Single Ladies

Utanipeperushia ndege zangu wewe!.. ushindwe katika jina la baba toka,toka pepo la ndoa usinitie doa!,nakung'ata kwa mamlaka,mijeledi ya nguvu ikapige mapengo yako!.. uwa baba,kata baba,kamata huyu dada mtie kwenye ndoa aache kuhubiri haya ahangaikie ndoa yake asipeperushe ndege zangu,aache na kiherehere tokaaaaaaaaaa...!!
 
Mtu asie fanya kwa ajiri ya future ni "half dead" huo ushauri wako ni wa kitoto sana.

Raha ya haya maisha unaishi unavotaka ww na kila mtu ana mtazamo wake as long as sivunji sheria nafanya navotaka mimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…