Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
umemaliza chiefNaona single Mamas leo wamepata Kibatala wao wa kuwatetea π€
Suala la Single Mama kuolewa kirahisi kuliko mabinti ambao hawajazaa huenda linachagizwa na ile maturity level yao na Utulivu.
Maana wengi wakishakuwa wamezalishwa na kuachwa, huwa ni kama wamepata funzo la maisha. Huanza kubehave kama Watu Wazima na kuacha baadhi ya Ujinga wamekuwa wakifanya enzi za u-teenager.
But sisi waswahili huwa tunamsemo kwamba Mvinyo huwa mtamu kadri ulivyokaa kwenye Chupa muda mrefu...
Changamoto muache kupasha viporo na waliowazalisha iwapo Kuna Mwanaume amekubali kukuoa na kuishi naye
ππππumemaliza chief
Wengi wao penzi lao tamu wewe...acha kabisa ukiwa fala unaweza leo bao la mwanaume mwenzioSio wote labda mwenye akili
Mwanamke kambania mumewe mbunye jamaa kaona isiwe tabu kaenda kumbonji sebuleni kwenye sofa huku akichati na mchepuko wake sasa mwanamke anakuja kumpeleleza, anajitafutia ugonjwa wa moyo bure ilhali yote kayasababisha mwenyewe kumbania mumewe.
Na katika umri huo, mwanamke ana muhitaji sanya mwanaume.anahitaji zaidi tendoKadiri muda unavyozidi kwenda ndio chance ya kuolewa inakuwa ndogo hasahasa mwanamke anapofikisha 35yrs .Haijalishi ni bikra au anawatoto