni contractor pia. Hebu tushauriane unataka ya aina ipi? Unataka iwe mbeya au dar?
Sawa nimeghairi to leave,so I stay with you forever.....Uendeshe vyema si umeona ajali zilivyonyingi sikuhiz love?! Take care!
 
Kinana alikataza traffic kukaa barabarani, haya ndio matokeo yake
Sidhani kama ndo sababu,mbona ajali zipo Kila Leo kabla hata ya katazo.Sema madereva nao inabidi wawe makin pia na uhuru waliopewa wasiutumie vibaya.
 
Sawa nimeghairi to leave,so I stay with you forever.....Uendeshe vyema si umeona ajali zilivyonyingi sikuhiz love?! Take care!
Ahsante sana, nipo makini na sijawahi kupata accident na naombea iendelee kuwa hivyo
 
Comrade Kinana asilaumiwe kila dereva akiwa na akili timamu anapaswa kutambua kuendesha gari bila ya tahadhari (reckless driving) kunauwa, hili halihitaji uangalizi wa Traffic.
 
Haya ndio Kinana aliyataka. Watu wasafiri kwa uhuru. Maana yake watu wafe mapema.
Huu ni ushamba wetu wa kutozoea barabara zilizonyooka ndiyo maana sisi madereva limbukeni tunaona tuendeshe kwa kasi.

Magari yenyewe asilimia kubwa second hand za miaka ishirini nyuma halafu tunajisifia barabarani.

Hata Kinana asingesema kitu hizo ajali zingeendelea kutokea tu.
 
Wewe acha ligi na wanasiasa wala haitakusaidia kitu ajali zimekuwa zikitokea Mara nyingi hata kabla ya Kauli ya Kinana.Tafuta pesa weka akiba upete life.
Sina shaka, unafaidika na hali ilivyo sasa!
 
Labda kuna mama alibeba mtoto!
 
sikuona haja ya kinana kutoa ile kauli lkn ni kama mambo mengine mnambebesha bila kuwa na kumbukumbu sahihi.

sijui nyinyi watu hamna kumbukumbu au kibarua chenu mnaona kimeenda na nyasi.

mbona ajali zimekuwa nyingi kabla ya hata kauli ya kinana?

hebu pitieni related post hapo chini muangalie kabla ya kinana kuongea kulikuwa na ajali ngapi.
 
Yani umeripoti ajali na hapohapo unamlaumu kinana .
Kwani ajali haikuwepo ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…