Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Ok then, sina hakika kama umeeleweka, ila Nakupenda Bure, You have the right mind and my God bless you.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes ni mtutsi pure kabisa wa western Uganda.
Tutsi wakiwa Rwanda na Burundi ila wakiwa Uganda ni Hima/Ankole, DRC ni Banyamulenge ama Hema/Bagegere.

So ni damu moja hao
Wakiwa Tanzania ni Wahangaza (Watusi + Wahutu wa Rwanda) na Waha (Watusi + Wahutu wa Burundi)
Japo pia kuna waha Asili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeongea kitu sahihi kabisa.

Mambo yaliyofanywa na interahamwe kule Rwanda ni sawa na yaliyofanywa na vijana wa imbonerakule pale Burundi.
Umenikumbusha buja nyuma ya makao ya cnddfdd (sien Dede efu dede) ipo hotel ya waziri mmoja kama sijakosea ni mwanamke nilifikia pale kipindi piere amekoswa kupinduliwa yupo jamaa alikuja pale tukawa tunakunywa nae alijitambulisha kwangu kama kiongozi wa Mbonerakure story zao zinatisha sana niwatu wasiokuwa na hofu ya kutoa uhai wa mtu hata kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninachojua 100% ya rural areas Tz ni third world, nimeshatembea mikoa yote na bahati nzuri mimetembea nchi kadhaa za Ulimwengu wa Kwanza, ni kweli tuna safari ndefu, pengine kama mimi nimepata privilege jukumu langu ni kuinua wanaohitaji kuinuka walau wainuke, na si jiamini kuwa eti nipo Gifted, that's awkward, hata miji yetu 90% bado ni ulimwengu wa tatu sembuse vijijini?
Niseme tu, pasitokee mtu akajiona yeye au jamii yake ni Bora kuliko nyingine, hiyo ni dhana potofu na isiyo na mashiko, na ukiona mtu anaamini hivyo kwenye huu utandawazi basi tambua ako na some cognitive disorders,
Kwakweli umejikwaa kusema kuna jamii Gifted, inaonekana husomi vitabu, everyone is gifted.
Ni suala la Exposure tu kama alivyosema mkuu LadyRed
Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Ako na some cognitive disorder"
Ndiyo nini hiyo "ako"!!!??? Acha ulimbukeni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
shukrani sana ndugu. ..

ila ungejitahidi kujibu na maswali ya wadau ili tusibaki na kinyongo chchte
 
Na tunamuheshimu sana shemeji yetu Happy womens day
 
Hii movie imetokana na story ya ukweli kabisa na wala siyo ya kutunga. Ingelikuwa ni ya kutunga starring asingemalizia kwa kushangaa kulia ubwabwa kwenye kikombe cha chai kwa mama ntilie. Badala yake angeliweka tukio kubwa la kusisimua sana ili kufurahisha genge. Tunamshukuru sana kwa kuwa mkweli na Mungu ambariki.
 
Ujinga wa hivi sisomi nimescroll hadi chini nashangaa kuona part 2 bofya link hii nikaachana nayo
 
Mkuu wale watu saba wenye Vumbi mpaka machoni kazi yao hasa unahisi ni nini?
 
Mwaka 1989 ma bus yalikua yanasafiri usiku mkuu,kuondoka dar ilikua ni kuanzia saa 10 jioni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…