mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
nimeshtuka tušNoo, kawaida mkuuš¤
sema nini, maisha hayana formula
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimeshtuka tušNoo, kawaida mkuuš¤
Wanaume sio watu wa kuwaaminišSo nice,uamuzi sahihi
Nikuite mbwa au sio?nimekaa palešš¾
nakunywa fanta
Mbona Delila alitufanya mbaya wanaume na hatulalamiki ?Fear men, mimi na wanaume ni hiviāļø
Sheemeji leo umeniuzunisha sana š¤Øš¤Ø Zulu man naomba uzibe pengo vyema mama wa watu bado moyo unavuja damMwenzenu huu usinglemom ulinikuta chap Kwa haraka...Yaan bila kutarajia...mtu niliyemwamini na niliyekuwa na malengo nae alinigeuka....nikisema iliingia Kwa bahati mbaya nitakuwa nadanganya...tulipanga Nami nilijiaminisha Kwa sababu Kuna hatua tulipitia ambazo nikajua yessss,nimelipata bwana!
We bwana wee...kumbe nimepatikana ...Yaan Ile kitu kutiki tu jamaa akasema "katoe mimba".....nyie wadada wenzangu mnaotupondea singlemoms...siyo Kwamba sikuweza kumeza P2 au miso-p au kwenda hospital kukwanguliwa...noo,ningeweza ila tu huyu kiumbe nakuwa na hatia.So mwishowe nikazaa huyu son wangu...jamaa alichoniambia ni kuwa...umezaa basi umejipanga kulea I mean haijawahi toa hata Senti kulea mwanangu then Leo hii anajitutumua anataka mwanaye.Teh!
Sasa point yangu ni ipi ya kuwakusanya wamama wenzangu...ni hivi...hatujaua,tumezaa,tunalea....na huenda tukawa tumebahatika kupata wanaume wema wanaotupenda siye na wanetu...sasa ninachokuuliza ..hivi wenzangu mnawezaje kuendelea kuwasiliana na mwanaume aliyeshindwa kukupa thamani ya kuweka ndani na akakuacha na mtoto....mnawezaje kuvua nguo tena Kwa mwanaume ambaye si mumeo Yaan Ex tena aliyekudharaulisha? Aisee,mwenzenu nimeshindwa....nilimwambia nitakuwahisha kunizoeašš¤Ø
NB:sijawahi mjaza sumu mwanangu...hicho ndicho nilichoshinda....namwacha ajue yeye ndo atachambua magugu na ngano.Hongereni Kwa kupambana wanawake wenzangu kulea ni Kaz kweli.Nawapenda sanašš
šššš, siunajua observers wa uchaguzi hata kama kuna wizi wa kura, wao usema uchaguzi ulikuwa huru na wa haki.š¤£š¤£Wee,sema kweli!?
Si tulikubalina tuna zaa mwaka uhuFear men, mimi na wanaume ni hiviāļø
Unakula tu,Wala hakuna shida mkuuMimi ni Observer tu,
šššš, siunajua observers wa uchaguzi hata kama kuna wizi wa kura, wao usema uchaguzi ulikuwa huru na wa haki.
Sema daah, mnapitia nyakati ngumu, kuna single mom of 2 daughters, anataka nimuoe, mimi huyuš³š³š³š³š³, hapana.
šSi tulikubalina tuna zaa mwaka uhu
Mbona Delila alitufanya mbaya wanaume na hatulalamiki ?
Shemej nampenda kweli sanaMwache binti wa watu
Huyu kijana mwache,usimuhusishe kwenye issue hii... please I beg u... Namweshimu sanaSheemeji leo umeniuzunisha sana š¤Øš¤Ø Zulu man naomba uzibe pengo vyema mama wa watu bado moyo unavuja dam
Sema kuna wanaume jau sana na majeuri ole wake mwanaume wa hivi aje kwa dada yangu mwangu naua
Ahahahah unanikataaš
LimepitaHuyu kijana mwache,usimuhusishe kwenye issue hii... please I beg u... Namweshimu sana
Sina ratiba hiyo mbonaAhahahah unanikataa