Single mother bana, tabu tupu

Single mother bana, tabu tupu

Hapana wapo watu wengi sana ambao wanajielewa wakiachana na Baba za watoto wao inakua for good na yanabaki malezi tu.
Kuna kuachana alafu kuna kutokua maadui.
Maisha mengine yanaweza kuendelea ikiwemo hata kupostiana.
Sometimes be happy hakua muongo na hakukudanganya.
Hapo wewe unamuita single mother na hapo ulikua unataka mtumia tu aisee[emoji1418]
Na ingekua unatafuta ndoa ingekuaje?
Watu mna mioyo mikubwa

Sent from my TECNO KG7h using JamiiForums mobile app
 
Wewe ndio una kiherehere umtongoze mwenyewe kwa shida zako mbaya zaidi anakueleza kuwa ana mtoto na baba yake yupo,,,unifanya romantiki kumtoa hadi auti leo nakuja kuposti bondi yake kwa furaha zake na ni haki pia una chukia,,unachukia nini sasa kama si uwendawazimu wako,,,ulitaka akuposti wewe kwa minajili ipi,,huna kumbukumbu ya aina yoyote kwake zaidi ya autini zakishamba na akakuona boya hata kugusa hujagusa,,akaamua kuipeleka kwa mzazi mwenzie wewe umezubaa tuu unaleta ujuxi kwenye k***maa utalialia kila siku!!!
Hahahahhaha dah talk about EXECUTIONER

Sent from my TECNO KG7h using JamiiForums mobile app
 
Samaleko...

Hiki nacho ni moja ya visa vyangu kwenye harakati zangu za kumpata mtoto wa mama mkwe.

Kuna ka binti nilikutana nako miezi kama mitatu iliyopita. Siku ya kwanza tu nakaona nilipokasalimia tu, kalinichangamkia sana. Kakaniambia "ni kama nakuonaga maeneo flan" na ni kweli ndio maeneo niyoushi. Nikamjibu itakua kweli maana naishi maeneo hayo. Kwenye stori stori kumbe hakai mbali na ninapoishi. Basi tukabadilishana namba kila mtu kwao.

Nikatulia kama wiki kadhaa nikamche, just kumpa salam. Nikamuuliza upo wap? Akanijibu, kumbe anapofanya kazi nami huwa napita kila siku nikitoka kwenye mishe zangu jion. Basi nikamwambia naomba nisubiri nitakupitia hapo, akaubali.

Basi nimefunga zangu mida ya saa3 usiku nikamuuliza umemaliza kazi akajibu ndio, nikamwambia nakupitia, akajibu sawa. Kweli nikampita, nikampitisha mahala kupata dinner then kila mtu kwao. Siku ikaisha.

Sasa kipindi hichi sasa nikaanza kukathaminisha kama kanaweza nifaa kwenye nia yangu. Kimuonekano kakawa kanaingia, kanatoka. Nikajiambia anyway, ngoja nitupe ndoano huwezi jua pengine roho yake na treatment zake zinaweza nifanya nizame mazima. Wakati huu bado sijui kama ni ka single mother maana kalikua hakana muonekano wa kamba kalisha zaa na hakana smartphone, so sikua hata naona status zake whatsapp. Maana njia nyingine ya mkujua mtu ni kupia status anazopost.

Basi nikaanza kukasaundisha. Kakaanza kuingia lain. Jinsi nilivyokua romantic hadi kuna siku kakaniambia "yaani wanaume wengine jaman, unaweza hata wabebea mimba". Mimi bichwa hilo.

Basi life likaendelea, muda huu wote sijui kama ni ka single mother. Siku moja, nikasema leo nataka nijiridhishe na maisha yake. Nikamwambia atafute siku atakua na muda nimtoe dinner. Kweli akaniambia siku flan. Siku ikafika tukatoka. Basi ni msosi na soft drinks tu (situmii alcohol).

Kwenye mastori nikamtega akajaa. Akaanza kufunguka kuwa yy anamtoto wa kike alizaa na jamaa wa bukoba. Mtoto anaishi na baba yake bukoba. Nikamtega zaidi akaendelea kufunguka. Akasema, kuwa anampigia sim mzazi mwenzie anampa sim mtoto anaongea nae. Nikajiambia, hawa bado wana bondi inayoishi kabisa. Kwa kifupi nika conclude kwamba siku hio iwe mwisho wa kumfuatilia. Basi baada ya muda nikarudisha kwao maana anakaa na mama yake.

Sasa wiki mbili zilizopita nilimuona maeneo flan mida ya saa3 asubuhi ila yy hakuniona. Ilipofika saa5 nikamtext, nimekuona maeneo flan sijui ulikua wewe. Akasema ndio ni mm. Nikamuuliza hujaenda kazini? Akajibu sijaenda, ninasafari ya bukoba leo naondoka na magari ya saa7 yanayotoka dar. Nikamwambia safari njema. In short nilihisi kabisa anenda kwa mzaz mwenzie. Sasa kipindi hichi kesha nunua smartphone.

Kweli alisafiki. Picha likaanza kwenye status. Mara ampost mzazi mwenzie na caption like "asante baba kwa kunitunzia mwanangu" yaani ni post za mzaz mwenzie like bado wana uhusiano. Muda huu mm nilishasitisha zoezi, so nothing to complain.

Ninachota kuwaambia, kuoa single mother ni kujitafutia stress tu. Hawaachanagi hawa. Kama uko fresh tafuta fresh mwenzio muanze kwa score ya 0-0. Vinginevyo jiandae kuja kutuomba ushauri hapa.
Ngoja nikupe siraha ya kivita ukiwa na single mother, angalia uchumi wako na je unamzidi mume mwenzio ukiona uchumi wako upo chini basi achana naye uyo single mother ila ukiona uchumi wako upo vizuri usiogope uyo single mother x anayedumu ni yule mwenye uchumi mzuri, hawa unga unga inabaki story tu kuwa alizaa na mkeo
 
Labda kuna kitu watu hawaelewi.
Sio kila mwanamke ambaye ana mtoto na haishi na baba wa mtoto au hajaolewa basi ni single mother.

Wengine hawaishi pamoja tu lakini ni wapenzi na wana mipango yao mingi ya kutimiza. Ni wakati tu haujafika.

Juzi jumamosi nilienda kwenye harusi ambayo maharusi walikuwa na watoto watatu na walikuwa hawaishi pamoja.

Kwahiyo huyo binti pengine yeye na baba mtoto wana mahusiano na hawajaachana.
Boraa uwaambie kabisaa.
 
Ila status bana Kuna watu ukiona tu unajua maisha yake yalivo ila Kuna wengine utasugua bench kumjua kwa kutumia status
Mara nyingi status ni wewe, labda wale wanaofake maisha ila mwisho wa siku hujulikana tu.
Wapenda kupost status ni rahisi kuwajua na ni wambea kwelikweli.
 
ila ni kweli kabisa kwa kijana anae jitambua kiakili na fikra hawezi oa ma single mother
Single mother kuolewa na mzungu ni sawa kabisa. Tukubali kuwa uchumi wa mzungu na mtu mweusi ni mbingu ns ardhi. Mzungu maskini anaweza kuwa sawa na mtu mweusi mwenye uchumi wa kati.

Sasa single mother huingia kwenye mahusiano kimkakati wa kimaslahi. Kwa hio kama unazo atakupenda hadi useme haleluya kwa Single mother wote ila mkakati wake ukikamilika, ni kwa hri mama jeni. Na kama mtaanza drom scratch basi mkifanikiwa anaanza kudai muachane ili tu mgawane.

So kwa wazungu kuna kitu kinawavuta. Single mother sio mtu wa kuanza nae maisha from scratch. Single mother ni akili mingi sana wanata wakute una kitu na kama unacho kidogo basi ataingia ila atawachanga na wana kibao ili walau heaabu zake zikae sawa aendelee kusema anapambana kwa ajili ya wanae
 
Wakuu poleni na majukumu yenu ya kila siku... Niende moja kwa moja kwenye mada wakuu..kuna nyumba nimehamia maeneo ya Kawe ni hizi nyumba za uswahilini zenye vyumba vingi na toilet ya kushare..

Kinachonishtua ni hii caring ya huyu single mother anakatoto kadogo kamiaka nadhani mitatu...sasa kulingana na mishe zangu huwa narudi saa kumi bhasi hupendelea kukabeba nakuingia nacho kitaa unakuta nakanunulia juice,soda kiufupi kamenizoea sana kasipo niona kanasumbua ...

Sasa shida sio haka katoto ni huyu bi dada aisee hii ni wiki inatembea mi chakula cha usiku kila siku ananiletea kwenye hotpot...mara anipigie simu narudi sa ngapi mara zamu yangu ya usafi kanisaidia maana ni siku tatu Tau sasa care zimekuwa nyingi wakuu atakuwa anashida gani au mimi nitulie tu nikae kimya...

Naombeni ushauru wakuu au nimuulize kwanini ananiletea msosi kila siku.
 
Back
Top Bottom