Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Wengi wao walikuwa wabeligi na wafaransa kuna siku wao kwa wao walichapana uwanja wa ndege wa Kigali waziri wa ulinzi wa Rwanda kipindi hicho ndo akaingilia kati kusuluhisha ugomvi wao.sasa walinzi gani hao eti UNAMIR.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mmoja alitaka aweke kibaraka wake ili iwe rahisi kuipiga na kuivamia Congo kuvuna almasi na dhahabu...

Wazungu sio wa kuwaamini, zitto na vibaraka wake waliangalie hili la kujipendekeza kwa mabeberu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bossless stori yako ni nzuri sana, na uzuri wake ni first hand hata haina marejeo ya vitabu kama zile za TheBold ila unaleta kidogo kidogo mnooo kiasi kwamba wa Tz sasa umeanza kuwakera wanastahamili tuu kwasababu wanapenda kijisomea stori na hapa ndipo unapogundua kuwa si kweli kuwa WaTz hawana tabia ya kujisomea ila hawapendi kusoma stori zilizopoa sanaaa na zenye mazingira ya kubuni sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ĺ
Kuna mahali umesema hukujua mtutsi na Muhutu wanawatofautishaje

Hujaeleza uligundua wanawatofautishaje

Mimi pia hunichanganya naomba unijuze

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtutsi huwa mrefu hewani au wa wastani.pua ndefu ya kisomali.ngozi nzuri laini.kama ni mwanamke hubeba hipsi za maana.nywele nzuri pia kiufupi huwa ni wenye mvuto.(pisi kali).hutu huwa vijeba .hawana mvuto nywele kipilipili na pua pana.wengi ni weusi tititii..mademu zao vipori[emoji85][emoji85][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naombeni ruhusa wadau nipate endeleza hii stori.

Na ikitokea mtu ana stori nzuri kama hii lakini ana vi "itaendelea" muwe mnaniita tu ndugu zangu ili niweze kuimalizia.

WanaJF 100 waki like comment yangu naendeleza stori

Ilikuwaje baada ya kukutana na kizuizi kikubwa. Na jinsi balozi alivyonusurika kupigwa risasi na wale wanajeshi wa Rwanda kisa wale mabinti wadogo wenye asili ya kitusi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Au we ndo balozi mwenyewe mkuu
 
Sanaa kuna vitu nikiviweka humu hata Washington. DC watanisaka kwa udi na uvumbi ndo maana mengine nafukiafukia tu.liende

Sent using Jamii Forums mobile app
Hofu yako tu mkuu, Washington DC wanakawaida ya kudisclose classified issues kila baada ya miaka 20 kwasababu they got no impact to the public zaidi ya kuwajuza nini hasa kilitokea au kufanyika na serikali ilichukua hatua gani. Hata kama hatua walizozichukua zilipelekea mauwaji huwa wako waziwazi na wanaiomba msamaa jamii.
So wewe ongea as long unachotaka kusema labda wao walishazitoa hizo nyaraka zamani.
 
Story inavutia sana japo inasikitisha sana, binafsi sikuwa Rwanda ila nilikuwa nashuhudia maiti zikiwa zimetungwa kwenye ki mti ( mtungoni) unakuta baba, mama na watoto wote wamewekwa kwenye ki mti km samaki zikiwa zinatiririka kewnye maji kupitia mto Kagera..inaumiza sana to the moment hili suala haliwez kusahaulika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umetukanwa mwili umetoka damu? Acha mbwembwe wewe shusha nondo tusome au ulitaka uonekana nawewe hapa JamiiForums.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
tulieni, babu yupo anaosha meno yake aje aendeleze story, ila mzee unazingua na umri wako wote bado unaandika askali badala ya askari

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unafanya Mungu huyu babu? Kwamba mtu ukiwa mkubwa ndo unakuwa perfect?


Hiv watu mna matatizo gani ? Hasa wabongo yaan mnaangaliaga mapungufu tu yaan watu wengi mna roho za kichawi mbaya tu.

Anyway labda umaskini ,Maisha,stress ndo vinasababisha haya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom