Single men must read this..


I'm kinda interested. A pic speaks a thousand words
 
Mi babu ila sina mke kuna hobie yako sijaipenda ya kwako “kussfiri” pita kushoto

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Huko kote ulikosoma hadi Msc ulikuwa unasoma peke yako? Kama watu uliowaona na wao wakakuona kwa macho hawakuwa na sifa unazozitaka unatarajia kuwapata kwenye mtandao? Kumbuka 'Aoae mbali na kwao asipodanganya hudanganywa'.
 
mi sijambo bwana.nipo nalima kijijini huku njoo basi mi natafuta mwenye kujua kulima tu,ajue aina za udongo,majira ya kilimo, mbegu bora nk

Kama ni mkulima basi tupi pamoja, itabidi nije nitembelee shamba lako ili nijifunze baadhi ya nisiyoyajua katika kilimo changu.
 
Mmh mi vyote nafit hivyo vigezo vyako lakin lielimu lako ndio linatisha mi mwoga sana wa mfuo JIKE.
msiogopa karibuni
 

Sijui niapply hapa, nahisi interview inaweza ikanishinda, kama vipi #pass
 
Hahahahahahahahahahah!
Mapenzi siku hizi kigezo ni degree?
Mi simo napita tu!!
Shule muhimu dada, sasa mtu ana Masters achukue std seven kuna maelewano humo ndani. Inabidi uwezo wa kufikiri uendane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…