Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Simu ili haribika, Kama vipi hebu rudia kutaja kale ka namba😂😂😂Lete tu
kwani wadada ndo wako sahihi? inaonekana kama chanzo cha matatizo ya ndoa kinatokana na wanaume! Mbona siku hizi waharibifu wakubwa wa ndoa ni wanawake! Kiasi hata vijana wanaogopa kuooa.Natumaini mko poa
Kiukweli wakat nakua kua nilikuwa nawaona watu wako pamoja nikawa nahis mambo ni rahis sana huko ndoani
Kiukweli hali ni mbaya sana na ndoa nyingi za umri wetu zinapumulia mashine zingine zikiwa hazina hata mwaka hali inaogopesha sana
Tuwe makini makini sana wakat tunafanya maamuz haya
Kwanza Jali hisia zako wanaume wa ovyo ni wengi usijilazimshe usiolewe na Omary akili ipo Kwa juma ni kujitafutia matatizo
Unapofanya maamuz ya kuingia huko hakikisha akili imekubali kuwa utakuwa mke na sio kichwa Cha nyumba ukubali kuwa mama wa familia,maisha ya uboyfriend ni tofaut na ndoa
zile outing 10 Kwa mwez zitashuka had kua 3 Kwa miez miwili,ukubali utayajua mapya mengi usiyojua wakat wa uhusiano wenu ukubali familia zimeungana kma familiayenu mlikuwa kumi bas mna team ya pili imeongezeka jiandae kisaikolojia kukutana na watu wapya wenye tabia tofaut na ulizozoea
Usiolewe sababu ya presha ya umri na show off za mitandao na kuwarusha roho maex wako ndoa Haina mbwembwe zote hizo na sherehe Huwa ni siku moja lakin ukija kugundua upo na mtu asie sahihi majuto Huwa makubwa Zaid
tusiolewe sababu ya Mali na status ya mtu angalia mtu ambae anavision angalau mkiungana mnaweza kufanya kitu na mkawa vizuri,mwanaume mwenye pesa nying kuthamini upendowako ni asilimia 30,Mali huisha ila ukiwa na mtu mwenye utu hata wakat wa mnapitia shida maisha yataendelea kuwa na amani
usiache kupanga na kujitafuta Kwa kusubiria uolewe Anza kujitengeneza kutunza pesa zako mwenyew kufanya mambo ya maendeleo hta Kwa icho kidogo hata mwanaume akija anajua anakuja kuoa mwanamke ambae alijua maana ya kuwa mwanamke
usiolew na mtu ambae unajua kabisa tabiazake zinakukera na huwez kuvumilia huko ndoani mambo ni tofaut,usiseme atabadilika mbele ndugu watu hawabadilishwi kma ni Malaya mlevi muongo tegemea hayohayo na Zaid huko mbele
Pia tukubali hakuna mkamilifu.tusameheinapowezekana hatuna namna ya kuescape haya ndo tushaumbwa wanawake
la muhimu tusali/tuswali sana hasa Sala za usiku omba Mungu akuonyeshe ya Siri usiyoyajua kuhusu huyo mwanaume wako,Allah atuvushe salama na tuwe vijana wenye kheri na wazazi wazuri hapo badae
hili naona limeanza kuwa jambo la kawaida.Kuna jamaa yangu kaoa mwaka jana. Ss hv wana miezi miwili kila mtu anaishi kivyake ndo wanafile divorce. Bora sikuchanga
Naunga Mkono HojaUkitaka haya mambo ya mahusiano yasikutese yatachukulie katika angle ya ngono zaidi sio future zaidi
Kwakweli sijui Kam Kuna aliesahihi wote tuna mapungufukwani wadada ndo wako sahihi? inaonekana kama chanzo cha matatizo ya ndoa kinatokana na wanaume! Mbona siku hizi waharibifu wakubwa wa ndoa ni wanawake! Kiasi hata vijana wanaogopa kuooa.
Tatizo w.ke wa siku hizi mnataka wenye majumba,magari n.k sasa mm kijana wa 20's hyo yote nitayapta wapi?Natumaini mko poa
Kiukweli wakat nakua kua nilikuwa nawaona watu wako pamoja nikawa nahis mambo ni rahis sana huko ndoani
Kiukweli hali ni mbaya sana na ndoa nyingi za umri wetu zinapumulia mashine zingine zikiwa hazina hata mwaka hali inaogopesha sana
Tuwe makini makini sana wakat tunafanya maamuz haya
Kwanza Jali hisia zako wanaume wa ovyo ni wengi usijilazimshe usiolewe na Omary akili ipo Kwa juma ni kujitafutia matatizo
Unapofanya maamuz ya kuingia huko hakikisha akili imekubali kuwa utakuwa mke na sio kichwa Cha nyumba ukubali kuwa mama wa familia,maisha ya uboyfriend ni tofaut na ndoa
zile outing 10 Kwa mwez zitashuka had kua 3 Kwa miez miwili,ukubali utayajua mapya mengi usiyojua wakat wa uhusiano wenu ukubali familia zimeungana kma familiayenu mlikuwa kumi bas mna team ya pili imeongezeka jiandae kisaikolojia kukutana na watu wapya wenye tabia tofaut na ulizozoea
Usiolewe sababu ya presha ya umri na show off za mitandao na kuwarusha roho maex wako ndoa Haina mbwembwe zote hizo na sherehe Huwa ni siku moja lakin ukija kugundua upo na mtu asie sahihi majuto Huwa makubwa Zaid
tusiolewe sababu ya Mali na status ya mtu angalia mtu ambae anavision angalau mkiungana mnaweza kufanya kitu na mkawa vizuri,mwanaume mwenye pesa nying kuthamini upendowako ni asilimia 30,Mali huisha ila ukiwa na mtu mwenye utu hata wakat wa mnapitia shida maisha yataendelea kuwa na amani
usiache kupanga na kujitafuta Kwa kusubiria uolewe Anza kujitengeneza kutunza pesa zako mwenyew kufanya mambo ya maendeleo hta Kwa icho kidogo hata mwanaume akija anajua anakuja kuoa mwanamke ambae alijua maana ya kuwa mwanamke
usiolew na mtu ambae unajua kabisa tabiazake zinakukera na huwez kuvumilia huko ndoani mambo ni tofaut,usiseme atabadilika mbele ndugu watu hawabadilishwi kma ni Malaya mlevi muongo tegemea hayohayo na Zaid huko mbele
Pia tukubali hakuna mkamilifu.tusameheinapowezekana hatuna namna ya kuescape haya ndo tushaumbwa wanawake
la muhimu tusali/tuswali sana hasa Sala za usiku omba Mungu akuonyeshe ya Siri usiyoyajua kuhusu huyo mwanaume wako,Allah atuvushe salama na tuwe vijana wenye kheri na wazazi wazuri hapo badae
Namba ya mtaa wenu bhana🤣😂, au uliwaza nini😂🤣🤣 AaliyyahOoho 🤣
Oyaa mshamba_hachekwi hii taarabu tuna toboaa au ndo kwisha kazi🤣😂😂Tatizo w.ke wa siku hizi mnataka wenye majumba,magari n.k sasa mm kijana wa 20's hyo yote nitayapta wapi?
Munawapoteza wenye upendo wa kweli kwa tamaa zenu tu
Mm ni mpole inshort sipendi malumbano kabisaaaa na m.ke sasa m.ke akijikuta mjuaji unamuacha tu wala hugeuki nyuma
Mpende aliyekupenda usije kumtenda
Akupendae mpendee weee mpe maneno tamuuu
Akuwidhae muwidhe weee mpe maneno tamuuu
Usijigeuze mende wee ukajikausha damuuu
Akupendae mpendee weee mpe maneno tamuuu
ana cope tu huyo, maisha yamemgongaOyaa mshamba_hachekwi hii taarabu tuna toboaa au ndo kwisha kazi🤣😂😂
Dah oya mi maisha yame ni garagazaa, na kunidekisha dunia🤣😂ana cope tu huyo, maisha yamemgonga
pambana nayo tu, lazima yawe magumu haswa kwa wenye malengoDah oya mi maisha yame ni garagazaa, na kunidekisha dunia🤣😂
Tulia ww hhhhhhhhhhhhOyaa mshamba_hachekwi hii taarabu tuna toboaa au ndo kwisha kazi[emoji1787][emoji23][emoji23]
Dah zamani utasikia dume suruali, sijui mi wangeni itaje😂🤣🤣pambana nayo tu, lazima yawe magumu haswa kwa wenye malengo
Una mnyatia Aaliyyah hujui ni ....Tulia ww hhhhhhhhhhhh
ndo ivo mkuu, pambana uukimbie umasikiniDah zamani utasikia dume suruali, sijui mi wangeni itaje😂🤣🤣