Watu mna mioyo mikubwaHapana wapo watu wengi sana ambao wanajielewa wakiachana na Baba za watoto wao inakua for good na yanabaki malezi tu.
Kuna kuachana alafu kuna kutokua maadui.
Maisha mengine yanaweza kuendelea ikiwemo hata kupostiana.
Sometimes be happy hakua muongo na hakukudanganya.
Hapo wewe unamuita single mother na hapo ulikua unataka mtumia tu aisee[emoji1418]
Na ingekua unatafuta ndoa ingekuaje?
Hehe asee basi hujacheza sana blaza. Hiyo kitu hainaga formula useme ukariri.Malaya tu ndio unameleleka kwa namna hio huezi ukaanza mahusiano na mwanamke anayejielewa unartaka kujenga malengo eti kuruou njoo geto Kama mbuzi
Hahahahhaha dah talk about EXECUTIONERWewe ndio una kiherehere umtongoze mwenyewe kwa shida zako mbaya zaidi anakueleza kuwa ana mtoto na baba yake yupo,,,unifanya romantiki kumtoa hadi auti leo nakuja kuposti bondi yake kwa furaha zake na ni haki pia una chukia,,unachukia nini sasa kama si uwendawazimu wako,,,ulitaka akuposti wewe kwa minajili ipi,,huna kumbukumbu ya aina yoyote kwake zaidi ya autini zakishamba na akakuona boya hata kugusa hujagusa,,akaamua kuipeleka kwa mzazi mwenzie wewe umezubaa tuu unaleta ujuxi kwenye k***maa utalialia kila siku!!!
Hivi kwann huwa wanahasira na roho mbaya saana ?Acha kunijaza maji mkuu,mpaka hapa nilipo sina hamu na singo maza na yoyote atakae tokea kunibadilisha ntaanza nae
Ngoja nikupe siraha ya kivita ukiwa na single mother, angalia uchumi wako na je unamzidi mume mwenzio ukiona uchumi wako upo chini basi achana naye uyo single mother ila ukiona uchumi wako upo vizuri usiogope uyo single mother x anayedumu ni yule mwenye uchumi mzuri, hawa unga unga inabaki story tu kuwa alizaa na mkeoSamaleko...
Hiki nacho ni moja ya visa vyangu kwenye harakati zangu za kumpata mtoto wa mama mkwe.
Kuna ka binti nilikutana nako miezi kama mitatu iliyopita. Siku ya kwanza tu nakaona nilipokasalimia tu, kalinichangamkia sana. Kakaniambia "ni kama nakuonaga maeneo flan" na ni kweli ndio maeneo niyoushi. Nikamjibu itakua kweli maana naishi maeneo hayo. Kwenye stori stori kumbe hakai mbali na ninapoishi. Basi tukabadilishana namba kila mtu kwao.
Nikatulia kama wiki kadhaa nikamche, just kumpa salam. Nikamuuliza upo wap? Akanijibu, kumbe anapofanya kazi nami huwa napita kila siku nikitoka kwenye mishe zangu jion. Basi nikamwambia naomba nisubiri nitakupitia hapo, akaubali.
Basi nimefunga zangu mida ya saa3 usiku nikamuuliza umemaliza kazi akajibu ndio, nikamwambia nakupitia, akajibu sawa. Kweli nikampita, nikampitisha mahala kupata dinner then kila mtu kwao. Siku ikaisha.
Sasa kipindi hichi sasa nikaanza kukathaminisha kama kanaweza nifaa kwenye nia yangu. Kimuonekano kakawa kanaingia, kanatoka. Nikajiambia anyway, ngoja nitupe ndoano huwezi jua pengine roho yake na treatment zake zinaweza nifanya nizame mazima. Wakati huu bado sijui kama ni ka single mother maana kalikua hakana muonekano wa kamba kalisha zaa na hakana smartphone, so sikua hata naona status zake whatsapp. Maana njia nyingine ya mkujua mtu ni kupia status anazopost.
Basi nikaanza kukasaundisha. Kakaanza kuingia lain. Jinsi nilivyokua romantic hadi kuna siku kakaniambia "yaani wanaume wengine jaman, unaweza hata wabebea mimba". Mimi bichwa hilo.
Basi life likaendelea, muda huu wote sijui kama ni ka single mother. Siku moja, nikasema leo nataka nijiridhishe na maisha yake. Nikamwambia atafute siku atakua na muda nimtoe dinner. Kweli akaniambia siku flan. Siku ikafika tukatoka. Basi ni msosi na soft drinks tu (situmii alcohol).
Kwenye mastori nikamtega akajaa. Akaanza kufunguka kuwa yy anamtoto wa kike alizaa na jamaa wa bukoba. Mtoto anaishi na baba yake bukoba. Nikamtega zaidi akaendelea kufunguka. Akasema, kuwa anampigia sim mzazi mwenzie anampa sim mtoto anaongea nae. Nikajiambia, hawa bado wana bondi inayoishi kabisa. Kwa kifupi nika conclude kwamba siku hio iwe mwisho wa kumfuatilia. Basi baada ya muda nikarudisha kwao maana anakaa na mama yake.
Sasa wiki mbili zilizopita nilimuona maeneo flan mida ya saa3 asubuhi ila yy hakuniona. Ilipofika saa5 nikamtext, nimekuona maeneo flan sijui ulikua wewe. Akasema ndio ni mm. Nikamuuliza hujaenda kazini? Akajibu sijaenda, ninasafari ya bukoba leo naondoka na magari ya saa7 yanayotoka dar. Nikamwambia safari njema. In short nilihisi kabisa anenda kwa mzaz mwenzie. Sasa kipindi hichi kesha nunua smartphone.
Kweli alisafiki. Picha likaanza kwenye status. Mara ampost mzazi mwenzie na caption like "asante baba kwa kunitunzia mwanangu" yaani ni post za mzaz mwenzie like bado wana uhusiano. Muda huu mm nilishasitisha zoezi, so nothing to complain.
Ninachota kuwaambia, kuoa single mother ni kujitafutia stress tu. Hawaachanagi hawa. Kama uko fresh tafuta fresh mwenzio muanze kwa score ya 0-0. Vinginevyo jiandae kuja kutuomba ushauri hapa.
Mwanamke yeyote anaweza lika hata kama hakuwa single mazaHuyo baba wa mtoto wake hawawasiliani kwakuwa hana mpango nae huyo mke wako ila akija kuamua kumpiga sound za Kumla, analiwa huyo mkeo
Boraa uwaambie kabisaa.Labda kuna kitu watu hawaelewi.
Sio kila mwanamke ambaye ana mtoto na haishi na baba wa mtoto au hajaolewa basi ni single mother.
Wengine hawaishi pamoja tu lakini ni wapenzi na wana mipango yao mingi ya kutimiza. Ni wakati tu haujafika.
Juzi jumamosi nilienda kwenye harusi ambayo maharusi walikuwa na watoto watatu na walikuwa hawaishi pamoja.
Kwahiyo huyo binti pengine yeye na baba mtoto wana mahusiano na hawajaachana.
Mara nyingi status ni wewe, labda wale wanaofake maisha ila mwisho wa siku hujulikana tu.Ila status bana Kuna watu ukiona tu unajua maisha yake yalivo ila Kuna wengine utasugua bench kumjua kwa kutumia status
Ni kweli lakini hyo ya single mother unakubwa umeshampa asilimia 70. lazima aliwe tu
Malaya tu Kuna aina nyingi za mahusiano tatizo letu Tunachanganya SanaHehe asee basi hujacheza sana blaza. Hiyo kitu hainaga formula useme ukariri.
Sent from my TECNO KG7h using JamiiForums mobile app
Hakuna kijana mwenye akili timamu anaweza oa sing
ila ni kweli kabisa kwa kijana anae jitambua kiakili na fikra hawezi oa ma single motherHakuna kijana mwenye akili timamu anaweza oa single mother
Kwanini wanakuwa na hasira sana?Wana hasira sana,yaani huko aliko ameshaniita majina yote ya hovyo
Single mother kuolewa na mzungu ni sawa kabisa. Tukubali kuwa uchumi wa mzungu na mtu mweusi ni mbingu ns ardhi. Mzungu maskini anaweza kuwa sawa na mtu mweusi mwenye uchumi wa kati.ila ni kweli kabisa kwa kijana anae jitambua kiakili na fikra hawezi oa ma single mother
Maisha yamekua magumu baada ya kuzalishwa na kutelekezwa....