Single men must read this..

Single men must read this..

Niambie Smile watu kama hawa unawaweka kundi gani?? Nampigia kutoka kote huku natumia pesa ya malkia halafu mtu mwenyewe hapokei
bahati yake mbaya.kampeperusha ndege wake mwenyewe.ila si upm jamani ? ana masters huyu atakufaa sana.ngoja nitafute certificate mwenzangu na mimi
 
Nna vigezo vyoote...Riwa naopoa mwaka huu! Ngoja nikaongeze vocha nianze kuimbisha...I hope it wont be like a job interview!
 
Hahahhhah, nawasubiri kkwa hamu

Kuchovya kumu au mpaka.....

Back to the point, naamini utapata mume unayemtaka japokuwa unahitajika kuwa makini sana maana ma single boy wanaoweza kupretent wamejaa.

Kwa kuwa umeanzisha safari, neno moja tu linakutosha SAFARI NJEMA.
 
bahati yake mbaya.kampeperusha ndege wake mwenyewe.ila si upm jamani ? ana masters huyu atakufaa sana.ngoja nitafute certificate mwenzangu na mimi

Huo ndio myandao bana, ngoja na mimi nitafute mkulima mwenzangu maana is and was za wasomi siziwezi tehe tehe tehe.

Muzima lakini weye????
 
Nna vigezo vyoote...Riwa naopoa mwaka huu! Ngoja nikaongeze vocha nianze kuimbisha...I hope it wont be like a job interview!
aiyaaa nilikuwa nakumendea wewe!daaah naona huyu mdau kanipeperushia ndege wangu
 
Huo ndio myandao bana, ngoja na mimi nitafute mkulima mwenzangu maana is and was za wasomi siziwezi tehe tehe tehe.

Muzima lakini weye????
mi sijambo bwana.nipo nalima kijijini huku njoo basi mi natafuta mwenye kujua kulima tu,ajue aina za udongo,majira ya kilimo, mbegu bora nk
 
Its never too late...bado natafuta vocha, you still have few more minutes to change my mind..PM!
mi sijuagi kucheza na deadline,awali ni awali wanasemaga hakuna awali mbovu bwana alowai kawai!
 
LOOKING FO A LIFETIME PATNER(HUSBAND).

Name: Mpweke wise
Age: 29
Occupation: businesswoman/enterpreneur
Education: Bsc, Msc
Religion: Christian (RC)
Height: 170cm

Hobbies:
computerising, reading, travelling, n music
Additional information: A very good looking mother of one, independent, loving and caring, God fearing, love to have fun. Kwa yeyote aliye serious anayehitaji mke aliye mwema, check me kwenye 0764529787. Lakini only if unameet vigezo vifuatavyo:

Age: 30 - 45
Occupation: Any
Religion: must be a Christian
Education: at least kadegree kamoja
Height: asipungue 168cm
[SUB]Single fathers watapewa kipaumbele!

[/SUB]
Good luck!!

Mimi nimepungukiwa kimoja tu umri, i'm 27yrs!
 
vipi mama nina kadegree ka kutibu mbwa nimesomea medical ila uko teari tuka msend kid wako vitengo vya kulelea yatima hicho ndo kigezo na mimi
 
M-PESA Till unazingua watu! By the way just quick analysis nadhani una Multiple Personality Disorder...pole!
 
I am now reachable guys, unajua binadamu tunatofautiana sana kuna mtu from nowhere alianza kunipigia mara ya kwanza tukaongea vizuri then baadae akaanza simu za matusi na kusema mambo mengi as if ananijua, kanipa matusi mpaka ikabidi nimpe true identity yangu, kwa jinsi nilivyomwelewa amefananisha particulars zangu na one of his ex, ila nashukuru amenielewa sasa.

sijapost hii topic kama masikhara, niko serious na yeyote aliye serious tuwasiliane.
 
Tuambie kwanza huyo baba wa mtoto yuko wapi! Kama amekufa ni kwa ugonjwa gani, ikiwezekana weka death certificate yake,kama amekuacha kisa nini?

nitamweleza mtu personally atakaewasiliana na mimi, siwezi kumuanika hapa.
 
LOOKING FO A LIFETIME PATNER(HUSBAND).

Name: Mpweke wise
Age: 29
Occupation: businesswoman/enterpreneur
Education: Bsc, Msc
Religion: Christian (RC).

Height: 170cm

Hobbies:
computerising, reading, travelling, n music
Additional information: A very good looking mother of one, independent, loving and caring, God fearing, love to have fun. Kwa yeyote aliye serious anayehitaji mke aliye mwema, check me kwenye 0764529787. Lakini only if unameet vigezo vifuatavyo:
Age: 30 - 45
Occupation: Any
Religion: must be a Christian
Education: at least kadegree kamoja
Height: asipungue 168cm
[SUB]Single fathers watapewa kipaumbele
[/SUB]
Good luck!!
ungekua mke mwema ucngezeeka bla mume una ttz thts y umezalshwa ukaachwa!!ni mtazamo tu
 
Ah...hutaki Kuwa mke wa pili ka mkulima kama Miami....?
 
Back
Top Bottom