Marcostilone
JF-Expert Member
- Jun 25, 2023
- 1,064
- 2,076
Wasukuma mwiko tunauita "NDENHO"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jambo?
Hili tukio limetokea mtaani kwetu kuna jamaa ameoa Single mother, sasa usiku wakiwa sebuleni jamaa akasikia meseji imeingia kwenye simu ya Single mother.
Lahaullah ile kuangalia anakutana na meseji inayosema, "Mpenzi unakuja lini kwangu kunipikia, nimemisi mahanjumati yako mpenzi"
Jamaa baada kusoma ile meseji na kwakuwa anaijua namba ya jamaa aliezaa na mke wake ikabidi apaniki na amuulize mwanamke wake kwanini jamaa anamuita mpenzi.
Mwanamke katika kujitetea akasema eti itakuwa aliezaa nae amejisahau na kumuita mpenzi. Jamaa akapandwa na hasira na kumpiga kibao Single mother.
Aisee! Bado haijajulikana ule mwiko aliutoa wapi maana ni suala la sekunde kadhaa jamaa akawa kashapigwa na mwiko wa kichwa na kudondoka chini akiugulia maumivu.
Jamaa anasema laiti angejua asingemuoa yule bidada maana kwa anayomfanyia anajuta.
Nimefurahi kukuona natumai u mzima wa afya
Nimefurahi kukuona natumai u mzima wa afya
Kwanini boda mkuuBoda boda & abiria wake
Alieoa single maza
Masisiemu
Yeyote Kati yao akipata majanga sishtuki hata akiwa ndugu yangu
Boda boda wengi hawaheshimu usalama wake binafsi, usalama wa abiria wake na mpita njia mwingine na hawafanyi hvo bahati mbayaKwanini boda mkuu
Ni kweli mimi pia sipendelei kupanda boda, ila kuna mazingira fulani fulani unajikuta ushapanda,,,Boda boda wengi hawaheshimu usalama wake binafsi, usalama wa abiria wake na mpita njia mwingine na hawafanyi hvo bahati mbaya
Mi sipandagi, mazingira yakiwa magumu sana bas ntaendesha mimiNi kweli mimi pia sipendelei kupanda boda, ila kuna mazingira fulani fulani unajikuta ushapanda,,,
Kuoa single mother mpka pale unapooneshwa kaburi la uyo aliyezaa naeJambo?
Hili tukio limetokea mtaani kwetu kuna jamaa ameoa Single mother, sasa usiku wakiwa sebuleni jamaa akasikia meseji imeingia kwenye simu ya Single mother.
Lahaullah ile kuangalia anakutana na meseji inayosema, "Mpenzi unakuja lini kwangu kunipikia, nimemisi mahanjumati yako mpenzi"
Jamaa baada kusoma ile meseji na kwakuwa anaijua namba ya jamaa aliezaa na mke wake ikabidi apaniki na amuulize mwanamke wake kwanini jamaa anamuita mpenzi.
Mwanamke katika kujitetea akasema eti itakuwa aliezaa nae amejisahau na kumuita mpenzi. Jamaa akapandwa na hasira na kumpiga kibao Single mother.
Aisee! Bado haijajulikana ule mwiko aliutoa wapi maana ni suala la sekunde kadhaa jamaa akawa kashapigwa na mwiko wa kichwa na kudondoka chini akiugulia maumivu.
Jamaa anasema laiti angejua asingemuoa yule bidada maana kwa anayomfanyia anajuta.