Single mothers na vilio vya kushangaza

Single mothers na vilio vya kushangaza

Mkuu swala la kumpa mtu mimba na kutomuoa hili linaeleweka na kuvumilika maana huwezi jua mipango ya watu

Ila katika mada hii kuna mambo makuu mawili yanayokera

a)swala la mwanamke kumchukulia mtoto kama asset
Yaani hapa kama mwanamme anajali malezi ya mtoto yani mizinga kila muda,kisingizio mtoto,kila siku utaambiwa anaumwa

b) mwanaume kutochangia kumtunza mtoto
Hili ndio hatuwezi kujitetea, kama mtoto ni wa kwako hakikisha unachangia gharama,maisha magumu!!

Afu Dada zetu hamjielewi kuna sheria nyingi zinawalinda,nenda ustawi wa Jamii pale huyo baba anayejifanya hajielewi ateletewa mtanange mpaka akili imkae sawa

Wenzetu mbele wanajielewa sana katika hili,kama huna uwezo wa kutunza mtoto usipige kavu,PERIOD!! Maana kule child support lazima, ukileta mchezo mchezo unaweza kupigwa mvua kabisa
 
wadada wajanja sana..

akiona hapa kuna mwelekeo.. anajua wanaume akili zao zipo kichwa cha chini...

atakuja kwenye danger days atakutegaaaa na kufanya kila anachoweza kama mwanamke mradi mfanye mapenz bila kinga.. akipata mimba anajifanya anashangaa amepataje.. kumbe ni plan..


mdada wa 30 au 27 hawez kupata mimba bahati mbaya ulimwengu huu wa hadi 3 days vidonge vipo..

unakuta hivo vidonge ameshavinywa sana enzi anatoka na wasioeleweka.. au ameshatoa sana mimba.. ila kwako sababu kaona uhakika upo anakomaa kuzaaa ili afikie malengo yake
 
You can't nut in a mama and claim you was trapped man, that's just lame. If your pull-out game weak, just shield your soldier before going to war.

If you wanna take a chance for the feels, then grow cojones to face the results.
 
Wapo wengi nowadays anaamua hataki kuolewa
anazaa tu na mtu but hataki ndoa

tembea uone

na wapo ambao anazaa na mtu kwa uamuzi wake tu binafsi
bila kumshirikisha anaetaka kuzaa nae
Mi navizia kuzaa na Nyani Ngabu afu wala sitamwambia lolote nalea mwenyewe
 
Mkuu swala la kumpa mtu mimba na kutomuoa hili linaeleweka na kuvumilika maana huwezi jua mipango ya watu

Ila katika mada hii kuna mambo makuu mawili yanayokera

a)swala la mwanamke kumchukulia mtoto kama asset
Yaani hapa kama mwanamme anajali malezi ya mtoto yani mizinga kila muda,kisingizio mtoto,kila siku utaambiwa anaumwa

b) mwanaume kutochangia kumtunza mtoto
Hili ndio hatuwezi kujitetea, kama mtoto ni wa kwako hakikisha unachangia gharama,maisha magumu!!

Afu Dada zetu hamjielewi kuna sheria nyingi zinawalinda,nenda ustawi wa Jamii pale huyo baba anayejifanya hajielewi ateletewa mtanange mpaka akili imkae sawa

Wenzetu mbele wanajielewa sana katika hili,kama huna uwezo wa kutunza mtoto usipige kavu,PERIOD!! Maana kule child support lazima, ukileta mchezo mchezo unaweza kupigwa mvua kabisa


Mtoto anaumwa..lipia card ya hospitali..

au useme tukutane hospitali.....

Utashangaa
 
Na hivi hamuwezi kukojoa nje, dawa yenu ni kuwanyima chiu tu. Mi sijawahi fanya haya makosa ila nawaonea huruma sana wadogo zangu. Kama mimba imetokea planned au unplanned shikeni majukumu, mnavyowalaumu nakuwasimanga wadada utadhani ulishindwa kupull out msyuuuuu.
 
wadada wajanja sana..

akiona hapa kuna mwelekeo.. anajua wanaume akili zao zipo kichwa cha chini...

atakuja kwenye danger days atakutegaaaa na kufanya kila anachoweza kama mwanamke mradi mfanye mapenz bila kinga.. akipata mimba anajifanya anashangaa amepataje.. kumbe ni plan..


mdada wa 30 au 27 hawez kupata mimba bahati mbaya ulimwengu huu wa hadi 3 days vidonge vipo..

unakuta hivo vidonge ameshavinywa sana enzi anatoka na wasioeleweka.. au ameshatoa sana mimba.. ila kwako sababu kaona uhakika upo anakomaa kuzaaa ili afikie malengo yake

You can say that again....
 
Na hivi hamuwezi kukojoa nje, dawa yenu ni kuwanyima chiu tu. Mi sijawahi fanya haya makosa ila nawaonea huruma sana wadogo zangu. Kama mimba imetokea planned au unplanned shikeni majukumu, mnavyowalaumu nakuwasimanga wadada utadhani ulishindwa kupull out msyuuuuu.

Jifunze kuelewa thread
hapa nazungumzia mdada aliekwisha amua kuzaa bila kumshirikisha mwanaume

Sio unplanned wala bahati mbaya..
 
Hili lina ukweli

But usisahau hata hao single moms wengine wanachagua sana pia wachumba
na sio kwamba wote hawapati wachumba
na single mama wengine wako single by choice na still wanalia kama wanaonewa..
kuolewa hawataki....

Mtu anaye fanya kama choice na bado analalamika atakua na matatizo
Kwa hao wanao chagua sana, mimi sina tatizo nao kama anajua anachotaka ,tatizo wengi wao hawajui wanachotaka anachagua sana na mwisho wa siku analalamika.
 
You can't nut in a mama and claim you was trapped man, that's just lame. If your pull-out game weak, just shield your soldier before going to war.

If you wanna take a chance for the feels, then grow cojones to face the results.
Maan,

Remind me of something, back then still at college, I was like the pro of the 'pull out game' only to come and learn that it ain't 100 safe(that's science,not an opinion)

If you wanna play that game, make sure u go for a small call(urinate) after every round!! Then you are safe!!

Once again, that's science!! Not my opinion


Hommie
 
Mtu anaye fanya kama choice na bado analalamika atakua na matatizo
Kwa hao wanao chagua sana, mimi sina tatizo nao kama anajua anachotaka ,tatizo wengi wao hawajui wanachotaka anachagua sana na mwisho wa siku analalamika.

Hawa wadada wa mjini 90 percent wanashika mimba by choice
 
Bukuku kaimba,maamuz yako matokea ya kesho amua vema update mema..
 
Maan,

Remind me of something, back then still at college, I was like the pro of the 'pull out game' only to come and learn that it ain't 100 safe(that's science,not an opinion)

If you wanna play that game, make sure u go for a small call(urinate) after every round!! Then you are safe!!

Once again, that's science!! Not my opinion


Hommie

Even putting on a rubber isn't 100%, man. It's crazy. Can't be too careful.

Just that, no man should get nasty with a mama and cry when she turns out knocked up. Nor mamas should cry when a brotha walks out.
 
Jamani wanawake inabidi kujielewa unakuta MTU unadate nae hata out hakutoi hta chocolate tu haleti,then unajilipua kuzaa nae,hivi ni akili hizo?lazima mtalia lia sana,binafsi God forbid it
 
Jamani wanawake inabidi kujielewa unakuta MTU unadate nae hata out hakutoi hta chocolate tu haleti,then unajilipua kuzaa nae,hivi ni akili hizo?lazima mtalia lia sana,binafsi God forbid it

Kujilipua...ndo chhanzo cha yoote hayo
 
Back
Top Bottom