Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliamka wazma asubui mtibeli.Maisha haya ni Mungu tu atusaidie.Duuh!
Kuna mambo bora macho yasione.
RIP
Acha tu inaumiza.Unatoka nyumbani waenda kutafuta ugari wa watoto kinachotokea ni kama inavyoonekana hapo.
hii iliripotiwa imetokea last week na walitangaza wamefarik watu 8Hizie zisizo ripotiwa ni nyingi sana mabarabarani
Waliamka wazma asubui mtibeli.Maisha haya ni Mungu tu atusaidie.
Budget ya mwaka huu ni b190 za v8.Wapo radhi kununua ma v8 na sio helicopter za uokozi kipindi cha dharura
Chanzo Cha ajalihii iliripotiwa imetokea last week na walitangaza wamefarik watu 8
Maisha ya binadamu ni kama ndizi , inazaliwa, inakua, inakomaa, inaliwa,..😭😭 kweli hakuna kitakachodumu daima.....Am speechless aisee🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Sio bongo wache v8 wawaze helicopter.Zile bajeti waliyotenga kununua v8 36 si wanunue helicopter za uokozi zinatosha kila kanda angalau kuwawahisha madaktari haraka sehemu hzi wakati gari za wagonjwa zipo njiani
Kabisa ndo maana maisha mafupi /kupanda na kushuka.Maisha ya binadamu ni kama ndizi , inazaliwa, inakua, inakomaa, inaliwa,..
Tuishi kwa kupendana na kumkumbuka mungu wetu muumba wa kila kitu katika dunia hii.
Alivamia lori kwa nyumaM
Chanzo Cha ajali
Eeeeh Mungu wangu! Namshukuru Mungu nilishakula mapema.Taarifa haijakamilika rasmi, kama kuna yeyote atakaye pata updates zaidi, basi unaweza kutuletea taarifa iliyokamilika 🤝.
• MwenyeziMungu awaweke mahali pewa wale wote waliofikwa na umauti kwenye hiyo Ajali.
• MwenyeziMungu azidi kuwapa ustahimilivu kwa wale wote waliopata majerahaa sehemu mbali mbali za mwili..
Kama dereva hajafa ni wa inatakiwa aburuzwe mahakamani kwa mauaji na afungiwe leseniAlivamia lori kwa nyuma
Hakuna kikosi cha uokoaji na vifaa hakuna, pesa wanatumia kwa anasa kwa kununua magari ya kifahari na safari zisizo na tijaTaarifa haijakamilika rasmi, kama kuna yeyote atakaye pata updates zaidi, basi unaweza kutuletea taarifa iliyokamilika 🤝.
• MwenyeziMungu awaweke mahali pewa wale wote waliofikwa na umauti kwenye hiyo Ajali.
• MwenyeziMungu azidi kuwapa ustahimilivu kwa wale wote waliopata majerahaa sehemu mbali mbali za mwili..