Single Maza ni rahisi kuolewa kuliko ambae hajazaaa

Single Maza ni rahisi kuolewa kuliko ambae hajazaaa

Mii huwa sichagui
..moyo unapoenda ndo huko huko kigezo cha single mather au multiple mather atajua yeye.

Kuna kauli sijui atakutana na baba wa mtoto sijui hili na lile hilo ni suala la kujitambua tuu kama ukipata mwenzangu na mimi akili tope ndo hivo

Ila ukipata mdada anajielewa hawezi rudia matapishi kamwe..

Na jf humu wengi wanaponda single mama ila nyuma ya pazima ndo wanaongozwa kusumbuliwa..

Unakuata faza anamkamia single mama mpaka unasema khaaa hivi mpaka wewe mkuu mbona ni mtu na heshima zako
 
Naona single Mamas leo wamepata Kibatala wao wa kuwatetea 🤗

Suala la Single Mama kuolewa kirahisi kuliko mabinti ambao hawajazaa huenda linachagizwa na ile maturity level yao na Utulivu.

Maana wengi wakishakuwa wamezalishwa na kuachwa, huwa ni kama wamepata funzo la maisha. Huanza kubehave kama Watu Wazima na kuacha baadhi ya Ujinga wamekuwa wakifanya enzi za u-teenager.

But sisi waswahili huwa tunamsemo kwamba Mvinyo huwa mtamu kadri ulivyokaa kwenye Chupa muda mrefu...

Changamoto muache kupasha viporo na waliowazalisha iwapo Kuna Mwanaume amekubali kukuoa na kuishi naye
umemaliza chief
 
Kadiri muda unavyozidi kwenda ndio chance ya kuolewa inakuwa ndogo hasahasa mwanamke anapofikisha 35yrs .Haijalishi ni bikra au anawatoto
Na katika umri huo, mwanamke ana muhitaji sanya mwanaume.anahitaji zaidi tendo
 
Back
Top Bottom