Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
[emoji106][emoji106]Hahah! Kila lakheri mzee wacha tuombe uzima kufikia huo umri wa kucare
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji106][emoji106]Hahah! Kila lakheri mzee wacha tuombe uzima kufikia huo umri wa kucare
Hahahahaj umetishaLe Mutuz ni single father
Sio wanawake wote wako hivyo, watoto ni baraka na zawadi kutoka kwa Mungu
Uko tayari kupima HIV?Habari zenu watu wote!
Natafuta rafiki, mpenzi na hatimaye mume awe Single Father ( kwa sababu yoyote ile)
Umri kuanzia miaka 40+
Mengine tutayajenga PM, karibu kwa aliye serious
Mbona unakimbilia kusema nimeachana na niliyezaa nae, je kama alishafariki?Kwanni umeachana na aliyekuzalisha watoto wawili?
Lets goUko tayari kupima HIV?
Wewe una miaka 19 halafu unaulizia umri jamani[emoji134][emoji134][emoji134]Wewe umri wako ni miaka mingapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe una miaka 19 halafu unaulizia umri jamani[emoji134][emoji134][emoji134]
Uko tayari kuwa nyumba ndogo? Baba/mababa wa hao wanao wako wapi? Wengine hatupendi biashara za kufumuana marindaniko na 42.....watoto wawili
nahitaji single father mwenye watoto pia
Kwa kifupi unataka kumwambia umenawa mikono. Subiri ufikishe miaka 20 ndo uanze kufikiria haya mambo ya wakubwaKila la kheri mkuu, kuwa na subira utapata hitajio lako
Kiukweli nahitaji hiyo nafas and niko 43yrs old watoto wawili mama tofauti mkubwa 16yrs old na mdogo 2yrs oldHabari zenu watu wote!
Natafuta rafiki, mpenzi na hatimaye mume awe Single Father ( kwa sababu yoyote ile)
Umri kuanzia miaka 40+
Mengine tutayajenga PM, karibu kwa aliye serious
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa kifupi unataka kumwambia umenawa mikono. Subiri ufikishe miaka 20 ndo uanze kufikiria haya mambo ya wakubwa
MmhUko tayari kuwa nyumba ndogo? Baba/mababa wa hao wanao wako wapi? Wengine hatupendi biashara za kufumuana marinda
Hakuna binadamu mbaya acha dharau na majivuno yasiyo na tija hii dunia ndugu tunapita!Nitumie picha PM. Please ukiwa mzuri tu namaliza hii kesi