Single Maza ni rahisi kuolewa kuliko ambae hajazaaa

Single Maza ni rahisi kuolewa kuliko ambae hajazaaa

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
27,031
Reaction score
49,928
Huku mitandaoni single Maza hathaminiki. Maneno meengi ila ukija field sasa mwanamke WA miaka 40 mwenye watoto watatu ni rahisi kuolewa kuliko mwanamke WA miaka 40 Bikra.
Kuzaa sio mwisho wa mapenzi.wapo watakaokupenda Tu .kwanza watoto wanaleta rizki sana.wanafungua hata Milango iliyofungwa.
 
Huku mitandaoni single Maza hathaminiki. Maneno meengi ila ukija field sasa mwanamke WA miaka 40 mwenye watoto watatu ni rahisi kuolewa kuliko mwanamke WA miaka 40 Bikra.
Kuzaa sio mwisho wa mapenzi.wapo watakaokupenda Tu .kwanza watoto wanaleta rizki sana.wanafungua hata Milango iliyofungwa.
Will power depression
 
Hawa?
tapatalk_1718970887168.jpeg
 
Huku mitandaoni single Maza hathaminiki. Maneno meengi ila ukija field sasa mwanamke WA miaka 40 mwenye watoto watatu ni rahisi kuolewa kuliko mwanamke WA miaka 40 Bikra.
Kuzaa sio mwisho wa mapenzi.wapo watakaokupenda Tu .kwanza watoto wanaleta rizki sana.wanafungua hata Milango iliyofungwa.
We una watoto wangapi nikuoe!!?
 
Huku mitandaoni single Maza hathaminiki. Maneno meengi ila ukija field sasa mwanamke WA miaka 40 mwenye watoto watatu ni rahisi kuolewa kuliko mwanamke WA miaka 40 Bikra.
Kuzaa sio mwisho wa mapenzi.wapo watakaokupenda Tu .kwanza watoto wanaleta rizki sana.wanafungua hata Milango iliyofungwa.
Sema single maza walishaonja joto la jowe so wakipata mwanaume wanajua kujituma sio ndani au nje ya uwanja wa minyanduano
 
Mkuu naunga mkono hoja ila nakurekebisha kidogo sio mwenye watoto watatu angalau mmoja au wawili mwisho kwa amateur.. Ila binti single mother wa kuzaliwa 2000 mwenye mtoto wa miaka 3 anakuwa horny kwanza k iliozaa tamu, mbichi, nyekundu, kubwa, laini n. K
 
toka ndotoni wapi umeona bikra ya miaka 40...? hizo hangover ndo zinakufadanya uone single mother wa miaka 40 aolewe aachwe dogodogo wa miaka 20! hivi unajua balaa la vitoto vya miaka 20's wewe..? hata nisikuhoji tena we namalizana nawewe ktk namna hii.. pepo toka,navunjavunja nguvu za ibilisi ndani yako,kwa damu ya moto pepo tokaaaa! nang'oa baba ua pepo mchafu ndani ya huyu single mother nateketeza,kamata baba fireeeeeeeeeee...
 
Unafosi hoja yako kwa mfano wa kijinga.

Tukisema Single mother ni wanawake walio kwenye 20's sio huko 40's.

Kwaakili zako unaona hizi nyuzi wanaume wanazungumzia Single mother humu ni wa miaka 40 huo umri hakuna anayejari hayo mambo tena wanaozungumziwa ni 20's.
 
Naona single Mamas leo wamepata Kibatala wao wa kuwatetea 🤗

Suala la Single Mama kuolewa kirahisi kuliko mabinti ambao hawajazaa huenda linachagizwa na ile maturity level yao na Utulivu.

Maana wengi wakishakuwa wamezalishwa na kuachwa, huwa ni kama wamepata funzo la maisha. Huanza kubehave kama Watu Wazima na kuacha baadhi ya Ujinga wamekuwa wakifanya enzi za u-teenager.

But sisi waswahili huwa tunamsemo kwamba Mvinyo huwa mtamu kadri ulivyokaa kwenye Chupa muda mrefu...

Changamoto muache kupasha viporo na waliowazalisha iwapo Kuna Mwanaume amekubali kukuoa na kuishi naye
 
Unafosi hoja yako kwa mfano wa kijinga.

Tukisema Single mother ni wanawake walio kwenye 20's sio huko 40's.

Kwaakili zako unaona hizi nyuzi wanaume wanazungumzia Single mother humu ni wa miaka 40 huo umri hakuna anayejari hayo mambo tena wanaozungumziwa ni 20's.
Ndo maana nimesema mitandaoni mnavisema na huku field ni tofautiiii
 
Naona single Mamas leo wamepata Kibatala wao wa kuwatetea 🤗

Suala la Single Mama kuolewa kirahisi kuliko mabinti ambao hawajazaa huenda linachagizwa na ile maturity level yao na Utulivu.

Maana wengi wakishakuwa wamezalishwa na kuachwa, huwa ni kama wamepata funzo la maisha. Huanza kubehave kama Watu Wazima na kuacha baadhi ya Ujinga wamekuwa wakifanya enzi za u-teenager.

But sisi waswahili huwa tunamsemo kwamba Mvinyo huwa mtamu kadri ulivyokaa kwenye Chupa muda mrefu...

Changamoto muache kupasha viporo na waliowazalisha iwapo Kuna Mwanaume amekubali kukuoa na kuishi naye
Wanakopesha ni wapuuuzi wachache mkuu.ila wengi wametulia kabisa
 
toka ndotoni wapi umeona bikra ya miaka 40...? hizo hangover ndo zinakufadanya uone single mother wa miaka 40 aolewe aachwe dogodogo wa miaka 20! hivi unajua balaa la vitoto vya miaka 20's wewe..? hata nisikuhoji tena we namalizana nawewe ktk namna hii.. pepo toka,navunjavunja nguvu za ibilisi ndani yako,kwa damu ya moto pepo tokaaaa! nang'oa baba ua pepo mchafu ndani ya huyu single mother nateketeza,kamata baba fireeeeeeeeeee...
Mwisho wa Bikra ni umri gani mkuu??
 
Back
Top Bottom