Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Acha hizo wewe sio mtoto
Kutokana na kashfa na matusi ya baadhi ya memebers humu napenda kusitisha ushuhuda huu, niwaombe radhi tena na samahani sintoweza kuendelea bora nihamishie ushuhuda wangu kwenye another social network lakini sio humu jf. Mtu hajamaliza kuandika unatukanwa, anakashifiwa,sijui huu utamaduni sijui wawapi? Cha ajabu modereta wanakausha tu bila kukemea mwisho jf inaonekana imekuwa kijiwe cha wahuni. Asante sanaa. Naomba nami nibaki kuwa msomaji wa mada za wengine humu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli inamaana yajayo kwenye nchi yangu ndiyo kama haya au

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa uzoefu wangu sisi bado sanaa.nchii hii hata aasi CDF hakuna mtanzania atakaethubuti kuingia barabarani kumtetea Mh. Rais. Uoga, unafki na kujipendekeza kila mtu atacheza kwenye nafasi ili awe mshirika atunishe tumbo lake si mnaona yanayoendelea nchini .tawala zilizopita zilitujengea mazingira ya kupuuza na kuacha yapite. Mf. Uchaguzi wa serikali za mitaa watu wamesahau sasa wanapiga kelele tume huru nalo litapita maisha yataendelea. NAKUPENDA NCHII YANGU TANZANIA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo njemba alikuwa anajiamini nini kumtishia balozi wa nchi nyengine?. Au ni ignorance, ??.
Interahamwe ni rubbish mzee ,na kwa mara ya kwanza ndo nilikuwa nimeona interahamwe ananyanyua panga juu anashusha bila damu. Sikuona tena hilo tukio hadi naondoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaendelea........

Haya sasa maisha ya matukio madogo madogo ya uhalifu kama wizi, kutekana na kupotesana yakawa yanaendelea kiaina watu wanauawa maisha yanaendelea ,kwa mara ya kwanza nikajuta kuwepo nchini rwanda kikazi nikawa nimekinai matukio hayo
Nikaanza kuwaza je? Siku itokee nchi yetu Tanzania uwaudhi hawa jamaa si tutachinjwa kama kuku, ikabidi nipunguze matembezi ya usiku, rafiki yangu mkubwa akawa demu wangu.
Sasa hali ikawa inaendelea ila nikumbushie kitu demu wangu mamake alikuwa mtusi ila yeye alikuwa kama mchanganyiko hivi ila babake sikuwahi kumjua wala kumuona ila stori za mtaani ni kwamba alikuwa jera amefungwa kifungo cha mda mrefu sababu sijui wala sikuwahi kumuuliza hilo swala mpenzi wangu huyo. Sasa kuna kitu kikawa kinanishangaza nikiwa nae ananipigisha stori za kuhamia Tanzania ,yani anataka tuhame tanzania na mimi tuishi wote tena akawa yupo serious kabisa nikimuuliza unawaachaje ndugu zako anasema nisijali wao watabaki tu hakuna shida nahisi alishahisi kuna hatari inakuja mbeleniii.

Kama mnakumbuka nilisema , hapo mwanzoni nimesema ukiona vikundi vya ulinzi vya kisiasa vinaanza kubeba silaha hadharani jua sasa hali ya hatari inagonga hodi.
Sasa turukie kwenye dalili ya pili ambayo sasa ukiona hiyo jua nchii inaelekea shimoni dalili yenyewe ni pale unapoona unaenda dukani muuzaji anakwambia labda unaulizia unga yeye anakwambia hataki hela kama una sukari mpe sukari yeye akupe unga yani kwa wale wazee wa histori kule west Afrika walikuwa wanaita barter trade karne ya 16 unanipa kitu nakupa kitu ,hela haina Thamani tena kwa binadamu watu wanaangalia kitu sio pesa ukionahivyo juasasa nchi inaingia shimoni muda si mrefu yani imebaki miezi michache tu kama sio siku nchii isambaratike vipande ,sasa ikawa hivyo wahindi, Wasomali wenye hoteli mjini wakaanza kusepa moja moja unakaa unashangaa duka halifunguliwi kumbe wenyewe waeshaondoka maisha yakaanza kuwa magumu mjini. Bidhaa hazipatikani sasa njaa ikaanza. ikabidi balozi awasiliane na makao makuu Dar kuomba ushauri nini afanye uturudishe nyumbani au ubalozi ufungwe au makao makuji Dar wakagoma jibu likaja tusubiri kwanza.

Kuna upumbavu ulikuwa unaendelea nchini rwanda ,ndo maana nikasema hapo juu usimwamini mnyarwanda .unajua ni upumbavu gani yani sijui ni teknolojia ya chini kipindi hicho ,wakati mambo yanaenda kombo kuna wajinga wa chama tawala ikiwemo watangazaji viongozi wa dini na wazee wenye ushawishi walikuwa wanaitangazia dunia kupitia redio rwanda ipo salama hakuna chochote kibaya kinachoendelea kwani amani imetawala kabisa aise ukawa unapigwa wimbo flani wa chama kwenye redio rwanda kuhamasisha Wahutu wajilinde na chama chao popote walipo na wahakikishe maeneo yapo salama hakuna mchanganyiko wa damu yani wawe wao tu bila Watusi tafsiri yake wamalize Watusi wote, ila katika hili wanajeshi wengi hawakushiriki katika kuua kikatili Watusi walihamishiwa nje mji na mipakani kulinda na kupigana na RPF kazi ya kumaliza Watusi ilikuwa kazi ya interahamwe maisha yakawa magumu watu wakaanza kuikimbia kigali kwa siri yani unaamka asubuhi unakuta mlango wa jirani yako uko wazi amechukua vijavyobebeka kasepa japo sasa nami nikaanza kufikiri kurudi kuishi ibalozini swala narudi je sasa? Daahh demu wangu nimwachie nani nguvu ya penzi ikawa kubwa ,mtaani kwetu tukabaki watu wakuhesabika maisha yanazidi kuwa magumu.

Sasa njiani tukaanza kuwa tunapishana na wanajeshi wa ubelgiji wako kwenye mstari na bunduki za kivita nzito nzito kuuliza eti wamekuja kulinda ndugu zao na mali zao mambo yakawa magumu tukawa tunaelekea mwezi wa kumi na moja, sasa ikawa redioni ni propaganda tupu za vita ,Paulo kagame amechachama huko na jeshi lake mapambano yamepamba moto jeshi la rwanda li kawa kama limezidiwa ila propaganda za redio rwanda ni vita inaendelea jeshi limewapiga RPF limewarudisha msituni hali ikawa inaendelea hivyo uvamizi mipakani Ukawa ni report ya kila siku redioni plus propaganda za kupeana moyo nchi inazidi kuzama taratibu, hela haina Thamani tena, chakula hamna watu hawaelewi wafanyei nini nchi ikawa gizani..

Naomba leo niishie hapa......... Itaendelea kesho kutaja dalili ya mwisho nchii kuu ingia gizani rasmi na wingu la roho ya mauti linatanda angani hapo kinachobaki mtu anapambania nafsi yake

Usiku mwema itaendelea kesho.............

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante, let's wait

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaendelea........

Haya sasa maisha ya matukio madogo madogo ya uhalifu kama wizi, kutekana na kupotesana yakawa yanaendelea kiaina watu wanauawa maisha yanaendelea ,kwa mara ya kwanza nikajuta kuwepo nchini rwanda kikazi nikawa nimekinai matukio hayo
Nikaanza kuwaza je? Siku itokee nchi yetu Tanzania uwaudhi hawa jamaa si tutachinjwa kama kuku, ikabidi nipunguze matembezi ya usiku, rafiki yangu mkubwa akawa demu wangu.
Sasa hali ikawa inaendelea ila nikumbushie kitu demu wangu mamake alikuwa mtusi ila yeye alikuwa kama mchanganyiko hivi ila babake sikuwahi kumjua wala kumuona ila stori za mtaani ni kwamba alikuwa jera amefungwa kifungo cha mda mrefu sababu sijui wala sikuwahi kumuuliza hilo swala mpenzi wangu huyo. Sasa kuna kitu kikawa kinanishangaza nikiwa nae ananipigisha stori za kuhamia Tanzania ,yani anataka tuhame tanzania na mimi tuishi wote tena akawa yupo serious kabisa nikimuuliza unawaachaje ndugu zako anasema nisijali wao watabaki tu hakuna shida nahisi alishahisi kuna hatari inakuja mbeleniii.

Kama mnakumbuka nilisema , hapo mwanzoni nimesema ukiona vikundi vya ulinzi vya kisiasa vinaanza kubeba silaha hadharani jua sasa hali ya hatari inagonga hodi.
Sasa turukie kwenye dalili ya pili ambayo sasa ukiona hiyo jua nchii inaelekea shimoni dalili yenyewe ni pale unapoona unaenda dukani muuzaji anakwambia labda unaulizia unga yeye anakwambia hataki hela kama una sukari mpe sukari yeye akupe unga yani kwa wale wazee wa histori kule west Afrika walikuwa wanaita barter trade karne ya 16 unanipa kitu nakupa kitu ,hela haina Thamani tena kwa binadamu watu wanaangalia kitu sio pesa ukionahivyo juasasa nchi inaingia shimoni muda si mrefu yani imebaki miezi michache tu kama sio siku nchii isambaratike vipande ,sasa ikawa hivyo wahindi, Wasomali wenye hoteli mjini wakaanza kusepa moja moja unakaa unashangaa duka halifunguliwi kumbe wenyewe waeshaondoka maisha yakaanza kuwa magumu mjini. Bidhaa hazipatikani sasa njaa ikaanza. ikabidi balozi awasiliane na makao makuu Dar kuomba ushauri nini afanye uturudishe nyumbani au ubalozi ufungwe au makao makuji Dar wakagoma jibu likaja tusubiri kwanza.

Kuna upumbavu ulikuwa unaendelea nchini rwanda ,ndo maana nikasema hapo juu usimwamini mnyarwanda .unajua ni upumbavu gani yani sijui ni teknolojia ya chini kipindi hicho ,wakati mambo yanaenda kombo kuna wajinga wa chama tawala ikiwemo watangazaji viongozi wa dini na wazee wenye ushawishi walikuwa wanaitangazia dunia kupitia redio rwanda ipo salama hakuna chochote kibaya kinachoendelea kwani amani imetawala kabisa aise ukawa unapigwa wimbo flani wa chama kwenye redio rwanda kuhamasisha Wahutu wajilinde na chama chao popote walipo na wahakikishe maeneo yapo salama hakuna mchanganyiko wa damu yani wawe wao tu bila Watusi tafsiri yake wamalize Watusi wote, ila katika hili wanajeshi wengi hawakushiriki katika kuua kikatili Watusi walihamishiwa nje mji na mipakani kulinda na kupigana na RPF kazi ya kumaliza Watusi ilikuwa kazi ya interahamwe maisha yakawa magumu watu wakaanza kuikimbia kigali kwa siri yani unaamka asubuhi unakuta mlango wa jirani yako uko wazi amechukua vijavyobebeka kasepa japo sasa nami nikaanza kufikiri kurudi kuishi ibalozini swala narudi je sasa? Daahh demu wangu nimwachie nani nguvu ya penzi ikawa kubwa ,mtaani kwetu tukabaki watu wakuhesabika maisha yanazidi kuwa magumu.

Sasa njiani tukaanza kuwa tunapishana na wanajeshi wa ubelgiji wako kwenye mstari na bunduki za kivita nzito nzito kuuliza eti wamekuja kulinda ndugu zao na mali zao mambo yakawa magumu tukawa tunaelekea mwezi wa kumi na moja, sasa ikawa redioni ni propaganda tupu za vita ,Paulo kagame amechachama huko na jeshi lake mapambano yamepamba moto jeshi la rwanda li kawa kama limezidiwa ila propaganda za redio rwanda ni vita inaendelea jeshi limewapiga RPF limewarudisha msituni hali ikawa inaendelea hivyo uvamizi mipakani Ukawa ni report ya kila siku redioni plus propaganda za kupeana moyo nchi inazidi kuzama taratibu, hela haina Thamani tena, chakula hamna watu hawaelewi wafanyei nini nchi ikawa gizani..

Naomba leo niishie hapa......... Itaendelea kesho kutaja dalili ya mwisho nchii kuu ingia gizani rasmi na wingu la roho ya mauti linatanda angani hapo kinachobaki mtu anapambania nafsi yake

Usiku mwema itaendelea kesho.............

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiv wahutu na watutsi ni wap ni wengi Rwanda?

Burundi kuna watu gan huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaendelea........

Haya sasa maisha ya matukio madogo madogo ya uhalifu kama wizi, kutekana na kupotesana yakawa yanaendelea kiaina watu wanauawa maisha yanaendelea ,kwa mara ya kwanza nikajuta kuwepo nchini rwanda kikazi nikawa nimekinai matukio hayo
Nikaanza kuwaza je? Siku itokee nchi yetu Tanzania uwaudhi hawa jamaa si tutachinjwa kama kuku, ikabidi nipunguze matembezi ya usiku, rafiki yangu mkubwa akawa demu wangu.
Sasa hali ikawa inaendelea ila nikumbushie kitu demu wangu mamake alikuwa mtusi ila yeye alikuwa kama mchanganyiko hivi ila babake sikuwahi kumjua wala kumuona ila stori za mtaani ni kwamba alikuwa jera amefungwa kifungo cha mda mrefu sababu sijui wala sikuwahi kumuuliza hilo swala mpenzi wangu huyo. Sasa kuna kitu kikawa kinanishangaza nikiwa nae ananipigisha stori za kuhamia Tanzania ,yani anataka tuhame tanzania na mimi tuishi wote tena akawa yupo serious kabisa nikimuuliza unawaachaje ndugu zako anasema nisijali wao watabaki tu hakuna shida nahisi alishahisi kuna hatari inakuja mbeleniii.

Kama mnakumbuka nilisema , hapo mwanzoni nimesema ukiona vikundi vya ulinzi vya kisiasa vinaanza kubeba silaha hadharani jua sasa hali ya hatari inagonga hodi.
Sasa turukie kwenye dalili ya pili ambayo sasa ukiona hiyo jua nchii inaelekea shimoni dalili yenyewe ni pale unapoona unaenda dukani muuzaji anakwambia labda unaulizia unga yeye anakwambia hataki hela kama una sukari mpe sukari yeye akupe unga yani kwa wale wazee wa histori kule west Afrika walikuwa wanaita barter trade karne ya 16 unanipa kitu nakupa kitu ,hela haina Thamani tena kwa binadamu watu wanaangalia kitu sio pesa ukionahivyo juasasa nchi inaingia shimoni muda si mrefu yani imebaki miezi michache tu kama sio siku nchii isambaratike vipande ,sasa ikawa hivyo wahindi, Wasomali wenye hoteli mjini wakaanza kusepa moja moja unakaa unashangaa duka halifunguliwi kumbe wenyewe waeshaondoka maisha yakaanza kuwa magumu mjini. Bidhaa hazipatikani sasa njaa ikaanza. ikabidi balozi awasiliane na makao makuu Dar kuomba ushauri nini afanye uturudishe nyumbani au ubalozi ufungwe au makao makuji Dar wakagoma jibu likaja tusubiri kwanza.

Kuna upumbavu ulikuwa unaendelea nchini rwanda ,ndo maana nikasema hapo juu usimwamini mnyarwanda .unajua ni upumbavu gani yani sijui ni teknolojia ya chini kipindi hicho ,wakati mambo yanaenda kombo kuna wajinga wa chama tawala ikiwemo watangazaji viongozi wa dini na wazee wenye ushawishi walikuwa wanaitangazia dunia kupitia redio rwanda ipo salama hakuna chochote kibaya kinachoendelea kwani amani imetawala kabisa aise ukawa unapigwa wimbo flani wa chama kwenye redio rwanda kuhamasisha Wahutu wajilinde na chama chao popote walipo na wahakikishe maeneo yapo salama hakuna mchanganyiko wa damu yani wawe wao tu bila Watusi tafsiri yake wamalize Watusi wote, ila katika hili wanajeshi wengi hawakushiriki katika kuua kikatili Watusi walihamishiwa nje mji na mipakani kulinda na kupigana na RPF kazi ya kumaliza Watusi ilikuwa kazi ya interahamwe maisha yakawa magumu watu wakaanza kuikimbia kigali kwa siri yani unaamka asubuhi unakuta mlango wa jirani yako uko wazi amechukua vijavyobebeka kasepa japo sasa nami nikaanza kufikiri kurudi kuishi ibalozini swala narudi je sasa? Daahh demu wangu nimwachie nani nguvu ya penzi ikawa kubwa ,mtaani kwetu tukabaki watu wakuhesabika maisha yanazidi kuwa magumu.

Sasa njiani tukaanza kuwa tunapishana na wanajeshi wa ubelgiji wako kwenye mstari na bunduki za kivita nzito nzito kuuliza eti wamekuja kulinda ndugu zao na mali zao mambo yakawa magumu tukawa tunaelekea mwezi wa kumi na moja, sasa ikawa redioni ni propaganda tupu za vita ,Paulo kagame amechachama huko na jeshi lake mapambano yamepamba moto jeshi la rwanda li kawa kama limezidiwa ila propaganda za redio rwanda ni vita inaendelea jeshi limewapiga RPF limewarudisha msituni hali ikawa inaendelea hivyo uvamizi mipakani Ukawa ni report ya kila siku redioni plus propaganda za kupeana moyo nchi inazidi kuzama taratibu, hela haina Thamani tena, chakula hamna watu hawaelewi wafanyei nini nchi ikawa gizani..

Naomba leo niishie hapa......... Itaendelea kesho kutaja dalili ya mwisho nchii kuu ingia gizani rasmi na wingu la roho ya mauti linatanda angani hapo kinachobaki mtu anapambania nafsi yake

Usiku mwema itaendelea kesho.............

Sent using Jamii Forums mobile app







acha michosho



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujumbe mzito
"....Wakati mambo yanaenda kombo kuna wajinga wa chama tawala ikiwemo watangazaji, viongozi wa dini na wazee wenye ushawishi walikuwa wanaitangazia dunia kupitia redio Rwanda ipo salama hakuna chochote kibaya kinachoendelea kwani amani imetawala kabisa....."

Sentensi hiyo inafikirisha kweli kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mi pamenivutia sana hapo, ila nikakumbuka Bossless kasema humo bolozini kuna siri sana! Pengine yule mama sio kwamba alikuwa jasiri bali alifahamiana kwa karibu na viongozi wa interahamwe na pengine ndio alikuwa akiwasiliana nao kwa kinyarwanda, mawasiliano hayo ndiyo yalopelekea panga kushushwa bila kumdhuru.
Ningependa kujua, hapo ubalozini hakuna aliyehisi au kujua kwenye ile redio call balozi alikua anaogea na nani? Ila nimempenda sana huyo Mzeemama Mheshimiwa Balozi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inafikirisha sana ndiyo! Kwa maana ya kuitazama siasa yetu lakini ukitembea nje tu nyumba uliopo utagundua lifestyle ya watanzania ni tofauti sana na huko Rwanda, hakuna mtanzania mwenye munkari wa kushikiana mapanga achilia mbali ak47! Hata mambo ya kuchoma moto vibaka yamepungua sana.

Pengine wanasiasa ndo wangechochea vuguvugu za vijana kupigania ukombozi dhidi ya mkoloni mweusi! Wanasiasa hao wako wapi!!? Hao walozeekea kwenye vyeo vyao na sasa wanakwenda kugongeshana miguu na mkulu!? Hakuna anaependa vita ila na sisi tumelala mno.
"....Wakati mambo yanaenda kombo kuna wajinga wa chama tawala ikiwemo watangazaji, viongozi wa dini na wazee wenye ushawishi walikuwa wanaitangazia dunia kupitia redio Rwanda ipo salama hakuna chochote kibaya kinachoendelea kwani amani imetawala kabisa....."

Sentensi hiyo inafikirisha kweli kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafurahi tu hapa maana kama jamaa alifanya kazi ubalozini na miaka ndio kama hiyo aliyoitaja kuna uwezekano mkubwa jamaa wakamfahamu

Sasa hiyo kusema tu kua ubalozini kuna vyumba vya siri hata kama hajasema ni siri gani naona kama ameshatoa siri, wanaweza wakamtafuta labda
Mbona ipo wazi...

watakuwa hawana kazi mpaka wamtafute kwa hilo..

.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom