Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiachana na makosa ya kibinadamu, hili eneo la Malendi hadi Shelui kuna kitu cha kiroho kinazunguka.
Ni kama kipande cha Ikungi hadi Manyoni.
Msamvu hadi Nanenane Morogoro etc.
Ujumbe;
Tuziombeeni sana safari zetu kwa Mungu.
Hapo ni makosa ya watu ndo yanasababisha.Huyo mungu unaemtaja hayupo na hajawaikuwepoMakosa ya kibinadamu yanavyogharimu uhai wa watu!
Inasikitisha sana lakini pamoja na kumshukuru Mungu atoaye na kutwaa uhai ila tuchukue tahadhari, nafuu kufika kesho na uzima kuliko kutarajia kufika leo kisha usifikie.
Wajaliwe kupumzika kwa amani.
Mtu aliekufa anawezaje kupumzika kwa amani? Hebu nifafanulie anapumzikaje.Do!
Poleni wote mlioguswa na ajali hii, marehemu wapumzike kwa amani.
Sure! Kuna mahali panazoeleka kwa ajali halafu ukipaangalia huoni tatizo la kijiografia.Wakati mwingine inakuwa ni madhabahu za miungu wa mkoa huo zipo hapo.Ukiachana na makosa ya kibinadamu, hili eneo la Malendi hadi Shelui kuna kitu cha kiroho kinazunguka.
Ni kama kipande cha Ikungi hadi Manyoni.
Msamvu hadi Nanenane Morogoro etc.
Ujumbe;
Tuziombeeni sana safari zetu kwa Mungu.
R.I.P.
Zamani,nilipokuwa rubani jeshini hiyo 315 ndio ilikuwa namba yangu.
Rubani wa jeshi hawatumii majina,wanatumia namba. Sijui rubani wa uraiani wanafanya vipi.
Kwa hiyo ninapotaka kufanya take-off(ninapokuwa 'njia moja') namwambia control tower,"315 take-off".
[No doubt,sasa kuna mtu ataniuliza,'Ulikuwa pilot unaitwa '315',so what?"
Halafu narudi baadaye kufanya landing,namwambia control tower,"315 traffic pattern" Traffic Pattern ndio mwendo wa mzunguko airport,kabla ndege haijatua.
Actually,mimi ni mwanajeshi,napaswa miwa kule nawashuti m23
Cha kushangaza hao ndo madereva wasomi kabisa nchiniHuko barabarani madereva vichaa ni wengi
Ova
Nadhan what's app inachangia sana taarifa kuchelewa kuletwa humu, taarifa huwa zinafika huko kwanzaSiku hizi ndio tunachelewa kunyaka taarifa kiasi hiki na hii era ya smati foni.
Wanazengo tunakwama wapi...
Mi mwenyewe ilinikosa jana asubuhi na ndiyo maana am speechlessYaani mpaka mtu unaogopa kusafiri bila sababu siku hizi.