Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Eendiwoooooooo ndiwooo mkuu!!Umeonae!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eendiwoooooooo ndiwooo mkuu!!Umeonae!
Experience yako please, tudhibishe.Eendiwoooooooo ndiwooo mkuu!!
Hahaha sio pw😂😂😂😂 sijui dada mkubwa ameota nini leo au wamekufanyaje!
Mahusiano/ urafiki / ndoa ni nzuri kama ulivosema shida inakuja pale mtu anapoanza kubadilika na kuonesha rangi yake halisi!!Experience yako please, tudhibishe.
Nasubiri uendelee hapa ...Mahusiano/ urafiki / ndoa ni nzuri kama ulivosema shida inakuja pale mtu anapoanza kubadilika na kuonesha rangi yake halisi!!
Pia kuna sababu nyingi za kufanya mahusiano urafiki au ndoa kupumulia mashine !
ipo angalia vizuri😅Naitafuta comment ya mshamba_hachekwi siioni hii post hajawahi kuacha kucomment 😂
Mkubwa DeepPond nakusalimia
Iko wapi nikaangalie povu 😂😂ipo angalia vizuri😅
Dah! Fresh tu😂😂😂, natumai wamelipokea somo pia pole kwaugonjwa.😂😂😂Chiziwako Leo nimepona
😂😂😂Mie nimekuwa Pepo tenaUtanipeperushia ndege zangu wewe!.. ushindwe katika jina la baba toka,toka pepo la ndoa usinitie doa!,nakung'ata kwa mamlaka,mijeledi ya nguvu ikapige mapengo yako!.. uwa baba,kata baba,kamata huyu dada mtie kwenye ndoa aache kuhubiri haya ahangaikie ndoa yake asipeperushe ndege zangu,aache na kiherehere tokaaaaaaaaaa...!!
Ujumbe mzuri sana. Lkn ukiongea hivyo mbele ya walioolewa utasikia naye anajifariji kwa sababu hajaolewa ni ukweli usiopingika. Asante kwa ujumbe mzuriNatumaini mko poa
Kiukweli wakat nakua kua nilikuwa nawaona watu wako pamoja nikawa nahis mambo ni rahis sana huko ndoani
Kiukweli hali ni mbaya sana na ndoa nyingi za umri wetu zinapumulia mashine zingine zikiwa hazina hata mwaka hali inaogopesha sana
Tuwe makini makini sana wakat tunafanya maamuz haya
Kwanza Jali hisia zako wanaume wa ovyo ni wengi usijilazimshe usiolewe na Omary akili ipo Kwa juma ni kujitafutia matatizo
Unapofanya maamuz ya kuingia huko hakikisha akili imekubali kuwa utakuwa mke na sio kichwa Cha nyumba ukubali kuwa mama wa familia,maisha ya uboyfriend ni tofaut na ndoa
zile outing 10 Kwa mwez zitashuka had kua 3 Kwa miez miwili,ukubali utayajua mapya mengi usiyojua wakat wa uhusiano wenu ukubali familia zimeungana kma familiayenu mlikuwa kumi bas mna team ya pili imeongezeka jiandae kisaikolojia kukutana na watu wapya wenye tabia tofaut na ulizozoea
Usiolewe sababu ya presha ya umri na show off za mitandao na kuwarusha roho maex wako ndoa Haina mbwembwe zote hizo na sherehe Huwa ni siku moja lakin ukija kugundua upo na mtu asie sahihi majuto Huwa makubwa Zaid
tusiolewe sababu ya Mali na status ya mtu angalia mtu ambae anavision angalau mkiungana mnaweza kufanya kitu na mkawa vizuri,mwanaume mwenye pesa nying kuthamini upendowako ni asilimia 30,Mali huisha ila ukiwa na mtu mwenye utu hata wakat wa mnapitia shida maisha yataendelea kuwa na amani
usiache kupanga na kujitafuta Kwa kusubiria uolewe Anza kujitengeneza kutunza pesa zako mwenyew kufanya mambo ya maendeleo hta Kwa icho kidogo hata mwanaume akija anajua anakuja kuoa mwanamke ambae alijua maana ya kuwa mwanamke
usiolew na mtu ambae unajua kabisa tabiazake zinakukera na huwez kuvumilia huko ndoani mambo ni tofaut,usiseme atabadilika mbele ndugu watu hawabadilishwi kma ni Malaya mlevi muongo tegemea hayohayo na Zaid huko mbele
Pia tukubali hakuna mkamilifu.tusameheinapowezekana hatuna namna ya kuescape haya ndo tushaumbwa wanawake
la muhimu tusali/tuswali sana hasa Sala za usiku omba Mungu akuonyeshe ya Siri usiyoyajua kuhusu huyo mwanaume wako,Allah atuvushe salama na tuwe vijana wenye kheri na wazazi wazuri hapo badae
Kunavitu vikowazi kabisa haviitaji PhD kujuaUjumbe mzuri sana. Lkn ukiongea hivyo mbele ya walioolewa utasikia naye anajifariji kwa sababu hajaolewa ni ukweli usiopingika. Asante kwa ujumbe mzuri
Sent using Jamii Forums mobile app