Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Uzi umevamiwa na maIT wa kigali

Sent using Jamii Forums mobile app
Of all jf members wewe ndio nimekuspot direct Kama tiss employee directorate ya IT pale eagle wing maana huuu uzi Kuna infiltrators wawili wa kagame walioko umangani wanaufwatilia kila post na katika cloud chek ushawasiliana nao mwakajanadesembanakwenyejambolinalohusuuzihuunawewekwawikitatumweziuliopitaulikuwakigalibishanianike
 
"....Wakati mambo yanaenda kombo kuna wajinga wa chama tawala ikiwemo watangazaji, viongozi wa dini na wazee wenye ushawishi walikuwa wanaitangazia dunia kupitia redio Rwanda ipo salama hakuna chochote kibaya kinachoendelea kwani amani imetawala kabisa....."

Sentensi hiyo inafikirisha kweli kweli.
Daaah! Kwelimkuu
 
Kisa kitamu saana hiki mkuu! Ni vyema ungeandika full halafu ukawa unaachia vipande au yoote kwa pamoja, ingeprndeza zaidi kuliko hivi kuandika ukipata nafasi, wakati mwingine nahisi kabisa hukuwa na mood ya kuandika ila kwa hofu ya wasomaji unajikuta unaandika kwa ufupi! Matumaini yangu kuna mengi umeyaacha! Kuna sehemu nasoma naona kabisa hapa muandishi kaufosi mkono, mengine unataka kuandika unasema tuache hayo! Umekuwa unaandika kwa ufupi na vipande vifupi. Bossless

Sikuwa na wewe ila naamini kuna visa vingi umeacha kusimulia.
 
Ningependa kujua, hapo ubalozini hakuna aliyehisi au kujua kwenye ile redio call balozi alikua anaogea na nani? Ila nimempenda sana huyo Mzeemama Mheshimiwa Balozi
Labda alikuwa akiongea na mbobezi wa nchi ya Rwanda wa wakati huo yaani waziri wa mambo ya nchi za nje kumlalamikia kile wanachokifanya watu wake kwenye ubalozi wa Tanzania.
 
"....Wakati mambo yanaenda kombo kuna wajinga wa chama tawala ikiwemo watangazaji, viongozi wa dini na wazee wenye ushawishi walikuwa wanaitangazia dunia kupitia redio Rwanda ipo salama hakuna chochote kibaya kinachoendelea kwani amani imetawala kabisa....."

Sentensi hiyo inafikirisha kweli kweli.
Mdugu yangu hata mie hii sentensi inanifanya niwaze mnooo
Maelezo yanafanana kabisa na haya yanayoendelea kwetu hukuu
 
Leo haipo hiyo hali lkn kwa ccm kuendelea kunyanyasa wapinzani itafikia green guard watakuwa na silaha za moto. Ona Mbowe anavyo nyanyaswa polisi hawana hata uwezo wa kuwakamata vijana wa ccm wanaoleta fujo.
Ikitokea vijana wa chadema nao wawe wakivamia mikutano ya ccm, leo unaongea kirahisi tu kesho utabadilisha usemi na utaanza kusema hatukujua viongozi wenye kuleta mizaha ya ubaguzi tuwakatae. Ccm si chama tena ni genge la watu wenye maslahi yao. Itatokea sivema kuchukulia mambo kirahisi CCM NI KUONDOA KABISA
Inafikirisha sana ndiyo! Kwa maana ya kuitazama siasa yetu lakini ukitembea nje tu nyumba uliopo utagundua lifestyle ya watanzania ni tofauti sana na huko Rwanda, hakuna mtanzania mwenye munkari wa kushikiana mapanga achilia mbali ak47! Hata mambo ya kuchoma moto vibaka yamepungua sana.

Pengine wanasiasa ndo wangechochea vuguvugu za vijana kupigania ukombozi dhidi ya mkoloni mweusi! Wanasiasa hao wako wapi!!? Hao walozeekea kwenye vyeo vyao na sasa wanakwenda kugongeshana miguu na mkulu!? Hakuna anaependa vita ila na sisi tumelala mno.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninavyopenda story hapa nimeshawaka... leta vitu Mkuu.
Halafu hii tabia ya watu kuvamia story na kukashifu kuwa ni uongo, ya nini? Kama unaona story ni ya uongo si uachane nayo?
Ustaarabu ni jambo la msingi linalowashinda wengi, hakika.
Nilijuwa unaweza kuleta comment ya aina hii.. Ndege wa aina moja.....
 
Kuongeza mkuu huyo i
Mwanamama ni balozi, demu wangu alikuwa kijana kama mimi tu around miaka 18 na 19 hivi mtoto safii kabisa .

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee baba kama hautajali taja jina la balozi wetu aliyekuwa Rwanda wakati huo serikali ya Rwanda ilipofanya majaribio ya mauaji ya watutsi mwaka 1992 na baadae mauaji rasmi mwaka 1994. Sidhani kama jina la balozi yeyote katika nchi yoyote na kwa mwaka wowote ni siri yoyote kwa mtu yeyote yule. Hivyo sioni sababu kwa nini usitaje jina la huyo mwanadiplomasia wetu kwa wakati huo.
 
Hii story kama sinema vile kila hatua inaleta hamu ya kujua ya mbeleni.

Kuna CD jina nimesahau inaelezea mauaji ya watutsi daah baba mmoja mhutu akapoteza mke na watoto kisa mke ni mtutsi

Wanafunzi wakachapwa risasi darasa zima kisa watutsi
 
Kutokana na kashfa na matusi ya baadhi ya memebers humu napenda kusitisha ushuhuda huu, niwaombe radhi tena na samahani sintoweza kuendelea bora nihamishie ushuhuda wangu kwenye another social network lakini sio humu jf. Mtu hajamaliza kuandika unatukanwa, anakashifiwa,sijui huu utamaduni sijui wawapi? Cha ajabu modereta wanakausha tu bila kukemea mwisho jf inaonekana imekuwa kijiwe cha wahuni. Asante sanaa. Naomba nami nibaki kuwa msomaji wa mada za wengine humu.

Sent using Jamii Forums mobile app
We si mwandishi,badala yakuendeleza umalizie story yako unakaa unatazama watu wanavyokujibu hapa,,hujui kama hum kuna vichaa wakubwa zaid hata ya wale wa barabaran?
Malizia story otherwise Moderator aifute maana umeisusa au uniruhusu niimalizie mimi
 
Leo haipo hiyo hali lkn kwa ccm kuendelea kunyanyasa wapinzani itafikia green guard watakuwa na silaha za moto. Ona Mbowe anavyo nyanyaswa polisi hawana hata uwezo wa kuwakamata vijana wa ccm wanaoleta fujo.
Ikitokea vijana wa chadema nao wawe wakivamia mikutano ya ccm, leo unaongea kirahisi tu kesho utabadilisha usemi na utaanza kusema hatukujua viongozi wenye kuleta mizaha ya ubaguzi tuwakatae. Ccm si chama tena ni genge la watu wenye maslahi yao. Itatokea sivema kuchukulia mambo kirahisi CCM NI KUONDOA KABISA

Sent using Jamii Forums mobile app
CCM iko wapi mkuu! Hii ambayo wamo kina Waitara, Mtatiro, Polepole, Kafurira, Mashinji, Dr. Slaa, Kabudi, Mgwira, Masha n.k? CCM ambayo imemtimulia mbali Membe na kumpa onyo Kinana! Tusikalili sana kuhusu neno CCM maana tayari wamechangamana na wapinzani waliopigania mabadiliko kwa kiasi kikubwa hapo awali. Kama hawawezi kuyaleta mabadiliko hayo wakiwa huko chamani, ni dhahiri unafiki wetu watanzania utakuwa ni wa kiwango cha kutisha.

Hivyo vikosi uchwara vya vyama havijaweza kuleta impact ya vita hapa nchini. Huko mitaani watu hata hawajali kabisa wapo kwenye harakati zao. Harakati za mnyukano wa kisiasa nchini hazizidi hata 5%, watu wapo bize na soka, kukanyaga mafuta, ubuyu wa instagram, kusaka noti... Hata CORONA tu hawana habari nayo.

Vita hapa kwetu si kesho wala mwaka kesho! Ni kama haipo forever. Watu wetu wengi, hata akina Seif Sharrif, Zitto, Mbatia wanaamini katika "Mwenye nguvu mpishe" na "Mpiga ngumi ukuta huumia mwenyewe"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We si mwandishi,badala yakuendeleza umalizie story yako unakaa unatazama watu wanavyokujibu hapa,,hujui kama hum kuna vichaa wakubwa zaid hata ya wale wa barabaran?
Malizia story otherwise Moderator aifute maana umeisusa au uniruhusu niimalizie mimi
Naamin mwandishi ameona comment yako na ameku ignore
 
Back
Top Bottom