Single Moms njooni tuelimishane kitu hapa

Single Moms njooni tuelimishane kitu hapa

Nyuzi kama izi hunifanya roho iniume....
Mdogo angu anae nifuata ni alumin wa havard,
Alikuaga na io ndoto Mimi nili muona mwendawazimu.....sure UNAWEZA KUA YEYOTE kikubwa usikate Tamaa pambania ndoto........
 
Katika majaribio yangu yaliyowahi kufeli vibaya ni ya kutaka kuoa single maza. Yaani pata picha jaribio la kumtaka kumpindua Kagame au Omar Bongo lifeli halafu ukamatwe..![emoji24]

Single mama wa kwanza nilimkuta kabisa hana mtu na tukaanza mahusiano. Ila ndo wakati penzi linaanza kunoga mara single mama kapata kazi TRA makao makuu pesa kibao. Ex wake ghafla akajitokeza na mimi nikapigwa chini bila huruma. Nakumbuka nilipewa onyo nisimfuatilie. Nikakubaliana na hali na ku-move on.

Single mama wa pili ni binti niliyempenda sana kabla ya kuwa single mama ila akawa ananikataa. Naye nilimkuta kawa single mama na kiuchumi hakuwa poa. Nikasema nijaribu ila kwa tahadhari. Kilichofanya nimkimbie kimyakimya ni kuona ananibebesha sana majukumu ya mtoto wake utadhani mimi ni baba wa damu. Nikajitoa.

Baada ya hapo nikakata shauri la kutojihusisha na single mama tena kwa sababu pia hata watu wangu wengi waliowahi kuoa single mama hawajaweza kuishi nao hadi mwisho. Wengi wameachana. Ninashauri kina dada MSIFANYE NGONO ZEMBE KABLA YA NDOA. Mwambie jamaa avae condom au wekeza hela zako kwenye P2 ili dunia iendelee kuwa sehemu salama kuishi.
Pole sana mkuu
 
. Sasa ninachokuuliza hivi wenzangu mnawezaje kuendelea kuwasiliana na mwanaume aliyeshindwa kukupa thamani ya kuweka ndani na akakuacha na mtoto. Mnawezaje kuvua nguo tena Kwa mwanaume ambaye si mumeo Yaan Ex tena aliyekudharaulisha? Aisee,mwenzenu nimeshindwa!.


WEWE NI MWANAMKE MWENYE AKILI SANA KAMA NI KWELI UPO HIVI.
Naomba nikupende kwa kipengele hicho.

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Maybe mkiwa na mijadala hivi itawashape. Awali nilikuwa na mtazamo fair kuhusu SM, but after experience, mtazamo ulinibadilika kuwa wa mashaka, ingawa haujafika hasi.
Kweli huu ni mjadala mpana sana. Sababu kuna binadamu wana kusudi sana.

Hata hivyo mwanamke kulea mtoto peke yake automatically anahitaji maua yake.

Wanawake waliolea watoto pamoja na waume zao tunawapa maua yao daily kwa kuwaimbia nani kama mama, sasa SM’s ni zaidi ya mama.
 
Chanzo cha usingo maza....baadhi yenu mna mdomo sana,
Ili mtu shikishe adabu mnashika mimba na hapo kale ka akili cha hovuo utujia,
 
You have hit the nail on the head 💪💪.


Singlemom wasokua na Uchumi huru, ndio wanaonyanyasika.



That's why, Mwanamke aliyeolewa mwenye kazi, akiona mwanaume anazenguaa, anatomba Talaka !!.
Boss hilo neno unalitumia sana? Keybord yako imelizoea 😀
 
Hongera sana dear Lea mwanao
ila kulea ni kugumu sana hasa Kwa mzazi mmoja umepambana mno na Mungu atakupa mtu sahihi
 
Binti/msichana liogope kundi hili.
1 F*ckboy.
2.Playboy.
3.Mume wa mtu .

Hilo ndilo group linalo ongoza kutengeneza single mother, moja na mbili hawa kazi yao kutengeneza mwonekano, kushinda gym na mwendo wa kuulamba ila hawana time na mimba. Namba tatu hao wana hela hapo ndipo dada zangu wanapo potezwa.

Kundi hili.
Church boy /Kijana wapole hawa ndio wa kukomaa nao na mara nyingi wako real sana na wapo tayari kubeba misalaba yao kama baba,tatizo wanawake wengi zaidi ya 70% huwaga hamuwapi nafasi,mnawaona wamepooza,mara hawajui kuvaa nk.

NB
Dada yangu acha unyonge, so always kuna second chance ukiipata husiipaishe,maana wengi wenu kwa wababa mliozaa nao beki hazikabi.
📌📌📌
 
Ashakhum si Matusi, hata mama yako, shangazi yako, Dada yako au Mkeo anaweza kuwa Single Mom

Usihukumu na kutukana Binadamu wenzio

Mtu anakuwa single mom kwa kufiwa na Mumewe au kwa kuachwa bila sababu halafu analea mtoto peke yake mpaka anakuja kuwa Daktari, Mwanasheria, Mwalimu, Mhandisi n.k

Hili jambo wengi huwa wanajudge kishabiki lakini hata hapa wapo waliolelewa na Single mothers

Ni ushauri tu
Ni Kweli kabisa umefafanua vizuri waache ushabiki wengine walifiwa na waumezao wengine waliolewa wakaachwa
 
Singo maza wote mbumbumbu bogus OmbaOmba wagawa utamu hopeless wapenda waume za watu wamejaa stress wachawi wana roho mbaya... Vijana msithubutu kuoa singo maza hawanaga akili
Inawezekana wewe mwenyewe umelelewa na Mama yako tu na Baba yako humjui. Jitambue na Heshimu Wanawake Kijana 😡😡😡
 
Single mothers wengine ni hawajawa hivyo kama ulivyokuwa wewe. Wengine wamekuwa hivyo kwa ujinga wao wenyewe.

Kuna mtu ni single at the same time bado ni wife material na kuna wengine ni hopeless na walikuwa hivyo hata kabla ya kuzalishwa.

Ukiwa single mom halafu ukawa KILAZA utapata tabu sana aisee.
Ni kweli aisee
 
Mwambie tu. Mwanao ukweli bali usidanganye
. Mwambie babako alisema ni kuchomoe
Usiongeze maneno wala ujsipunguze, yeye mwenyewe ataamua kumsamehe au kuendeleza palipo ishia
Naogopa kumjengea chuki moyoni....hapaswi kukua na maumivu moyoni niliyosababisha mimi
 
Back
Top Bottom