Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Mii huwa sichagui
..moyo unapoenda ndo huko huko kigezo cha single mather au multiple mather atajua yeye.
Kuna kauli sijui atakutana na baba wa mtoto sijui hili na lile hilo ni suala la kujitambua tuu kama ukipata mwenzangu na mimi akili tope ndo hivo
Ila ukipata mdada anajielewa hawezi rudia matapishi kamwe..
Na jf humu wengi wanaponda single mama ila nyuma ya pazima ndo wanaongozwa kusumbuliwa..
Unakuata faza anamkamia single mama mpaka unasema khaaa hivi mpaka wewe mkuu mbona ni mtu na heshima zako
..moyo unapoenda ndo huko huko kigezo cha single mather au multiple mather atajua yeye.
Kuna kauli sijui atakutana na baba wa mtoto sijui hili na lile hilo ni suala la kujitambua tuu kama ukipata mwenzangu na mimi akili tope ndo hivo
Ila ukipata mdada anajielewa hawezi rudia matapishi kamwe..
Na jf humu wengi wanaponda single mama ila nyuma ya pazima ndo wanaongozwa kusumbuliwa..
Unakuata faza anamkamia single mama mpaka unasema khaaa hivi mpaka wewe mkuu mbona ni mtu na heshima zako