Ndugu.
Humo kichwan umebeba mengi sana kuhusu 94, tupe uhondo huu.
Huenda JF miaka kadhaa ijayo ikawa ni moja ya chanzo cha habar mbali mbali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante nashukuruHongera kwa simulizi hii mkuu...tambua tupo wengi ambao tunakufatilia,tunajifunza mengi kutokana story hii..Mungu akupe maisha marefu zaidi na afya njema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani yale malori yote 24 yalijaa watu?
Hawa askari wa UNAMIR walikuwa wametoka nchi za Ulaya au hata waafrika walikuepo?
Ndugu.
Humo kichwan umebeba mengi sana kuhusu 94, tupe uhondo huu.
Huenda JF miaka kadhaa ijayo ikawa ni moja ya chanzo cha habar mbali mbali.
Sent using Jamii Forums mobile app
We interahamwe usituhabieMsimlaumu mleta madaz
Stories za kutunga zinahitaji mtu utulie.
Kama ingekuwa sio ya kutunga asingeogopa critics.
Aombe ushauri hata kwa Pascal Mayalla jinsi ya ku deal na critics za JF . Tena wana JF mi wepesi sana
Walichapana kwa karate na judo au kwa silaha za moto mkuu? Wakauana?Wengi wao walikuwa wabeligi na wafaransa kuna siku wao kwa wao walichapana uwanja wa ndege wa Kigali waziri wa ulinzi wa Rwanda kipindi hicho ndo akaingilia kati kusuluhisha ugomvi wao.sasa walinzi gani hao eti UNAMIR.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani yale malori yote 24 yalijaa watu?
Walichapana kwa karate na judo au kwa silaha za moto mkuu? Wakauana?
Sanaa kuna vitu nikiviweka humu hata Washington. DC watanisaka kwa udi na uvumbi ndo maana mengine nafukiafukia tu.liende
Sent using Jamii Forums mobile app
Bunduki mzee sijui sasa kama waliuana au vipi hapo ilikuwa kabla ya vita kamili bado kuna amani kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Bunduki mzee sijui sasa kama waliuana au vipi hapo ilikuwa kabla ya vita kamili bado kuna amani kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wa interahamwe alikuwa mfanyabiashara .aliitwa georgers rutaganda.alifariki mwaka 2010.alikuwa na ma godown ambayo vitu vilivyoporwa na interahamwe vilihifadhiwa humo.na ndie mfadhili wa chakula na vinywaji kwa mgambo wa interahamweBaadae nilikuja gundua kuwa alikuwa anaongea na mkuu wa interahamwe ( jina lake nimelisahau jamaa babe liuaji hatari sijui kama bado lipo hai, kama bado yupo hai hajasakwa na kufikishwa ICC basi haina haja ya kuendelea kuwahukumu wengine) ila jamaa hilo ndo lilikuwa kama Li-mkuu la majeshi kigali nzima huyo ndo top akisema ua umekwisha akisema acha umepona, unajua mabalozi lazima wawe na koneksheni kubwa sanaa wakati mwingine kwa upande wa serikali, waasi (kama wapo) na wapinzani. Mtakufa wote lakini balozi atapona, atalindwa atasindikizwa na kuwekwa sehemu salama. Nyinyi mnahenyeka tuu na vipassport vyenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana.Very good, lengo langu halikua kuharibu uzi wako ila tu kukumbushana maana ni miaka mingi Ndugu. Heshima kwako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo ndani ya bus.Mkuu umeikatiza,hebu endelea Basi,ili nikaribie Dar,muda huu nipo mikese.Daa bonge la story
Sent using Jamii Forums mobile app
Kauli zake ndio zilimuondoa huyo Rais...Hhahhaa kwa kukufungua akili tu ,iko hivi kuna watu wazito walikuwa Dar es salam,Kampala,Kinshasa,na Nairobi wanaendesha hii vita.ndo maana baada ya vita kuisha wengi walikimbilia maeneo hayo wazito wa Kampala wakawa wameshinda game.
Sent using Jamii Forums mobile app