Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake Mkimpa mwanaume papuchi, mnaona kama mmefanya uwekezaji wa mabilioni ya shilingi IronbutterflyHivi wadhan nasi wanawake hatuhitaj ngono kama burudan tu?wadhan wanawake wanahitaj ngono kwaajil ya mimba kila wakati?no,unafel wapi wewe?mie nakuona mjanja wa mjin afu unaonyesha mitizamo ya watu wa sitimbi huko🤔🤔
Idiot huna lolote wewe ndio walewale washika ukuta mnakojolewa na kila mtu...ndio maana imekuumaIi uheshimike ni lazima Uheshimu. Hakuna atakayekuunga mkono kwa kauli yako ya kijinga uliyoiandika hapa
Hapo unamwadhibu mtotoMwanae watakutana mbele siyo mikononi mwangu.Mwanae yupi kwanza ?
Madhara ya hiki kitendo ni makubwa Sana sio kwake tu bali kwa Kila mtu wakiwemo watu back.huenda hata wewe akakugusa Kama jamiiMwambie tu. Mwanao ukweli bali usidanganye
. Mwambie babako alisema ni kuchomoe
Usiongeze maneno wala ujsipunguze, yeye mwenyewe ataamua kumsamehe au kuendeleza palipo ishia
Sawa MkuuAsilimia 99% ya single mother hawana akili pindi wanapo pata mwanaume mpya
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
There's no God in your equation! Ushafeli.So
So kwa hiyo ww mabinti zako utawatafutia?
Sawa siku hizi kuna vitu vyingi ambavyo sio vizuri kwa mabinti zetu,ila havizuii kumfundisha binti yako.
Kazi ya mzazi ni ni kuongea na binti, kumpa hali halisi ya ulimwengu ulivyo, kumweka karibu na Mungu na kumfundisha nini maana ya thamani ya usichana wake na ndoto zake.
Tatizo la siku Jando na Unyago tumevipiga teke,ulikuwa ni mfumo mzuri sana wa kuwaandaa vijana. Nenda vijijini kule,single mothers unawatafuta kwa tochi,unakuta kijana kaoa ana mji wake na anashughuli zake.
Sasa njoo mjini huku vijana wa siku hizi wame invest kwenye alkasusu,vumbi na gym na mabinti wenye ndio hao akili yao imetawalia na mafundisho ya social networks, tamaa za fedha,hawana hofu ya Mungu na hawana mafunzo ya Jando na Unyago so lazima haya ya tokee.
Upo kama sigara kali. Proving your point ipi?There's no God in your equation! Ushafeli.
Sasa ya huko kijijini si you're just proving my original point!! We're on the same page then.
sio wote mkuu haata mimi nikitaka kuoa naoa singo mamaSingo maza wote mbumbumbu bogus OmbaOmba wagawa utamu hopeless wapenda waume za watu wamejaa stress wachawi wana roho mbaya... Vijana msithubutu kuoa singo maza hawanaga akili