Diana Spencer
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 3,609
- 5,144
Kwa kweli kama wako hai hawatakuja kumsahau huyu mama maishaninimempemnda huyo mama balozi hao watoto nadhan kwa sasa watakuwa na miaka 41 kama wako hai
Sent using Jamii Forums mobile app
Inauma sana, hapa shetani alifanya kazi yake haswa, hivi jinamizi gani liliwakumba hawa binadamu? Inasisimua mwili kabisa...
Nizaidi ya balozi, ni zaidi ya mama, nishujaa wetuNajitolea kumsaka huyu balozi wa Tz huko Rwanda ana moyo wa ujasiri kuliko wanaume wengi humu
Wewe ulitorokaje? Tupe kidogoAcha tu bro, bossless kanikumbusha moja ya tukio baya sana nililiona kwa macho yangu nikiwa na miaka 10 jamaa walikuwa wawili ilikuwa saa tisa na dk 17, alasiri tarehe 26/4/1994. Utanzania uliniokoa dogo huyo aliyekuwa rafiki yangu alipewa thiodan ile dawa tunayopulizia nyanya shambani dogo akawaambia anasikia kiu wakamwongeza nyingine alikufa namwona hv siku nilipoenda musozi kwa mara ya kwanza niliona picha ya dogo pale ndio maana naamini dogo amelala pale afu babu yake wakaondoka nae sijamwona hadi leo
Yaan ningekuwa na uwezo wale jamaa nikiwakuta jehanamu au mbiguni niwauwe tena[emoji24][emoji24][emoji24] basi tu
Rip Jean, babu huko uliko neema za Mungu ziwe nawe
Sorry bossless kuingilia uzi wako
Sent using Jamii Forums mobile app
PK na genge lake wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kujenga picha hasi kwa wahutu japo ukweli ni kuwa mauaji yale yalikuwa ya pande mbili, tutsi waliuliwa lkn pia hutu waliuliwa. Walikuwa wakiviziana lkn kutokana na wingi wa wahutu walionekana kama wamewazidi nguvu tutsi.''Wengi wape" kwanini Tutsi hawataki kutawaliwa na Wahutu walio wengi?
alafu mbona stori nyingi inaonekana wahutu ndio makatili na wakorofi?
kwani watutsi ni innocent kwa Wahutu tangu kizazi na kizazi?
Vipi kwa sasa utawala wa kagame, jeshi lina Wahutu pia?
Wakuu stori hii inasikitisha , hasa nikifikiria watanzania wenzangu waliokuwa na familia huko, Nahisi watanzania wengi waliuwawa ila mtoa mada alipona ndio maana leo anasimulia
RIP watanzania wenzetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio ujasiri tu sio mbinafsi, Watu kama hao ni wachache sana kwa sasa katika kizazi hichi cha nyoka.Najitolea kumsaka huyu balozi wa Tz huko Rwanda ana moyo wa ujasiri kuliko wanaume wengi humu
Mkuu, hiyo tofauti ni hadi kwenye MBUNYE, sivyo?Pua mkuu!
Mhutu ana lipua likubwaaa, na chai jaba, while mtusi pua mchongo na vilips vidogo refer wasomali hivyo kama ndugu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ndiyo ukweli.Ukweli mwingi umefichwa na serikali ya KAGAME.Ni ukweli usiopingika kuwa tusi waliuawa wengi.ILA ukweli usiosemwa ni kwamba mara baada ya RPF kushika dola wahutu wenye mlengo wa kushoto na RPF walikipata cha mtema kuni.jeshi la intelahamwi lilisambazwa hivyo ikabidi wapiganaji wakimbilie zaire(DRC) RPF wakawafata huko huko na kilichowapata huwa hakisemwi sana.yaani waliuliwa kikatili sana.walikuwa wanafungwa mikono na miguu na wanawekwa kwenye magogo kama yale ya bucha zetu za kwa mtogole au manzese then kichwa kinawekwa kwenye gogo unashushiwa nyundo ya kilo 12 na jitu lenye miraba minne.ukweli ni kwamba inasadikika kuwa wahutu walioaga dunia baada ya RPF kushika dola ni wengi kushinda watusi waliouaw enzi za mapigano
Mkuu walivyo warefu na mbunye ndefu kishenzi,,,,,,bila mtalimbo haufui dafu!!!!!Mkuu, hiyo tofauti ni hadi kwenye MBUNYE, sivyo?