Kiziwanda chema
JF-Expert Member
- Sep 2, 2016
- 288
- 478
Habari madalali wa Bongo, na wenye nyumba.
Nahitaji chumba cha kupanga cha bei Rahisi, Bei isizidi 50 na please sina hela ya miezi sita.
Ningependa maeneo ya kuanzia Tabata Shule hadi Segerea. Sehemu nyingine naweza kuja endapo bei ni pungufu na Mazingira mazuri ya eneo la makazi.
Nb; Nina familia ya watu watatu. Mmoja ni mtoto wa miaka miwili.
Natanguliza Shukrani 0622900222
Atafutae Hachoki
===========================
Wakuu Asanteni kwa Ushikirikiano, nimefanikiwa Hitaji langu
Salama na iwe kwenu
Nahitaji chumba cha kupanga cha bei Rahisi, Bei isizidi 50 na please sina hela ya miezi sita.
Ningependa maeneo ya kuanzia Tabata Shule hadi Segerea. Sehemu nyingine naweza kuja endapo bei ni pungufu na Mazingira mazuri ya eneo la makazi.
Nb; Nina familia ya watu watatu. Mmoja ni mtoto wa miaka miwili.
Natanguliza Shukrani 0622900222
Atafutae Hachoki
===========================
Wakuu Asanteni kwa Ushikirikiano, nimefanikiwa Hitaji langu
Salama na iwe kwenu