single mothers wengi wameachiwa watoto wa kike

single mothers wengi wameachiwa watoto wa kike

Ivi ni kwel watoto wa kike walio lelewa na Single mother huwa wana matatizo mengi eeh ? Maana na pisi moja huwa sielewi kabsa mambo yake kuna mda ina nichukia bila sababu utazani me baba ake
 
Kwa wanaume wajinga na wapumbavu ndio wanaweza kutulekeza mtoto kwa dhana ya jinsia.
Kumbe wanaume wengi na wanawake pia wanalo hili tatizo. China walipopewa ruhusa ya kuzaa mtoto mmoja kila familia walikuwa wakitoa mimba za watoto wa kike kiasi ikatokea wanawake wakawa adimu kabisa. Sasa wameruhusu watoto wawili kwa familia hivyo hali inarudi sawia.
 
Kumbe wanaume wengi na wanawake pia wanalo hili tatizo. China walipopewa ruhusa ya kuzaa mtoto mmoja kila familia walikuwa wakitoa mimba za watoto wa kike kiasi ikatokea wanawake wakawa adimu kabisa. Sasa wameruhusu watoto wawili kwa familia hivyo hali inarudi sawia.
hujaeleweka
 
sio kweli mbona kuna single mothers wengi wana watoto wa kiume na wametelekezwa, the real fact ni kwamba wanaume wengi now days hatuna akili na wewe ndio umekuja kujidhihirisha hapa kupitia uzi wako.
 
Ni kuchukua tu tahadhari mapema, usije ukajinyima au kuteseka kisa ada ya mtoto wa kike anayelelewa na single maza.
I assure you kuwa huyo mtoto akishakuwa mtu mzima na hana kazi still ataendelea kuwa karibu nawe hasa kama unamsapoti.

Lakini akishafanikiwa kupata kazi hutokuja kupata hata mia yake mbovu ya kununua karanga.

Yaani watoto hawa wanarudisha upendo kwa mama zao na kumuona mama ni bora sana kuliko wewe baba uliyejinyima kwa ajili ya kumfikisha hapo alipo.

Tumia pesa yako kwa ajili yako na kikubwa jenga afya yako na jipende sana, achana na hii mitoto ya single maza
 
Production ya mbegu za kiume syo kazi ndogo... kwahyo akipatikana wa kiume ni mali hyo hasa ikizingatiwa nowadays wanume tunazidi kupungua idadi.
 
Ni kuchukua tu tahadhari mapema, usije ukajinyima au kuteseka kisa ada ya mtoto wa kike anayelelewa na single maza.
I assure you kuwa huyo mtoto akishakuwa mtu mzima na hana kazi still ataendelea kuwa karibu nawe hasa kama unamsapoti.

Lakini akishafanikiwa kupata kazi hutokuja kupata hata mia yake mbovu ya kununua karanga.

Yaani watoto hawa wanarudisha upendo kwa mama zao na kumuona mama ni bora sana kuliko wewe baba uliyejinyima kwa ajili ya kumfikisha hapo alipo.

Tumia pesa yako kwa ajili yako na kikubwa jenga afya yako na jipende sana, achana na hii mitoto ya single maza
applies to watoto wote bila kujali jinsia hasa watoto wa kiafrica, ili kuepuka stress kama hizo za watoto wachache sana utakaowalea bila kutegemea chochote kutoka kwao.
 
Ivi ni kwel watoto wa kike walio lelewa na Single mother huwa wana matatizo mengi eeh ? Maana na pisi moja huwa sielewi kabsa mambo yake kuna mda ina nichukia bila sababu utazani me baba ake
Nao wanakujaga kuwa wake wa hovyo sana, ni bora kuoa single mother kuliko binti alie olekewa na single mother
 
Back
Top Bottom