πππ yaishe dada mkubwa, mimi nakuita dada ujueπππ. Tangu lini umeanza ulevi, hatukopeshi ini jipya ujueππWamelipokea Bado wew nitapiga bia mbili kwanza kutoa aibuπππ
Binadamu ana pande mbili, ukijua hilo kabla hautaingia kwenye mahusiano na matarajio ya moja kwa moja.Mahusiano/ urafiki / ndoa ni nzuri kama ulivosema shida inakuja pale mtu anapoanza kubadilika na kuonesha rangi yake halisi!!
Pia kuna sababu nyingi za kufanya mahusiano urafiki au ndoa kupumulia mashine !
Tena linalopenda sifaπππMie nimekuwa Pepo tena
Nasemaje nasemaje
Ukitaka kuenjoy na uwe single by choice sio mazingira yakufanye uwe single
Ukipata mwanamke wa kumvunja moyo hakikisha unatumia hio nafasi vizuri saaana sanaPia tukubali hakuna mkamilifu.tusameheinapowezekana hatuna namna ya kuescape haya ndo tushaumbwa wanawake
Mbonisafoo mangi??Naitafuta comment ya mshamba_hachekwi siioni hii post hajawahi kuacha kucomment π
Mkubwa DeepPond nakusalimia
[emoji7][emoji7][emoji7]Imeisha hio Kungwiii lao [emoji7][emoji7]
ππ As you say you will never walk alone mkuu lazima tuende nao huwezi enda peke yakoMbonisafoo mangi??
Achana na ndoa, Tafuta HELA.
#YNWA
Jamani, kwanini?Ukipata mwanamke wa kumvunja moyo hakikisha unatumia hio nafasi vizuri saaana sana