Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
We bado mwanafunzi ipende elimu sana kuliko mapenzi.
Nipo
Tutaona Mengi
Sawa mkuu, watakuja
Best luck
Hivi humu kuna anaependa kudate na wewe? Yule wa m60 vipi hawezi kukupa kampani?
6' awe na pesa maana ndio ugonjwa wenu.
Unabip
Unabip eeeh""" kila la kherii
Mhenga anajiita katoto kazuri.
Ukizeeka utaacha.
Genye mbaya sana
Sasa stress zitatokaje bila ya kutafuna biology
Umalaya uko kwenye forms nyingi sana nowdays.
By the way huna uzuri wowote. Humu JF wanawake wazuri ni wa kuwatafta kwa bainokla.
Wewe ni mwanafunzi halafu unatafuta mboo??!
Angalia usije ukala supp, kila la kheri
Msiniulize nmejuaje.Upo kwenye siku zako?
Huyu ni Mwanaume aumiaye ID ya kike.
huko PM mkienda, anataka sana kujua Kazi yako,,,,Mahali unapokaa, jina ,,namba n.k.
Baadae atakutafutia sababu ya kuokutana naye, huku tayar umeshampa Faili la Details zako.