Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sasa mdau ikowa ni hivyo utakuwa unajirizishaje kingono?Fear men, mimi na wanaume ni hivi[emoji3538]
Ukishamuachia binti kazi ya kutafuta mwenza mwenyewe ushafeli. She might not become a single mum, but the behind the scenes..!! Siku hizi heart break ni rite of passage! Society/parents have failed big time here!Binti/msichana liogope kundi hili.
1 F*ckboy.
2.Playboy.
3.Mume wa mtu .
Hilo ndilo group linalo ongoza kutengeneza single mother, moja na mbili hawa kazi yao kutengeneza mwonekano, kushinda gym na mwendo wa kuulamba ila hawana time na mimba. Namba tatu hao wana hela hapo ndipo dada zangu wanapo potezwa.
Kundi hili.
Church boy /Kijana wapole hawa ndio wa kukomaa nao na mara nyingi wako real sana na wapo tayari kubeba misalaba yao kama baba,tatizo wanawake wengi zaidi ya 70% huwaga hamuwapi nafasi,mnawaona wamepooza,mara hawajui kuvaa nk.
NB
Dada yangu acha unyonge, so always kuna second chance ukiipata husiipaishe,maana wengi wenu kwa wababa mliozaa nao beki hazikabi.
Ntarud kusoma comment ๐๐๐คฃ๐คฃ๐๐คฃ๐๐คฃMwenzenu huu usinglemom ulinikuta chap Kwa haraka. Yaani bila kutarajia mtu niliyemwamini na niliyekuwa na malengo nae alinigeuka. Nikisema iliingia kwa bahati mbaya nitakuwa nadanganya tulipanga nami nilijiaminisha kwa sababu kuna hatua tulipitia ambazo nikajua yessss, nimelipata bwana!
We bwana wee kumbe nimepatikana, yaani Ile kitu kutiki tu jamaa akasema "katoe mimba" nyie wadada wenzangu mnaotupondea singlemoms. Siyo kwamba sikuweza kumeza P2 au miso-p au kwenda hospital kukwanguliwa noo, ningeweza ila tu huyu kiumbe hakuwa na hatia.So mwishowe nikazaa huyu son wangu, jamaa alichoniambia ni kuwa umezaa basi umejipanga kulea I mean hajawahi toa hata Senti kulea mwanangu then Leo hii anajitutumua eti anataka mwanaye.Teh!
Sasa point yangu ni ipi ya kuwakusanya wamama wenzangu...ni hivi...hatujaua,tumezaa,tunalea....na huenda tukawa tumebahatika kupata wanaume wema wanaotupenda siye na wanetu. Sasa ninachokuuliza hivi wenzangu mnawezaje kuendelea kuwasiliana na mwanaume aliyeshindwa kukupa thamani ya kuweka ndani na akakuacha na mtoto. Mnawezaje kuvua nguo tena Kwa mwanaume ambaye si mumeo Yaan Ex tena aliyekudharaulisha? Aisee,mwenzenu nimeshindwa. Nilimwambia nitakuwahisha kunizoea๐๐คจ
NB: Sijawahi mjaza sumu mwanangu hicho ndicho nilichoshinda namwacha akue yeye ndo atachambua magugu na ngano. Hongereni kwa kupambana wanawake wenzangu kulea ni kaz kweli.
Nawapenda sana๐๐
Asante Kwa maarifa ๐ค๐ single mama tumieni notes za Bure Ili usije zalisha single mama mwingine....................Binti/msichana liogope kundi hili.
1 F*ckboy.
2.Playboy.
3.Mume wa mtu .
Hilo ndilo group linalo ongoza kutengeneza single mother, moja na mbili hawa kazi yao kutengeneza mwonekano, kushinda gym na mwendo wa kuulamba ila hawana time na mimba. Namba tatu hao wana hela hapo ndipo dada zangu wanapo potezwa.
Kundi hili.
Church boy /Kijana wapole hawa ndio wa kukomaa nao na mara nyingi wako real sana na wapo tayari kubeba misalaba yao kama baba,tatizo wanawake wengi zaidi ya 70% huwaga hamuwapi nafasi,mnawaona wamepooza,mara hawajui kuvaa nk.
NB
Dada yangu acha unyonge, so always kuna second chance ukiipata husiipaishe,maana wengi wenu kwa wababa mliozaa nao beki hazikabi.
All in all siamini kama To yeye ni single mama....ntakua wa Mwisho kuamini ๐๐Wamepinga mpaka nimechoka kusoma comments zao๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐
Sawa๐Ndiyo hivyo mkuu
Shemeji anaendeleajeNdiyo hivyo mkuu
Msamilie ๐Mzima kabisa
Kwani hao masinlge mama wanaoongezeka kila siku ni watoto wetu!!!Asante Kwa maarifa ๐ค๐ single mama tumieni notes za Bure Ili usije zalisha single mama mwingine....................
mnapeana mautraaamu tu ๐๐ anafaidi umoto umoto wa black beautyBARIKIWA
haya basi msalimie tu ๐๐Can you stop this Please?
So kwa hiyo ww mabinti zako utawatafutia?Ukishamuachia binti kazi ya kutafuta mwenza mwenyewe ushafeli. She might not become a single mum, but the behind the scenes..!! Siku hizi heart break ni rite of passage! Society/parents have failed big time here!