Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Sasa hapo tatizo ni nini kama hakulea huko nyuma si ndio ataanza au mtoto amisha fika 18+ haihitaji kulelewa tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahihi mkuuShida ilianza na ninyi wanawake kutaka wanaume wastaarabu wawajie na kuwatokea ninyi wanawake kwa style za kihuni.
Haiunaga mwanaume mstaarabu mwenye lengo la Ndoa na wewe atataka kukupeleka clubs, sijui maeneo ya bata, au atataka kukupa pesa ya saluni ili ukaweke fake hair na kuweka yale makucha kama reki. Its you women ambao mlianzisha huu mchezo.
Now u can't even tell the difference between muhuni na mwanaume mwenye dhamira nzuri.
Jana tu i was talking about this kwenye uzi somewhere. Wanawake wa siku hizi kudate now its not like what it used to be back in the days.
Mwanaume akimpenda mwanamke huwa hana dhamira ya kuoverspend alichonacho kwa huyu mwanamke ili kumuimpress maana ni hatari kwa uhusiano wao siku za mbeleni, ni vipi kikiisha atamuimpress na nini tena?! So mwanaume atataka mwanamke anaempenda approve namna gani ataweza sustain mahusiano yao at the lowest cost possible maana maisha hayana guarantee.
Shida sasa ni ninyi wanawake kulazimisha na kutaka wanaume watumie kwenu kwa nguvu yaani unataka kwa nguvu mwanaume atoe pesa akupe wewe bila kujali ana income source gani, na hapo tu ni umekutana nae na haumjui personality yake, how is it possible kwa huyu mtu kukupenda au kukuvalue wewe mwanamke ambaye umeshaprove kuwa ni takataka na hauna self consciousness?
Mwanaume ambaye atataka kuspend on you lavishly ni yule ambaye amekuona wewe hauna akili kama mwanamke na unatakiwa kurubuniwa ili yeye apate anachotaka, and i guarantee you ukiingia line kwenye akili yake kutaregister kuwa wewe upo kwake kupata vitu vizuri na hii automatically itamjenga kukaa na wewe kwa mashaka hence hakutakuwa na mapenzi ya dhati na lazima atatafuta nje huko.
Huyo mwanaume wako amekutazama ameona unamkamua ndio maana alikataa ujauzito wako aliona ni mtego wa kumkamua zaidi. Imagine unatoka na mdangaji mtu ambaye kila sms mbili amekutangazia njaa anataka hela, huyu ukizaa nae si itakuwa yeye, mtoto na ukoo wake wanakuandama kutaka uwape matumizi, kwa kipato gani sasa uweze kusapoti watu wote hao?
Wanaume hawajaumbwa kulalamika na kuongea hovyo, akishaongea mara moja take it very serious usilazimishe aongee zaidi tena kwa ukali ndipo uelewe. Ubishi ndio huwa unawaponza ninyi viumbe kwa kutokuwa watayari wa kutii na kuelewa maelekezo.
Anyways, huu mchezo ni ninyi ndio mlibadilisha rules of engagement. Wanaume tulitaka utaratibu mzuri tu wa kuanzia chini tukienda juu of which is natural hakunaga mtu anaanzia juu kwenda juu zaidi. But ninyi mnalazimisha tuanzie juu na hapo ndipo mnaona wanaume waongo, ila nani anaependa kuambiwa uongo kati ya mwanaume na mwanamke?
Amina, ubarikiwe sana mkuu🙏To be honest mwaka jana nilikuwa na msichana mmoja ni single mom.
Alipata mtoto akiwa o"level ofcoz ni wale wasichana ambao possibly kwao walikuwa wanafungiwa sana. Sasa naona upenyo ule wa shule na kutokujitambua vizuri akabeba mimba.
Niliona tunaweza kuwa pamoja lakini kwa kipindi ambacho tulikuwa kwenye mahusiano kama miezi 10 niliona itakuwa ngumu sana kufanya nae maisha.
Kwanza alikuwa anasema mtoto wake ni roho yake hivyo mtoto wake kwanza kisha ndio mengine yanafuata. Sasa kuna baadhi ya mambo alikua anafanya mtoto wake (niwa kike) unaona kabisa sio mazuri lakini ilikua ni ngumu sana hata kumshauri. Na hapo hata tulikuwa hatujaanza kukaa pamoja.
Sasa ukimzingatia mtu mwenye mtazamo wa namna hiyo kwa kweli ni ngumu sana.
Nalimpenda kwa moyo wote lakini rohoni mwake alikua na jeraha kubwa kiasi kwamba jambo dogo tuu. Tayari anawasha taa nyekunde (so inferior).
Tuliachana ndio pamoja na mengi mazuri yalikuwapo katikati yetu lakini kwa ajili afya ya akili na utulivu wa nafsi nilimuomba tuachane maana palikua pia na changamoto zingine za usabato.
Mungu awabariki sana single moms wote. Ila jitahidini msali sana maana pamoja na nguvu mlizonazo(physical strength and tolerance). spiritual mpo weak sana, msipo jitahidi kwa maombi wanaume wa hovyo wataendelea kuwasumbua sana.
Ni kweli tunajaribu kuwasaidia. Maana hatupendi kuishi mbali na damu zetu ila mazingira hayaruhusu kuishi nao.🤣🤣🤣🤣Wengi ni single father na wanahasira mno mkuu
Kuna dada mmoja kazaa na wanaume watatu tofaut,huyu watatu ndo anaishi naye..ni kama Mario,hana ramani yoyote.Ukiona hivyo mantiki yake ni kwamba anataka watoto wake wawe na baba mmoja. Huwa wanaona kuna unafuu fulani mbele ya jamii watoto wakiwa wa baba mmoja kuliko baba wakiwa tofauti...
Ashakhum si Matusi, hata mama yako, shangazi yako, Dada yako au Mkeo anaweza kuwa Single MomSingo maza wote mbumbumbu bogus OmbaOmba wagawa utamu hopeless wapenda waume za watu wamejaa stress wachawi wana roho mbaya... Vijana msithubutu kuoa singo maza hawanaga akili
Nadhani ni michango kama hii ndio inayowaambia watoto wa kike kuwa si tatizo kupata mtoto nje ya mahusiano kuna wanaume wasiojali una mtoto ama la watakuoa. Je, kiuhalisia wanawake wenye watoto wanakuwa na Desirability Degree kiwango sawa na binti ambaye hana mtoto katika Soko la mahusiano (Relationship Market), unataka kunambia wanaume hatuna tatizo kuoa binti ambae kacheza na usichana wake na kisha kaja kuamua kutulia akiwa tayari ametumika kama gari la mkaa na watoto huu?Kua singo mama sio ulemavu.
Sisi wanaume wa Kanda ya ziwa, hata kuoa ,tunaoa, na Mahari tunatoa Kwa singo mama.
Tatizo mnawapenda wa dasalama na mikoa mingine, hao ni waoga ,wanaogopa sana !!.
Kurudi kwenye Mada !!.
Kuzaa ni kielelezo tosha Cha Uwezo wako wa kuendeleza kizazi.
Usiumie, Kuna vyanamke vimeshatoa mimba lukuki yaan ukiviangalia tu usoni, unaona kabisa jina la siri limeandikwa kwenye paji lake la uso "Babeli Mkuu, Mama wa marehemu" !.
Kwa Nyie mlobena mimba, mkazaa,. Hongereni, Leeni watoto wenu, Wakiume awe na uanaume, wakike awe na uanamke.
Hapo kwenye kupasha kiporo Sasa, Nadhan kama mwanaume alikataa mimba, ukipasha naye kiporo unakua kweli ni mjinga, ila Sasa nyie Wanawake hamshindwi kitu, Huwa mnapasha tu, jamaa akianza kujirudi Kwa vinguonguo .
Lkn kama hajakataa kulea analea, Hela anatoa, sio lazima akuoe ,pengine umezaa na mwanaume kama Mimi !!. Wee muhim furahia mtoto ana bima ya Afya, anasoma shule Bora, anakula na kuvaa na kupata mahitaji yake, naaaaa, Kwa sisi wengine, Tukituma Hela Kwa Mzazi mwenzetu, Huwa tunaweka na kijihela Cha nyongeza Kwa sababu tunajua na Mama yake naye anataka kuvaa vizur, apendeze ,n.k!!.
Msife mioyo wapendwa !!!
🙏🙏🙏🙏🙏Ashakhum si Matusi, hata mama yako, shangazi yako, Dada yako au Mkeo anaweza kuwa Single Mom
Usihukumu na kutukana Binadamu wenzio
Mtu anakuwa single mom kwa kufiwa na Mumewe au kwa kuachwa bila sababu halafu analea mtoto peke yake mpaka anakuja kuwa Daktari, Mwanasheria, Mwalimu, Mhandisi n.k
Hili jambo wengi huwa wanajudge kishabiki lakini hata hapa wapo waliolelewa na Single mothers
Ni ushauri tu
Sema si vizuri kuongea kwa ujumla hivi..kuna single mothers waliofiwa na wenzi wao mapema sana, kuna wenzi wao walipotea, kuna waliokataliwa- ingawa hawakua na hatia, kuna waliokutana na wanaume waoga wa majukumu-wakaachwa, kuna waliokutana na wahuni tu- waharibifu-wakaachwa, kuna waliodanganywa na waume za watu- wakaachwa, kuna walioachwa sababu ya ukorofi wao..n.k.Singo maza wote mbumbumbu bogus OmbaOmba wagawa utamu hopeless wapenda waume za watu wamejaa stress wachawi wana roho mbaya... Vijana msithubutu kuoa singo maza hawanaga akili
Kabisa mkuu 👊Sema si vizuri kuongea kwa ujumla hivi..kuna single mothers waliofiwa na wenzi wao mapema sana, kuna wenzi wao walipotea, kuna waliokataliwa- ingawa hawakua na hatia, kuna waliokutana na wanaume waoga wa majukumu-wakaachwa, kuna waliokutana na wahuni tu- waharibifu-wakaachwa, kuna waliodanganywa na waume za watu- wakaachwa, kuna walioachwa sababu ya ukorofi wao..n.k.
Ikumbukwe pia:
1.Sisi wanaume pia sio innocent/ au perfect- ukiona kuna single mother ujue kuna kidume cha mbegu kilipiga bila hata ndomu..na kikakimbia majukumu kwa kuleta visababishi vyovyote
2.Kuna wanaume humu pia tumetoka kwa masingle mothers....na maisha yanaenda-unakuta baba alikimbia familia huko..kaacha mama akiwa binti na watoto
Hawa single mothers wanahitaji sana kusaidiwa..kulea mtoto peke yako sio mchezo tena kwa wanawake..
Pili ukimpata anayeeleweka oa, nenda naye- ikishindikana kausha.
Na nyie masingle mothers muwe na akili sasa ya kutulia pale mnapopata mahusuano mengine..
Ninawafahamu watu wengi waliooa single mothers na wamekuwa watu wazima sana na familia zenye ustawi..
Mwisho tabia ya uhuni/uasherati/ uzinifu...haina uhusiano na usingle mother..mtu anaweza kuwa single mother katika mazingira ambayo hayakutarajiwa kabisa...kuna watu sio masingle mothers au fathers lkn ni wazinifu hatari ..wanapasha viporo mpaka vilivyooza achilia mbali kupoa tu.
Kupanga ni kuchagua..kila mtu yuko responsible kwa maamuzi au choice anazofanya
Pole na Hongera pia kwa kupambana kumlea mwanao.Mwanao ana Umri gani?.Mwenzenu huu usinglemom ulinikuta chap Kwa haraka. Yaani bila kutarajia mtu niliyemwamini na niliyekuwa na malengo nae alinigeuka. Nikisema iliingia kwa bahati mbaya nitakuwa nadanganya tulipanga nami nilijiaminisha kwa sababu kuna hatua tulipitia ambazo nikajua yessss, nimelipata bwana!
We bwana wee kumbe nimepatikana, yaani Ile kitu kutiki tu jamaa akasema "katoe mimba" nyie wadada wenzangu mnaotupondea singlemoms. Siyo kwamba sikuweza kumeza P2 au miso-p au kwenda hospital kukwanguliwa noo, ningeweza ila tu huyu kiumbe hakuwa na hatia.So mwishowe nikazaa huyu son wangu, jamaa alichoniambia ni kuwa umezaa basi umejipanga kulea I mean hajawahi toa hata Senti kulea mwanangu then Leo hii anajitutumua eti anataka mwanaye.Teh!
Sasa point yangu ni ipi ya kuwakusanya wamama wenzangu...ni hivi...hatujaua,tumezaa,tunalea....na huenda tukawa tumebahatika kupata wanaume wema wanaotupenda siye na wanetu. Sasa ninachokuuliza hivi wenzangu mnawezaje kuendelea kuwasiliana na mwanaume aliyeshindwa kukupa thamani ya kuweka ndani na akakuacha na mtoto. Mnawezaje kuvua nguo tena Kwa mwanaume ambaye si mumeo Yaan Ex tena aliyekudharaulisha? Aisee,mwenzenu nimeshindwa. Nilimwambia nitakuwahisha kunizoea[emoji37][emoji2955]
NB: Sijawahi mjaza sumu mwanangu hicho ndicho nilichoshinda namwacha akue yeye ndo atachambua magugu na ngano. Hongereni kwa kupambana wanawake wenzangu kulea ni kaz kweli.
Nawapenda sana[emoji7][emoji8]
Fafanuamostly wamelelewa na single parent.
She tells him, "Your life, ain't gonna be nothing like my lifeCall it love and devotion
Call it the mom's adoration (foundation)
A special bond of creation
For all the single mums out there
Going through frustration
Clean Bandit, Sean-Da-Paul, Anne-Marie, sing, make them hear 🎤
She works the night, by the water
She's gonna stress, so far away from her father's daughter
She just wants a life for her baby
All on her own, no one will come
She's got to save him, daily struggle
She tells him "ooh love
No one's ever gonna hurt you, love
I'm gonna give you all of my love
Nobody matters like you