Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mazingira yapi hayo?Nasemaje nasemaje
Ukitaka kuenjoy na uwe single by choice sio mazingira yakufanye uwe single 😀😀
[emoji23][emoji23][emoji23]hapo ametupiganiahapa umetema madini
bado tunakudai mchango wetu hata kama tumeachanaKuna jamaa yangu kaoa mwaka jana. Ss hv wana miezi miwili kila mtu anaishi kivyake ndo wanafile divorce. Bora sikuchanga
wala mihogo tumefikiwa😂[emoji23][emoji23][emoji23]hapo ametupigania
watasema tafuta hela hiyo sio sababu ya kusisitizahapa umetema madini
Kwakweli asee, huyu ustaadhat yuko so pure, sijui vijana mnakwama wapi yaaniwala mihogo tumefikiwa[emoji23]
Aaliyyah hana makuu, wife material kabisa, mabachela hili mlitizamewatasema tafuta hela hiyo sio sababu ya kusisitiza
kachukue notebook uandike notes sasaSanto sana!!
Umetema chechee[emoji108][emoji108][emoji108]
"Mahusiano au ndoa sio mbaya kihivyo"Mahusiano au ndoa sio mabaya kihivyo kiasi cha kutisha na kutishwa namna hii , ni ile tu unakuta matokeo yalio kinyume na matarajio.
Mie hayo nayaelewa vizuri sanaaa mkuu hapa nakolezea tu I'm experienced enough!!!kachukue notebook uandike notes sasa
Mtu asie fanya kwa ajiri ya future ni "half dead" huo ushauri wako ni wa kitoto sana.
Umeonae!"Mahusiano au ndoa sio mbaya kihivyo"
Nimeipenda hii