Sintofahamu ya mpaka sasa Serikali haijawalipa watumishi mshahara wa mwezi wa mwezi Mei

Hij nchi ya kizandiki na ya kipumbavu sana! Sasa mnakalia nani kumlaumu? Ni uoumbavu wenu wa kijinga hui
 
2020 mwalimu ulisimamia uchaguzi halmashauri gani? Ulishuhudia kura zikiingizwa kwa mabox huku ukisaidia kisa ulipewa chakula, maji, t-shirt na elf 2020! Wacha kulia piga kazi
Umesikia juzi tulifungua ikulu yetu ya kisasa kabisa kuliko zote Africa? Cc ni dona kantry sawa kijana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…