Alpha Blondy
JF-Expert Member
- Oct 6, 2018
- 304
- 440
mkuu wa majeshi yapi tena uyo, hapo nimepotezwa kidogo sijaelewa?RPF walivoingia wakaanza kuua nao wahutu lakini wakawa wamechelewa dunia ikawa imeshajua na kuanza kufuatilia kwa karibu , ikumbukwe hata hapa mkuu wa majeshi Kama sijakosea General Mboma alitishia kuingiza majeshi Rwanda kuzima hii kitu akawa anasubiri final say atoe oda tu .kwa hiyo watusi wakaamua kudeal na wahutu kupitia mahakama za kihuni walizoziita AGACHACHA na hizi ndo zilinifanya nisimuone Tena mpenzi wangu yule niliporudi Rwanda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa kabisa, ila 55 ndio anadhani yeye ndio diiiiiingi kumbe 55 tu.Hebu tumtunzie heshima mzee wetu,hadithi ni nzuri tuna mengi tutajifunza,tuwe wavumilivu
Sent using Jamii Forums mobile app
Team | United Republic of Tanzania High Commissions, Embassies, Consulates, and Diplomatic Missions
Hiyo website ina orodha ya mabalozi wote tangia uhuru na nchi walizopangiwa. Unaweza search kwa kila nchi pia inakupatia list ya mabalozi waliowahi kuiwakilisha Tanzania hiyo sehemu.
Tatizo ni kwamba huyo balozi hayumo kwenye list, ukipekuwa unaona atukuwa na balozi muda huo Rwanda isipokuwa Burundi na kwenyewe pia akupelekwa mtu baada 1991 mpaka vita ilipoisha.
Ukipekuwa sana domument zingine unakutana na jina la ‘Ami Mpungwe’ kama chief diplomat kutoka wizarani aliekuwa architect wa usuluhishi wa mambo ya Rwanda na ‘Patrick Chokala’ kama msemaji wa serikari hao ndio watanzania wanaotajwa na Dr Salim.
Lakini hakuna mention ya huyu mama balozi, pamoja na uzuri wa story but one significant fact is missing for credibility hapo ndio kwenye utata ili wengine tumeze yote as yet ntachukua 80%; very interesting though.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti diiiingi kumbe 55 tu,Sawa kabisa, ila 55 ndio anadhani yeye ndio diiiiiingi kumbe 55 tu.
Nilichopenda kwenye story yote ya huyu bwana ni personal account kwa jicho la mgeni that perspective made it interesting to me na nilijikuta jumamosi na jumapili yote nasoma kuanzia mwanzo hadi mwisho that is rare for me kufuatilia thread hivyo.mkuu kama unajua kuhusu usalama wa taifa utajua kuwa si kilA kitu unachokiona ni disclosed...
so hyo ni moja kat ya majib haswa unayopaswa kuyajua..
Amesema mama huyo ana asili ya Zanzibar tukichukua jina Ame ni la kizanzibar pengine Ni huyo.Team | United Republic of Tanzania High Commissions, Embassies, Consulates, and Diplomatic Missions
Hiyo website ina orodha ya mabalozi wote tangia uhuru na nchi walizopangiwa. Unaweza search kwa kila nchi pia inakupatia list ya mabalozi waliowahi kuiwakilisha Tanzania hiyo sehemu.
Tatizo ni kwamba huyo balozi hayumo kwenye list, ukipekuwa unaona atukuwa na balozi muda huo Rwanda isipokuwa Burundi na kwenyewe pia akupelekwa mtu baada 1991 mpaka vita ilipoisha.
Ukipekuwa sana domument zingine unakutana na jina la ‘Ami Mpungwe’ kama chief diplomat kutoka wizarani aliekuwa architect wa usuluhishi wa mambo ya Rwanda na ‘Patrick Chokala’ kama msemaji wa serikari hao ndio watanzania wanaotajwa na Dr Salim.
Lakini hakuna mention ya huyu mama balozi, pamoja na uzuri wa story but one significant fact is missing for credibility hapo ndio kwenye utata ili wengine tumeze yote as yet ntachukua 80%; very interesting though.
Amesema mama huyo ana asili ya Zanzibar tukichukua jina Ame ni la kizanzibar pengine Ni huyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kifupi suala la Rwanda, Tutsi and Hutu pamoja na nchi za Burundi,DRC NA Rwanda yenyewe kuna mambo mengi sana. Kuna conspiracy theories nyingi.Genocide ya Rwanda ya 1994 isingetokea kama RPF ya Kagame/Rwigema wasingeanza uvamizi wao against serikali halali ya Habyarimana Juvenal kuanzia 1990 mpaka walipochukua nchi 1994. Mapigano kati ya wahutu/ interahamwe dhidi ya Tutsi/RPF yalikuwepo kwa muda mrefu tangu mwishoni mwa miaka ya 1980s ambapo wahutu walikua wakidefend legitimate govt yao kwa muda huo huku watutsi RPF chini ya Fred Gwisa Rwigema baadae Kagame wakiamini wao ndio wwnye haki ya kutawala Rwanda maana historically ma chief wote na wafalme wa Rwanda tangu 1700s kabla hata ya ukoloni wa wajerumani na wabelgiji walikua watutsi line ya Mwami Kigeli, Mutara , Karemera, Yuhi wafalme hawa wa kitutsi wametawala Rwanda wayback kuanzia 1600s mpaka mfalme wa Mwisho Kigeli VI aliyeondolewa madarakani mwaka 1961 , mwaka ambao Rwanda became a Republic with Hutu majority rule chini ya rais wa kihutu President Gregoire Kayibanda. Kuanzia mwaka 1962 watutsi wamekua wakistage guerilla warfare kutokea msituni walipokua uhamishoni mostly kutokea Uganda mpaka walipofanikiwa kuchukua tena madaraka baada ya Genocide July 1994.
Hivyo basi wahutu wasingewaua watutsi kama wao pia wasingeshambuliwa. Ilikua ni kama self defence. Ila kwa kuwa Kagame ndiye aliyeshinda vita ya 1994 na kwa support ya western powers na pamoja ya intelligence aliyokuwanayo PK pamoja skillfully propaganda mpaka leo mpaka kesho wahutu ndio wanaolaumiwa kwa genocide ya 1994. Na kwa sheria za leo hii za rwanda haiitwi genocide bali inaitwa ''genocide againsts Tutsis" na kama unapinga utaitwa hutu sympathizer au genocide denier na adhabu yake si chini ya miaka 10 jela kwa current laws za Rwanda. Yaani sio mauaji ya haraiki tu bali yanaitwa mauaji ya halaiki dhidi ya watutsi na uadhimishwa 1-7 April mwaka.
Kwa kumalizia tu Kagame ni agent / asset wa CIA / MI6 pamoja na Mossad. Alikuwa recruited Leavenworth, Kansas Marekani mnamo mwaka 1990. Yote yaliyotokea baada ya Mwaka 1990 mpaka Kagame anachukua nchi 1994, Congo war 1 1996 na Congo war ya pili 1998-1999 iliyopelekea kuuwawa kwa Rais Laurent Kabila Sr ikulu Kinshasa mwaka 1998, looting na vandalism ya precious minerals za Congo DRC Kama Gold, Cobalt, Tin, Coltan na uranium Congo chini ya Gen James Kabarebe na baadae mageneral waasi wenye asili ya Kitutsi akina Laurent Nkunda na Bosco Ntaganda, Yote haya yana baraka za USA na UK, maana Madini yote haya yanaelekezwa USA na yahitajika sana kama raw materials kwa ajili ya viwanda vya simu/laptops na electronics USA na baadhi kama uranium kwa ajili Atomic na nuclear bombs. Kipind cha cold war na baada yake marekani aliitaji ally ambae anaweza dhibiti madini ya Kongo yasiende USSR na pia waliitaji mtu ambae anaweza leta stability katika nchi za maziwa makuu na mtu huyo si mwingine zaidi ya mtu ya intelligence kubwa, strong, focused, keen to details, determined na mastermind wa military intelligence, wao wanamwita Pilato au Afande PK, General Paul Kagame
View attachment 1383575View attachment 1383576View attachment 1383577View attachment 1383578View attachment 1383580View attachment 1383581View attachment 1383582View attachment 1383583
Well said... ila kuhusu kukutafuta...unamjua pk vizuri? Ni myambilisi kinyama.Ni kweli mkuu lakini kila kitu kilisha exist hapa duniani hapa nina maana kwamba kila kitu kilishafanyika lakini bado watu wanaendelea kufanya, mfano mzuri hapo tu umenitajia reference kama tatu hivi means kuna mtu alianza lakini akaja mwingine nae akafanya na mwingine tena akafanya...
Uzuri na advantage yake hapa kila mtu anaongelea kile alichokiona yeye means same scenario but different taste au contents.. Hio issue ya PK ni jambo lingine sijajua kama anaweza kukutafuta huku bongo ili akupoteze,, if he can basi hii ndio ingekua changamoto ila sio hiyo ya kwanza.. There is no new thing in this world.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji1690][emoji1690]Genocide ya Rwanda ya 1994 isingetokea kama RPF ya Kagame/Rwigema wasingeanza uvamizi wao against serikali halali ya Habyarimana Juvenal kuanzia 1990 mpaka walipochukua nchi 1994. Mapigano kati ya wahutu/ interahamwe dhidi ya Tutsi/RPF yalikuwepo kwa muda mrefu tangu mwishoni mwa miaka ya 1980s ambapo wahutu walikua wakidefend legitimate govt yao kwa muda huo huku watutsi RPF chini ya Fred Gwisa Rwigema baadae Kagame wakiamini wao ndio wwnye haki ya kutawala Rwanda maana historically ma chief wote na wafalme wa Rwanda tangu 1700s kabla hata ya ukoloni wa wajerumani na wabelgiji walikua watutsi line ya Mwami Kigeli, Mutara , Karemera, Yuhi wafalme hawa wa kitutsi wametawala Rwanda wayback kuanzia 1600s mpaka mfalme wa Mwisho Kigeli VI aliyeondolewa madarakani mwaka 1961 , mwaka ambao Rwanda became a Republic with Hutu majority rule chini ya rais wa kihutu President Gregoire Kayibanda. Kuanzia mwaka 1962 watutsi wamekua wakistage guerilla warfare kutokea msituni walipokua uhamishoni mostly kutokea Uganda mpaka walipofanikiwa kuchukua tena madaraka baada ya Genocide July 1994.
Hivyo basi wahutu wasingewaua watutsi kama wao pia wasingeshambuliwa. Ilikua ni kama self defence. Ila kwa kuwa Kagame ndiye aliyeshinda vita ya 1994 na kwa support ya western powers na pamoja ya intelligence aliyokuwanayo PK pamoja skillfully propaganda mpaka leo mpaka kesho wahutu ndio wanaolaumiwa kwa genocide ya 1994. Na kwa sheria za leo hii za rwanda haiitwi genocide bali inaitwa ''genocide againsts Tutsis" na kama unapinga utaitwa hutu sympathizer au genocide denier na adhabu yake si chini ya miaka 10 jela kwa current laws za Rwanda. Yaani sio mauaji ya haraiki tu bali yanaitwa mauaji ya halaiki dhidi ya watutsi na uadhimishwa 1-7 April mwaka.
Kwa kumalizia tu Kagame ni agent / asset wa CIA / MI6 pamoja na Mossad. Alikuwa recruited Leavenworth, Kansas Marekani mnamo mwaka 1990. Yote yaliyotokea baada ya Mwaka 1990 mpaka Kagame anachukua nchi 1994, Congo war 1 1996 na Congo war ya pili 1998-1999 iliyopelekea kuuwawa kwa Rais Laurent Kabila Sr ikulu Kinshasa mwaka 1998, looting na vandalism ya precious minerals za Congo DRC Kama Gold, Cobalt, Tin, Coltan na uranium Congo chini ya Gen James Kabarebe na baadae mageneral waasi wenye asili ya Kitutsi akina Laurent Nkunda na Bosco Ntaganda, Yote haya yana baraka za USA na UK, maana Madini yote haya yanaelekezwa USA na yahitajika sana kama raw materials kwa ajili ya viwanda vya simu/laptops na electronics USA na baadhi kama uranium kwa ajili Atomic na nuclear bombs. Kipind cha cold war na baada yake marekani aliitaji ally ambae anaweza dhibiti madini ya Kongo yasiende USSR na pia waliitaji mtu ambae anaweza leta stability katika nchi za maziwa makuu na mtu huyo si mwingine zaidi ya mtu ya intelligence kubwa, strong, focused, keen to details, determined na mastermind wa military intelligence, wao wanamwita Pilato au Afande PK, General Paul Kagame
View attachment 1383575View attachment 1383576View attachment 1383577View attachment 1383578View attachment 1383580View attachment 1383581View attachment 1383582View attachment 1383583
Yaani nilipekuwa mpaka oxford holaaa..nitatafuta testmony holaa.google holaa ..wizara ya mambo ya nje holaa.nikauliza kwa proffesor mmoja hivi ni diplomat aliyebobea holaaa..nikabaki[emoji2369]?????....Team | United Republic of Tanzania High Commissions, Embassies, Consulates, and Diplomatic Missions
Hiyo website ina orodha ya mabalozi wote tangia uhuru na nchi walizopangiwa. Unaweza search kwa kila nchi pia inakupatia list ya mabalozi waliowahi kuiwakilisha Tanzania hiyo sehemu.
Tatizo ni kwamba huyo balozi hayumo kwenye list, ukipekuwa unaona atukuwa na balozi muda huo Rwanda isipokuwa Burundi na kwenyewe pia akupelekwa mtu baada 1991 mpaka vita ilipoisha.
Ukipekuwa sana domument zingine unakutana na jina la ‘Ami Mpungwe’ kama chief diplomat kutoka wizarani aliekuwa architect wa usuluhishi wa mambo ya Rwanda na ‘Patrick Chokala’ kama msemaji wa serikari hao ndio watanzania wanaotajwa na Dr Salim.
Lakini hakuna mention ya huyu mama balozi, pamoja na uzuri wa story but one significant fact is missing for credibility hapo ndio kwenye utata ili wengine tumeze yote as yet ntachukua 80%; very interesting though.
I concur.. Ila one thing is certain mtoa mada amewahi kuishi Rwanda maana kwa jins anavyotofautisha haiba, tabia na tofauti kati ya wahutu na watutsi ni pasi na shaka kwamba amewah kuishi Rwanda. Anatoa vivid naration ya yaliyojiri na yeye akiwa part ya yaliyotokea since 1989 mpaka 1994 ambayo siwezi pinga most of the details zinareflect kiukweli yaliyotokea ambayo ni good thing kushare na kutoa mwangaza kwa waliokuwa hawafaham yaliyojiri pia kutoa precaution kuhusu madhara ya ukabila na utengano wa kikanda hasa Tanzania inapoelekea katika uchaguzi mkuu 2020... Kiukweli ukabila ni mbaya sana na athari kubwa sana panapoibuka Civil/tribal wars. History ni mwalimu mzur kuhusu madhara yake tunapoangazia vita mbalimbali za kikabila zilizowah tokea dunianiNilichopenda kwenye story yote ya huyu bwana ni personal account kwa jicho la mgeni that perspective made it interesting to me na nilijikuta jumamosi na jumapili yote nasoma kuanzia mwanzo hadi mwisho that is rare for me kufuatilia thread hivyo.
I wasnt disappointed either because he is a very good storyteller with much use of imagery unasoma kama vile na yeye unamuona na character zingine walivyokuwa wanapambana na hizo changamoto there are couple of established novelist haven’t reached the level of his art ukisoma vitabu vyao.
Lakini kuhusu nini kilichojiri lets not get carried away there are hundreds of journals, first hand interviews and books which provides different perspectives and the role of various stakeholders labda kinachouzi nchi iliyokuwa mstari wa mbele kwenye usuluhishi kama Tanzania wahusika did not bother to give their accounts kwa ivyo kwa wafuatiliaji utakutana na perspective za west on the whole saga na hakuna information isiyokuwepo.
Vilevile hakuna kilicho siri balozi kuokoa watu wake aliwezi kuwa swala la national security baada ya incident kupita kwanini umfiche heroin kama huyu wakati wenzake hao hakina ‘Ami Mpungwe’ ata kama sisi atutatumbui mchango wao S.A wamempa huyo mtu medal ya juu wanayoweza toa ya ushujaa ndani ya nchi yao kwa raia na amepokea recognition kibao za kimataifa kama Tanzania diplomat kwenye masuala ya Rwanda.
Mwisho kabisa kwa mtu aliyeenda shule kusoma kitu bila ya kutafuta credibility ya story yenyewe inaonesha huyo kwenye elimu alikuwa msindikizaji au mfumo wa elimu aliyopitia una utata na hakuna sababu ya kufundisha wanafunzi namna ya kuchambua credibility sources na pumba kwenye kufanya research.
Kama elimu airuhusu kumeza kila kitu na facts zinaonyesha atukuwa na balozi Rwanda wala Burundi kuanzia 1992 mpaka 1995 bila ya kutaja huyo balozi pamoja na uzuri wa maelezo yake na reality resembleness sijui kwako ila kwangu itabaki kuwa na elements za fictitious story.
It’s a believable story kwa sababu kuna mambo mengi aliyoelezea unaona kama kuna vinasaba vya mtu alieishi huko kipindi icho na binafsi nimepata ideas za nini kilianza kutokea siku mwanzo kupitia kwake tatizo chumvi nyingi kwenye kuchangamsha genge.I concur.. Ila one thing is certain mtoa mada amewahi kuishi Rwanda maana kwa jins anavyotofautisha haiba, tabia na tofauti kati ya wahutu na watutsi ni pasi na shaka kwamba amewah kuishi Rwanda. Anatoa vivid naration ya yaliyojiri na yeye akiwa part ya yaliyotokea since 1989 mpaka 1994 ambayo siwezi pinga most of the details zinareflect kiukweli yaliyotokea ambayo ni good thing kushare na kutoa mwangaza kwa waliokuwa hawafaham yaliyojiri pia kutoa precaution kuhusu madhara ya ukabila na utengano wa kikanda hasa Tanzania inapoelekea katika uchaguzi mkuu 2020... Kiukweli ukabila ni mbaya sana na athari kubwa sana panapoibuka Civil/tribal wars. History ni mwalimu mzur kuhusu madhara yake tunapoangazia vita mbalimbali za kikabila zilizowah tokea duniani
Lakin pia niseme kuna discrepancies nyingi katika story yake, siondoi credibility ya maudhui ya story hii ila niseme tu;
1. Hakuna province mbili katika nchi ya Rwanda zinazotenganishwa na zaid ya km 150 kama anavyosimulia mtoa mada kwamba wakati wana evacuate toka kigali baada ya vita kuanza kuna kipind walisafiri km 150 toka province moja mpaka nyingine, hii si kweli. Rwanda ni nchi ndogo sana hakua mkoa unaotenganishwa na mkoa mwingine kwa zaidi ya km 150
2. Anasema walitoka province ya butare then wakaenda province ya Gitarama siku iliyofuata then wakafika border ya burundi the next day. Si kweli maana ukitoka Kigali unaenda province ya Gitarama then ndo unaenda Butare(Huye) na si vice versa ndo unafika Border ya Rwanda na burundi. Kwa route hii kutoka kigali mpaka border ya burundi ni only 154km.
3. Kama waliondoka Kigali kwenda border ya Burundi kuna short route ya kupitia Kinazi then Nyamata mpaka Border ya Burundi. Njia hii ni rougly 36km kutoka Kigali unakua umefika border ya Burundi. Ndo njia ya haraka zaidi, Why hawakupita njia hii sijui.
4. Furthermore kutoka kigali kuja Tanzania directly ilikua rahisi zaidi kupitia border ya Rusumo. Ambapo route hii ya kutoka Kigali mpaka rusumo ni umbali wa 156km tu.
Why walienda bujumbura kwanza ndo waje Tanzania mtoa mada anaweza fafanua zaidi.
5. Pia kwa nini aliacha a very lucrative, noble diplomatic job na kuturn into bussiness bila kufukuzwa kazi na kuturn into bussiness za chuma chakavu Zambia itabaki kuwa mystery kwangu. Uache kazi inayolipa vizur na yenye future na heshima ubalozini uende uza vyuma chakavu zambia inatatanisha. Maybe anaweza fafanua zaidi.
6. Evacuation ya Kutoka Kigali kwenda mipaka yote iwe Uganda, Tz, Burundi au ata Goma DRC kwa gari haipaswi kuchukua more than 1 day maana kigali ni katikati kabisa ya nchi. Na umbali wa kutoka kigali kwenda mipaka yote ya Ug,Tz, DRC, Burundi haizidi km 170. Ambayo kama ni kwa hapa Tanzania ni umbali wa kutoka Dar city centre mpaka Morogoro na morogoro hufiki, Rwanda ni nchi ndogo sana.
Yapo mengi ila kwa sasa ni hayo tu.
Story ni ya kweli ila ameweka codes. Inawezekana walipitia Rusumo ila kaamua kuweka miwani tusimjue ni nani. Yawezekana balozi alikuwa Me, au si mzanzibari. Story yake itabaki kuwa the best.It’s a believable story kwa sababu kuna mambo mengi aliyoelezea unaona kama kuna vinasaba vya mtu alieishi huko kipindi icho na binafsi nimepata ideas za nini kilianza kutokea siku mwanzo kupitia kwake tatizo chumvi nyingi kwenye kuchangamsha genge.
Lakini huyu mtu anakipaji cha uandishi hapo ndipo alipotunasa wengi kutaka kuona nini kilimkuta mbele na alichomoka vipi.
Na Chisekedi anaungwa mkono na PK? Au historia imeishia kwa Joseph Kabila?I concur.. Ila one thing is certain mtoa mada amewahi kuishi Rwanda maana kwa jins anavyotofautisha haiba, tabia na tofauti kati ya wahutu na watutsi ni pasi na shaka kwamba amewah kuishi Rwanda. Anatoa vivid naration ya yaliyojiri na yeye akiwa part ya yaliyotokea since 1989 mpaka 1994 ambayo siwezi pinga most of the details zinareflect kiukweli yaliyotokea ambayo ni good thing kushare na kutoa mwangaza kwa waliokuwa hawafaham yaliyojiri pia kutoa precaution kuhusu madhara ya ukabila na utengano wa kikanda hasa Tanzania inapoelekea katika uchaguzi mkuu 2020... Kiukweli ukabila ni mbaya sana na athari kubwa sana panapoibuka Civil/tribal wars. History ni mwalimu mzur kuhusu madhara yake tunapoangazia vita mbalimbali za kikabila zilizowah tokea duniani
Lakin pia niseme kuna discrepancies nyingi katika story yake, siondoi credibility ya maudhui ya story hii ila niseme tu;
1. Hakuna province mbili katika nchi ya Rwanda zinazotenganishwa na zaid ya km 150 kama anavyosimulia mtoa mada kwamba wakati wana evacuate toka kigali baada ya vita kuanza kuna kipind walisafiri km 150 toka province moja mpaka nyingine, hii si kweli. Rwanda ni nchi ndogo sana hakua mkoa unaotenganishwa na mkoa mwingine kwa zaidi ya km 150
2. Anasema walitoka province ya butare then wakaenda province ya Gitarama siku iliyofuata then wakafika border ya burundi the next day. Si kweli maana ukitoka Kigali unaenda province ya Gitarama then ndo unaenda Butare(Huye) na si vice versa ndo unafika Border ya Rwanda na burundi. Kwa route hii kutoka kigali mpaka border ya burundi ni only 154km.
3. Kama waliondoka Kigali kwenda border ya Burundi kuna short route ya kupitia Kinazi then Nyamata mpaka Border ya Burundi. Njia hii ni rougly 36km kutoka Kigali unakua umefika border ya Burundi. Ndo njia ya haraka zaidi, Why hawakupita njia hii sijui.
4. Furthermore kutoka kigali kuja Tanzania directly ilikua rahisi zaidi kupitia border ya Rusumo. Ambapo route hii ya kutoka Kigali mpaka rusumo ni umbali wa 156km tu.
Why walienda bujumbura kwanza ndo waje Tanzania mtoa mada anaweza fafanua zaidi.
5. Pia kwa nini aliacha a very lucrative, noble diplomatic job na kuturn into bussiness bila kufukuzwa kazi na kuturn into bussiness za chuma chakavu Zambia itabaki kuwa mystery kwangu. Uache kazi inayolipa vizur na yenye future na heshima ubalozini uende uza vyuma chakavu zambia inatatanisha. Maybe anaweza fafanua zaidi.
6. Evacuation ya Kutoka Kigali kwenda mipaka yote iwe Uganda, Tz, Burundi au ata Goma DRC kwa gari haipaswi kuchukua more than 1 day maana kigali ni katikati kabisa ya nchi. Na umbali wa kutoka kigali kwenda mipaka yote ya Ug,Tz, DRC, Burundi haizidi km 170. Ambayo kama ni kwa hapa Tanzania ni umbali wa kutoka Dar city centre mpaka Morogoro na morogoro hufiki, Rwanda ni nchi ndogo sana.
Yapo mengi ila kwa sasa ni hayo tu.
Wabongo kimya kimya, mission angalieni huko vita isije kuja hukuKuhusu lile defender mzee ameniacha njia panda. Alimaanisha hao wanajeshi walikuwa wabongo au??
Fred Rwigema, hicho kichwa achana nacho alizimwa mapema tu, na ndio alikua muanzisha harakati za kuchukua dola miaka ile Rwanda.Kuna mwanamapinduzi anaitwa Rwegyima ajazungumzwa kabsa na watia nyama kwenye huu uziii
Sent using Jamii Forums mobile app
I concur.. Ila one thing is certain mtoa mada amewahi kuishi Rwanda maana kwa jins anavyotofautisha haiba, tabia na tofauti kati ya wahutu na watutsi ni pasi na shaka kwamba amewah kuishi Rwanda. Anatoa vivid naration ya yaliyojiri na yeye akiwa part ya yaliyotokea since 1989 mpaka 1994 ambayo siwezi pinga most of the details zinareflect kiukweli yaliyotokea ambayo ni good thing kushare na kutoa mwangaza kwa waliokuwa hawafaham yaliyojiri pia kutoa precaution kuhusu madhara ya ukabila na utengano wa kikanda hasa Tanzania inapoelekea katika uchaguzi mkuu 2020... Kiukweli ukabila ni mbaya sana na athari kubwa sana panapoibuka Civil/tribal wars. History ni mwalimu mzur kuhusu madhara yake tunapoangazia vita mbalimbali za kikabila zilizowah tokea duniani
Lakin pia niseme kuna discrepancies nyingi katika story yake, siondoi credibility ya maudhui ya story hii ila niseme tu;
1. Hakuna province mbili katika nchi ya Rwanda zinazotenganishwa na zaid ya km 150 kama anavyosimulia mtoa mada kwamba wakati wana evacuate toka kigali baada ya vita kuanza kuna kipind walisafiri km 150 toka province moja mpaka nyingine, hii si kweli. Rwanda ni nchi ndogo sana hakua mkoa unaotenganishwa na mkoa mwingine kwa zaidi ya km 150
2. Anasema walitoka province ya butare then wakaenda province ya Gitarama siku iliyofuata then wakafika border ya burundi the next day. Si kweli maana ukitoka Kigali unaenda province ya Gitarama then ndo unaenda Butare(Huye) na si vice versa ndo unafika Border ya Rwanda na burundi. Kwa route hii kutoka kigali mpaka border ya burundi ni only 154km.
3. Kama waliondoka Kigali kwenda border ya Burundi kuna short route ya kupitia Kinazi then Nyamata mpaka Border ya Burundi. Njia hii ni rougly 36km kutoka Kigali unakua umefika border ya Burundi. Ndo njia ya haraka zaidi, Why hawakupita njia hii sijui.
4. Furthermore kutoka kigali kuja Tanzania directly ilikua rahisi zaidi kupitia border ya Rusumo. Ambapo route hii ya kutoka Kigali mpaka rusumo ni umbali wa 156km tu.
Why walienda bujumbura kwanza ndo waje Tanzania mtoa mada anaweza fafanua zaidi.
5. Pia kwa nini aliacha a very lucrative, noble diplomatic job na kuturn into bussiness bila kufukuzwa kazi na kuturn into bussiness za chuma chakavu Zambia itabaki kuwa mystery kwangu. Uache kazi inayolipa vizur na yenye future na heshima ubalozini uende uza vyuma chakavu zambia inatatanisha. Maybe anaweza fafanua zaidi.
6. Evacuation ya Kutoka Kigali kwenda mipaka yote iwe Uganda, Tz, Burundi au ata Goma DRC kwa gari haipaswi kuchukua more than 1 day maana kigali ni katikati kabisa ya nchi. Na umbali wa kutoka kigali kwenda mipaka yote ya Ug,Tz, DRC, Burundi haizidi km 170. Ambayo kama ni kwa hapa Tanzania ni umbali wa kutoka Dar city centre mpaka Morogoro na morogoro hufiki, Rwanda ni nchi ndogo sana.
Yapo mengi ila kwa sasa ni hayo tu.
Asante Mkuu uchambuzi swafi.Mkuu kagame hakujipanga "msituni" bali alikua na back up ya serikali za kitutsi za Uganda na Burundi ambao pia baada ya kushika hatamu walimsaidia kuwateketeza wahutu waliokimbilia huko DRC.
Wahutu changamoto ni kwamba hawapo organized wala kimkakati kila mtu anapambana kivyake sasa ambacho wanaweza ni kutumia back up ya serikali za kihutu mfano Nkuruzinza na walitakiwa wahakikishe DRC anashinda mtu ambaye hayuko puppet wa Kagame!! Wamechelewa sana.
Maana kagame wakimvamia tu Museveni na Magu watamsaidia so watafeli!! Hapo bado DRC itawafukuza..... Ila kagame na watutsi walikua makini kabla ya uvamizi wanahakikisha serikali za jirani zipo mfukoni.
Hata alopovamia wahutu DRC alihakikisha ameshaongea na kaunda wa Zambia na Dos santos wa Angola kuwa wasiingilie vita. Sasa wahutu hawana ushawishi huo kwenye serikali zetu hivyo vita itakua ngumu sana
Fursa yao pekee ni kuhakikisha Nkuruzinza hatolewi kwa gharama yoyote lasihivyo ndio utakua mwisho wa ndoto zao kurudi Rwanda.