Single Ladies

Single Ladies

Natumaini mko poa
Kiukweli wakat nakua kua nilikuwa nawaona watu wako pamoja nikawa nahis mambo ni rahis sana huko ndoani
Kiukweli hali ni mbaya sana na ndoa nyingi za umri wetu zinapumulia mashine zingine zikiwa hazina hata mwaka hali inaogopesha sana
Tuwe makini makini sana wakat tunafanya maamuz haya

Kwanza Jali hisia zako wanaume wa ovyo ni wengi usijilazimshe usiolewe na Omary akili ipo Kwa juma ni kujitafutia matatizo

Unapofanya maamuz ya kuingia huko hakikisha akili imekubali kuwa utakuwa mke na sio kichwa Cha nyumba ukubali kuwa mama wa familia,maisha ya uboyfriend ni tofaut na ndoa

zile outing 10 Kwa mwez zitashuka had kua 3 Kwa miez miwili,ukubali utayajua mapya mengi usiyojua wakat wa uhusiano wenu ukubali familia zimeungana kma familiayenu mlikuwa kumi bas mna team ya pili imeongezeka jiandae kisaikolojia kukutana na watu wapya wenye tabia tofaut na ulizozoea

Usiolewe sababu ya presha ya umri na show off za mitandao na kuwarusha roho maex wako ndoa Haina mbwembwe zote hizo na sherehe Huwa ni siku moja lakin ukija kugundua upo na mtu asie sahihi majuto Huwa makubwa Zaid

tusiolewe sababu ya Mali na status ya mtu angalia mtu ambae anavision angalau mkiungana mnaweza kufanya kitu na mkawa vizuri,mwanaume mwenye pesa nying kuthamini upendowako ni asilimia 30,Mali huisha ila ukiwa na mtu mwenye utu hata wakat wa mnapitia shida maisha yataendelea kuwa na amani

usiache kupanga na kujitafuta Kwa kusubiria uolewe Anza kujitengeneza kutunza pesa zako mwenyew kufanya mambo ya maendeleo hta Kwa icho kidogo hata mwanaume akija anajua anakuja kuoa mwanamke ambae alijua maana ya kuwa mwanamke

usiolew na mtu ambae unajua kabisa tabiazake zinakukera na huwez kuvumilia huko ndoani mambo ni tofaut,usiseme atabadilika mbele ndugu watu hawabadilishwi kma ni Malaya mlevi muongo tegemea hayohayo na Zaid huko mbele

Pia tukubali hakuna mkamilifu.tusameheinapowezekana hatuna namna ya kuescape haya ndo tushaumbwa wanawake

la muhimu tusali/tuswali sana hasa Sala za usiku omba Mungu akuonyeshe ya Siri usiyoyajua kuhusu huyo mwanaume wako,Allah atuvushe salama na tuwe vijana wenye kheri na wazazi wazuri hapo badae
kwani wadada ndo wako sahihi? inaonekana kama chanzo cha matatizo ya ndoa kinatokana na wanaume! Mbona siku hizi waharibifu wakubwa wa ndoa ni wanawake! Kiasi hata vijana wanaogopa kuooa.
 
kwani wadada ndo wako sahihi? inaonekana kama chanzo cha matatizo ya ndoa kinatokana na wanaume! Mbona siku hizi waharibifu wakubwa wa ndoa ni wanawake! Kiasi hata vijana wanaogopa kuooa.
Kwakweli sijui Kam Kuna aliesahihi wote tuna mapungufu
 
Natumaini mko poa
Kiukweli wakat nakua kua nilikuwa nawaona watu wako pamoja nikawa nahis mambo ni rahis sana huko ndoani
Kiukweli hali ni mbaya sana na ndoa nyingi za umri wetu zinapumulia mashine zingine zikiwa hazina hata mwaka hali inaogopesha sana
Tuwe makini makini sana wakat tunafanya maamuz haya

Kwanza Jali hisia zako wanaume wa ovyo ni wengi usijilazimshe usiolewe na Omary akili ipo Kwa juma ni kujitafutia matatizo

Unapofanya maamuz ya kuingia huko hakikisha akili imekubali kuwa utakuwa mke na sio kichwa Cha nyumba ukubali kuwa mama wa familia,maisha ya uboyfriend ni tofaut na ndoa

zile outing 10 Kwa mwez zitashuka had kua 3 Kwa miez miwili,ukubali utayajua mapya mengi usiyojua wakat wa uhusiano wenu ukubali familia zimeungana kma familiayenu mlikuwa kumi bas mna team ya pili imeongezeka jiandae kisaikolojia kukutana na watu wapya wenye tabia tofaut na ulizozoea

Usiolewe sababu ya presha ya umri na show off za mitandao na kuwarusha roho maex wako ndoa Haina mbwembwe zote hizo na sherehe Huwa ni siku moja lakin ukija kugundua upo na mtu asie sahihi majuto Huwa makubwa Zaid

tusiolewe sababu ya Mali na status ya mtu angalia mtu ambae anavision angalau mkiungana mnaweza kufanya kitu na mkawa vizuri,mwanaume mwenye pesa nying kuthamini upendowako ni asilimia 30,Mali huisha ila ukiwa na mtu mwenye utu hata wakat wa mnapitia shida maisha yataendelea kuwa na amani

usiache kupanga na kujitafuta Kwa kusubiria uolewe Anza kujitengeneza kutunza pesa zako mwenyew kufanya mambo ya maendeleo hta Kwa icho kidogo hata mwanaume akija anajua anakuja kuoa mwanamke ambae alijua maana ya kuwa mwanamke

usiolew na mtu ambae unajua kabisa tabiazake zinakukera na huwez kuvumilia huko ndoani mambo ni tofaut,usiseme atabadilika mbele ndugu watu hawabadilishwi kma ni Malaya mlevi muongo tegemea hayohayo na Zaid huko mbele

Pia tukubali hakuna mkamilifu.tusameheinapowezekana hatuna namna ya kuescape haya ndo tushaumbwa wanawake

la muhimu tusali/tuswali sana hasa Sala za usiku omba Mungu akuonyeshe ya Siri usiyoyajua kuhusu huyo mwanaume wako,Allah atuvushe salama na tuwe vijana wenye kheri na wazazi wazuri hapo badae
Tatizo w.ke wa siku hizi mnataka wenye majumba,magari n.k sasa mm kijana wa 20's hyo yote nitayapta wapi?
Munawapoteza wenye upendo wa kweli kwa tamaa zenu tu

Mm ni mpole inshort sipendi malumbano kabisaaaa na m.ke sasa m.ke akijikuta mjuaji unamuacha tu wala hugeuki nyuma



Mpende aliyekupenda usije kumtenda

Akupendae mpendee weee mpe maneno tamuuu
Akuwidhae muwidhe weee mpe maneno tamuuu
Usijigeuze mende wee ukajikausha damuuu
Akupendae mpendee weee mpe maneno tamuuu
 
Tatizo w.ke wa siku hizi mnataka wenye majumba,magari n.k sasa mm kijana wa 20's hyo yote nitayapta wapi?
Munawapoteza wenye upendo wa kweli kwa tamaa zenu tu

Mm ni mpole inshort sipendi malumbano kabisaaaa na m.ke sasa m.ke akijikuta mjuaji unamuacha tu wala hugeuki nyuma



Mpende aliyekupenda usije kumtenda

Akupendae mpendee weee mpe maneno tamuuu
Akuwidhae muwidhe weee mpe maneno tamuuu
Usijigeuze mende wee ukajikausha damuuu
Akupendae mpendee weee mpe maneno tamuuu
Oyaa mshamba_hachekwi hii taarabu tuna toboaa au ndo kwisha kazi🤣😂😂
 
Back
Top Bottom