Single mothers waheshimiwe: Tuache mara moja kuwabeza

Single mothers waheshimiwe: Tuache mara moja kuwabeza

MIXOLOGIST

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2016
Posts
14,311
Reaction score
36,056
Nikiwa nimejawa na jazba nawakemea watoto wa kiume na wavulana wote wanaodhihaki na kuwa kebehi single mothers.

Ieleweke kwamba, single mother ni mama yake mtu, ni kama alivyo mama yako. Aidha, wanawake hawa ni majasiri, wameamua kutunza uhai , kinyume chake wangetoa mimba na kuwa kama hayo majanamke mengine mauaji (slay queens) ambayo yanaua watoto kwa kutoa mimba na mnayashobokea.

Single mothers, wamefanya kazi ya Mungu, wamelea uhai miezi tisa tumboni na kuleta kiumbe duniani. Kwa kudra za Mwenye-Enzi- Mungu, kiumbe hicho kinaweza kuwa mtu muhimu na kutoa mchango mkubwa kwenye ujenzi wa taifa letu.

Kudhihaki single mothers ni sawa na kuchochea utoaji wa mimba, jambo hili likome mara moja. Waache wakina mama wanaopata mimba walete viumbe duniani. Mungu amesema nendeni duniani mkaijaze dunia, hongereni akina mama mlioamua kulea watoto wenu

Pamoja na hayo niliyoandika hapo juu, single mother ni reflection ya udhaifu wetu wanaume, yaani kuna mpuuzi mmoja ambaye anashindwa au anakataa kutimiza wajibu wake. Uwepo wa single mothers ni aibu kubwa kwetu wanaume, yaani hatufanyi wajibu wetu

Kwa kumalizia, single mothers wanapitia madhila mengi, haswa wale wasio na kipato cha kutosha na cha uhakika,. Hivyo ni rai yangu, kwa wale wababa wenye uwezo tuwatunze single mothers kwa manufaa mapana ya watoto na jamii nzima.

Kwa wale wenye changamoto za afya ya akili, uwanja ni wenu kuja kubisha na kupinga madini haya

Nimetoa uzi huu kama nilivyomuahaidi Demi
 
Ila single mother kwenye yale mambo yetu yaleee hua ninawakubali kinyama, yaani single mother akikupea hua anahakikisha umeshiba na umetosheka huku akwambia:
"My leo utakula wali ndo ule mboga au utakula mboga ndo ule wali"
Single mother wote peponi.
1736347005898.jpg
 

Attachments

  • 1736347063694.jpg
    1736347063694.jpg
    110.6 KB · Views: 6
Ngumu sana kwa mwanamke aliyetembea na wanaume zaidi ishirin akakuelewa,
Usioe single mother wala mtoto wa kike aliyelelewa na single mother utakuja kujuta labda uvumilie viburi vyao dharau na kejeli!
 
Ngumu sana kwa mwanamke aliyetembea na wanaume zaidi ishirin akakuelewa,
Usioe single mother wala mtoto wa kike aliyelelewa na single mother utakuja kujuta labda uvumilie viburi vyao dharau na kejeli!
Cha msingi tusi wabagaze, tatizo lao limetokana na mimi na wewe (wanaume)
 
Cha msingi tusi wabagaze, tatizo lao limetokana na mimi na wewe (wanaume)
Wala sisi hatuusiki, utaishi vip na mtu aliyejaa dharau na kiburi, single ni wakuchapa na kusepa.
Single mother kuwa naye mbali mbali Kama kiburudisho ukitaka kujua kero zao nenda kaishi naye ndiyo utajua kwanini baba wa mtoto aliingia mitini!
 
Wala sisi hatuusiki, utaishi vip na mtu aliyejaa dharau na kiburi, single ni wakuchapa na kusepa.
Single mother kuwa naye mbali mbali Kama kiburudisho ukitaka kujua kero zao nenda kaishi naye ndiyo utajua kwanini baba wa mtoto aliingia mitini!
Mimi nadhani kila kesi inajitegemea, hatuwezi ku-generalize tatizo la mtu mmoja likawa ni la wote. Kama nilivyosema single mothers ni mama za watu na ni kama mama yako. Tuwaheshimu akina mama
 
Narudia tena:
Kijana ambaye haujaoa na wala haujawah kumpa mtoto wa watu ujauzito bila kumuoa, yaani haujawah sababisha uwepo wa Singo Maza katika huu ulimwengu, Kaa mbali kauli nyingi sana na hao Singo mazaz, Lakini kama mwanaume na wewe ni sehemu ya kumfanya mtoto wa watu kujuta kwa sababu ya penzi lake kwako umemuachia mzigo, usiinue kichwa chako juu ya hao Singo mazaz
 
Mimi nadhani kila kesi inajitegemea, hatuwezi ku-generalize tatizo la mtu mmoja likawa ni la wote. Kama nilivyosema single mothers ni mama za watu na ni kama mama yako. Tuwaheshimu akina mama
Single mother wana laana na tabia zao wengi zinafanana?
 
Narudia tena:
Kijana ambaye haujaoa na wala haujawah kumpa mtoto wa watu ujauzito bila kumuoa, yaani haujawah sababisha uwepo wa Singo Maza katika huu ulimwengu, Kaa mbali kauli nyingi sana na hao Singo mazaz, Lakini kama mwanaume na wewe ni sehemu ya kumfanya mtoto wa watu kujuta kwa sababu ya penzi lake kwako umemuachia mzigo, usiinue kichwa chako juu ya hao Singo mazaz
Hakika Mkuu, watoto wa kiume na vivulana vinajongelesha tu, hawajawahi kuona au kusikia binti zao, dada zao, au ndugu zao wa karibu wakipewa mimba na wakarudi nyumbani na aliyewapa mimba akaingia mitini

Haya mambo ni kama vile kumcheka jirani aliyefiwa ili hali msiba unaweza kutokea nyumbani kwako pia
 
Vijana labda niwakumbushe na kwa wale MADOJA katika maazimio ya vikao vyetu vilivyopita kamati kuu ilipitisha AZIMIO na tulikubaliana SINGO MAZA unajipigia na kisha unajikataa mapema, ni MARUFUKU kujenga kibanda!!!

Pia nipende kukumbusha kuwa, katiba ya chama cha KATAA NDOA iheshimiwe.

#kataa ndoa,ndoa ni utapeli!

CC:wajumbe KATAA NDOA.
 
Nikiwa nimejawa na jazba nawakemea watoto wa kiume na wavulana wote wanaodhihaki na kuwa kebehi single mothers.

Ieleweke kwamba, single mother ni mama yake mtu, ni kama alivyo mama yako. Aidha, wanawake hawa ni majasiri, wameamua kutunza uhai , kinyume chake wangetoa mimba na kuwa kama hayo majanamke mengine mauaji (slay queens) ambayo yanaua watoto kwa kutoa mimba na mnayashobokea.

Single mothers, wamefanya kazi ya Mungu, wamelea uhai miezi tisa tumboni na kuleta kiumbe duniani. Kwa kudra za Mwenye-Enzi- Mungu, kiumbe hicho kinaweza kuwa mtu muhimu na kutoa mchango mkubwa kwenye ujenzi wa taifa letu.

Kudhihaki single mothers ni sawa na kuchochea utoaji wa mimba, jambo hili likome mara moja. Waache wakina mama wanaopata mimba walete viumbe duniani. Mungu amesema nendeni duniani mkaijaze dunia, hongereni akina mama mlioamua kulea watoto wenu

Pamoja na hayo niliyoandika hapo juu, single mother ni reflection ya udhaifu wetu wanaume, yaani kuna mpuuzi mmoja ambaye anashindwa au anakataa kutimiza wajibu wake. Uwepo wa single mothers ni aibu kubwa kwetu wanaume, yaani hatufanyi wajibu wetu

Kwa kumalizia, single mothers wanapitia madhila mengi, haswa wale wasio na kipato cha kutosha na cha uhakika,. Hivyo ni rai yangu, kwa wale wababa wenye uwezo tuwatunze single mothers kwa manufaa mapana ya watoto na jamii nzima.

Kwa wale wenye changamoto za afya ya akili, uwanja ni wenu kuja kubisha na kupinga madini haya

Nimetoa uzi huu kama nilivyomuahaidi Demi
Naungana nawe waheshimiwe na wathaminiwe wana mengi mazuri ya kujifunza kwao kutokana na magumu waliyopitia
 
Ngumu sana kwa mwanamke aliyetembea na wanaume zaidi ishirin akakuelewa,
Usioe single mother wala mtoto wa kike aliyelelewa na single mother utakuja kujuta labda uvumilie viburi vyao dharau na kejeli!
Jamaa anaiomba kiaina kwa kipusa mmoja hapo mwisho wa uzi kamtaja😁😁😁,udhaifu kiwango cha SGR.

Signs of SIMPING, mwanaume wa kweli na anayejiamini hawezi kujibebisha( kusimp) kwa mademu ili apate utelezi. Huu ni udhaifu mkubwa na type hii ya NIGGERS huwa wahongaji sana na huishia kubambikiwa watoto.

waungwana huyu mleta uzi msimchukulie serious sana yupo anatega wavu. Ni MVUVI HARAMU tu wala hana nia ya dhati kutetea hayo MAGUMEGUME SHINDIKANA MASINGO MAZA.

Mleta mada amejitaidi kuficha dhamira yako ila tumemsanukia.

#SINGO MAZA CHAPA ILALE,KUJENGA KIBANDA MWIKO!!!

#Kataa ndoa,ndoa ni utapeli!!!
 
Back
Top Bottom