Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Wengi wao walikuwa wabeligi na wafaransa kuna siku wao kwa wao walichapana uwanja wa ndege wa Kigali waziri wa ulinzi wa Rwanda kipindi hicho ndo akaingilia kati kusuluhisha ugomvi wao.sasa walinzi gani hao eti UNAMIR.
Hawa askari wa UNAMIR walikuwa wametoka nchi za Ulaya au hata waafrika walikuepo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walichapana kwa karate na judo au kwa silaha za moto mkuu? Wakauana?
 
Mkuu wa interahamwe alikuwa mfanyabiashara .aliitwa georgers rutaganda.alifariki mwaka 2010.alikuwa na ma godown ambayo vitu vilivyoporwa na interahamwe vilihifadhiwa humo.na ndie mfadhili wa chakula na vinywaji kwa mgambo wa interahamwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kauli zake ndio zilimuondoa huyo Rais...

Embu shusha mambo, watu wajifunze, hasa hiki chama tawala maana kimeanza kutengeneza matabaka baina ya watanzania...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…