Ms eyes
JF-Expert Member
- Feb 4, 2023
- 4,757
- 11,922
😂 sijawahi hata kuyaona.Macho kama maboga ya tabora😂🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 sijawahi hata kuyaona.Macho kama maboga ya tabora😂🤣
Dah Toto una sura Kama mkate was maziwa😂🤣😜😂 sijawahi hata kuyaona.
Basi Nita kununulia miwa mirefu😍😜Kama kawa
Wewe nitakufumuaDah Toto una sura Kama mkate was maziwa😂🤣😜
Hii ndio noma anakuoa huyu alafu anaku.tomba yule mbaya waambie tena kwa herufi kubwa Ila sidhani km watakuelewausiolewe na Omary akili ipo Kwa juma ni kujitafutia matatizo
Nitaitafuna kwa ajili yaki, Kisha nitakunywesha juice yake😍😜Mie kibogoyo siwez kula miwa😀
Mikono laini, English figure mule mule😍😍😍. Ms eyesWewe nitakufumua
Haya maisha ni dendritic pattern. Hayana kanuni Moja na hayana unyofu kabisa. Unaweza ukaIngatia misingi uliyotaja hapo juu Kwa kiwango Cha lami lakini bado ndoa ikayumba kabisaa na mkawa maadui forever.Natumaini mko poa
Kiukweli wakat nakua kua nilikuwa nawaona watu wako pamoja nikawa nahis mambo ni rahis sana huko ndoani
Kiukweli hali ni mbaya sana na ndoa nyingi za umri wetu zinapumulia mashine zingine zikiwa hazina hata mwaka hali inaogopesha sana
Tuwe makini makini sana wakat tunafanya maamuz haya
Kwanza Jali hisia zako wanaume wa ovyo ni wengi usijilazimshe usiolewe na Omary akili ipo Kwa juma ni kujitafutia matatizo
Unapofanya maamuz ya kuingia huko hakikisha akili imekubali kuwa utakuwa mke na sio kichwa Cha nyumba ukubali kuwa mama wa familia,maisha ya uboyfriend ni tofaut na ndoa
zile outing 10 Kwa mwez zitashuka had kua 3 Kwa miez miwili,ukubali utayajua mapya mengi usiyojua wakat wa uhusiano wenu ukubali familia zimeungana kma familiayenu mlikuwa kumi bas mna team ya pili imeongezeka jiandae kisaikolojia kukutana na watu wapya wenye tabia tofaut na ulizozoea
Usiolewe sababu ya presha ya umri na show off za mitandao na kuwarusha roho maex wako ndoa Haina mbwembwe zote hizo na sherehe Huwa ni siku moja lakin ukija kugundua upo na mtu asie sahihi majuto Huwa makubwa Zaid
tusiolewe sababu ya Mali na status ya mtu angalia mtu ambae anavision angalau mkiungana mnaweza kufanya kitu na mkawa vizuri,mwanaume mwenye pesa nying kuthamini upendowako ni asilimia 30,Mali huisha ila ukiwa na mtu mwenye utu hata wakat wa mnapitia shida maisha yataendelea kuwa na amani
usiache kupanga na kujitafuta Kwa kusubiria uolewe Anza kujitengeneza kutunza pesa zako mwenyew kufanya mambo ya maendeleo hta Kwa icho kidogo hata mwanaume akija anajua anakuja kuoa mwanamke ambae alijua maana ya kuwa mwanamke
usiolew na mtu ambae unajua kabisa tabiazake zinakukera na huwez kuvumilia huko ndoani mambo ni tofaut,usiseme atabadilika mbele ndugu watu hawabadilishwi kma ni Malaya mlevi muongo tegemea hayohayo na Zaid huko mbele
Pia tukubali hakuna mkamilifu.tusameheinapowezekana hatuna namna ya kuescape haya ndo tushaumbwa wanawake
la muhimu tusali/tuswali sana hasa Sala za usiku omba Mungu akuonyeshe ya Siri usiyoyajua kuhusu huyo mwanaume wako,Allah atuvushe salama na tuwe vijana wenye kheri na wazazi wazuri hapo badae
Halafu nime shatuma zaidi ya pm 109 hunaziona ya😪😪
Hayanaga muongozo tunajua ila kufanya Kosa ambalo unajua ni Kosa ni mbaya zaidiHaya maisha ni dendritic pattern. Hayana kanuni Moja na hayana unyofu kabisa. Unaweza ukaIngatia misingi uliyotaja hapo juu Kwa kiwango Cha lami lakini bado ndoa ikayumba kabisaa na mkawa maadui forever.
Of coz inasaidia kujua baadhi ya misingi ambayo Ina operates in general.Hayanaga muongozo tunajua ila kufanya Kosa ambalo unajua ni Kosa ni mbaya zaidi
Dah kwaninj nisikuletee mkononi kabisa😂😂Tuma zingine 10 😀