Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

"....Wakati mambo yanaenda kombo kuna wajinga wa chama tawala ikiwemo watangazaji, viongozi wa dini na wazee wenye ushawishi walikuwa wanaitangazia dunia kupitia redio Rwanda ipo salama hakuna chochote kibaya kinachoendelea kwani amani imetawala kabisa....."

Sentensi hiyo inafikirisha kweli kweli.
 
Umezifananisha na kauli za Chama Chetu?
 
Ndiyo yanayoendelea kwa sasa huku
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu bossless humu interahamwe wengi na ndo wanatukana hovyo . Sie tuendelee
 
Balozi wenu alikuwa akijiendesha mwenyewe au ana dereva?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana mkuu.
Sipati picha siku ya kwanza kufanikiwa kurudi Tanzania ulijisikiaje!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matatizo yenu mnahamishia kwa mleta uzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…