Single mothers waheshimiwe: Tuache mara moja kuwabeza

Siwezi kusimama mahala popote pale kutetea single mother never ever!!
Nitasimama mahala popote pale kuwa tetea na kutoa misaada kadiri ya uwezo wangu kwa wajane tu. hata biblia haijamuandika popote single mother kuwa atetewe wala kusaidiwa biblia inamjua mjane tu.

Kutetea single ni kutetea uovo 100% single mother hata awe dada yangu ama mtoto wangu lazima nikemee.Biblia yangu inaniambia mwanamke mpubavu huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe!

Masingle mother wengi kilicho waponza ni tamaa na kiburi chunguza vizuri utanielewa! kwenye mia wali lizwa na wanaume hawafiki hata15 walio baki tamaa,umalaya na kiburi niko hapa nimekaa.

Unaingia kwenye mahusiano na bint baada ya muda unagundua mpo wa3 mara nina mimba yako utakubali?

Acha kujipunguzia heshima hata jamii itakushangaa
 
Bila kupima vinasaba, hata kama baba yupo na mnafanana, anaweza akawa ni baba mlezi bila yeye kijijua, so mama ni uhakika kuwa ni mzazi wako bila ya shaka
 
Kuna single maza mmoja hivi tuna heshimiana sana. Katika mazungumzo yetu aliwahi kunishi sana niwaepuke single mother mithiri ya swala aonaye Simba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…