Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Bossless lete mambo tusubiri wengi tunapata elimu kupitia hii simulizi
 
Samahani wakuu naomba mnijuze hapa
Katika mauaji ya Rwanda inaonekana waliolengwa na kuuliwa zaidi ni watutsi yaani ni kama watutsi walikua wapokea kipigo tu mwanzo mwisho

Sasa ikawaje tena baada ya hapo Rais wa rwanda akawa Mtutsi

Inamaana wahutu pamoja na kujipigania na kuua wahutsi bado hawakuweza kusimamisha kiongozi wa kihutu

Naona KG ndo mbabe sasa, Kwahiyo hutu walistruggle for nothing

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo habari za watutsi kuuliwa ni matango pori. Ukweli ni kuwa katika mwaka huo 1994 idadi ya watutsi wote ndani ya nchi (Rwanda) ilikuwa haizidi laki nane lakini ajabu idadi ya watu waliofariki ni zaidi ya milioni moja!!! Hapo unapata picha kuwa yalikuwa mauaji ya umma yasiyoangalia huyu ni nani (walishambuliana) na yawezekana ni wahutu wengi waliouawa (kumbuka bado masalia ya watutsi yalibaki na ndiyo hao wanaoongoza nchi leo)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu yale hayakuwa mauaji dhidi ya watutsi tu bali ilikuwa ni VITA yaani wakati wahutu wanachinja watutsi na hao Watutsi wanachinja wahutu kutumia vikundi vyao vya waasi mfano INTEREHAMWE/FDLR,APERHUTU kwa Wahutu na be it UPRONA/RPF kwa watutsi na ndio maana kule Uganda kwenye mitaala ya shule haiitwi Rwanda genocide kule tulisoma inaitwa Rwanda civil war yaani VITA sio Mauaji!!

Ila yaonekana kagame alikua kajipanga zaidi hivyo baada ya kushinda vita naye akalipiza kisasi akawachinja hao wahutu wakakimbilia DRC ambapo aliwafuata na kuwateketeza na tokea hapo nguvu ikahama kutoka kwa Wahutu ikaja kwa watutsi na imekua hivyo mpaka leo.

Wahutu sio kwamba wali-fight for nothing" ila walishashinda vita tokea 1959 na wakajikomboa kutoka mikono ya watutsi so walienjoy uhuru wao mpaka 1990 ambapo uvamizi wa Watutsi ulianza. Hivyo ile vita ilikua ni ya kujilinda zaidi dhidi ya uvamizi wa watutsi na sio kuvamia watutsi kama unavyodhani. Yaani kama watutsi wasingetishia kuvamia Rwanda kulikua hakuna haja ya wao kuwaua maana madaraka yalikua kwa wahutu.

Hope umepata picha mkuu
Huu ndiyo ukweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpaka Sasa na viewers 123k .comment kwenye huu uzi ukiwemo wewe mwenyewe 1k .maanake watu wameappriciate na hiki nachoondika humu na nilitarajia hilo ,Sasa Kama wewe bingwa njoo na uzi wako wowote ukifikisha nusu ya viewers wangu mpaka Sasa nasimamisha hii stori nafanya mengine umesikia Tingo wasalimie mwetu(kasubalesa-lumbumbashi)

Sent using Jamii Forums mobile app
Achan naye mbona yeye hajawahi kuleta hapa tu some, watu wa hivyo wapo wengi lazima katize mbele ya mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usimchukie yeyote Kati ya hao Bali waombee tu kwa mungu siku moja waelewane , nilikuwa Benako_ngara kwenye mishe zangu siku moja nilikuwa na muuliza dada moja kwa kitusi tukiwa kwenye mgahawa unaonaje itungwe Sheria kila Mtusi lazima amuoe Mhutu na Mhutu lazima amuoe mtu jibu alilonijibu nusu ngumu zirushwe aise hapo ni Tanzania he ingekuwa Rwanda so anganipeleka lockup

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] makambi ya kihutu mtusi hawezi kanyaga, ila ya watusi mhutu anafika tu mhutu anamuua hivi hivi mtusi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo habari za watutsi kuuliwa ni matango pori. Ukweli ni kuwa katika mwaka huo 1994 idadi ya watutsi wote ndani ya nchi (Rwanda) ilikuwa haizidi laki nane lakini ajabu idadi ya watu waliofariki ni zaidi ya milioni moja!!! Hapo unapata picha kuwa yalikuwa mauaji ya umma yasiyoangalia huyu ni nani (walishambuliana) na yawezekana ni wahutu wengi waliouawa (kumbuka bado masalia ya watutsi yalibaki na ndiyo hao wanaoongoza nchi leo)

Sent using Jamii Forums mobile app
Moderate hutu pia waliuwawa. Na wahutu wenzao na jeshi la kagame baada ya kuingia ndani ya rwanda.si sahihi kusema tutsi tuu ndio waliuwawa. Pia kuna raia wa nchi nyingine ambao katika hali isiyokuwa ya kawaida jumba bovu liliwaangukia.ila walengwa hasa walikuwa watutsi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani ni bora ujikite zaid katika kuelezea story yako ya uliyoyashuhudia mwenyewe huko kwa PK hawa watu wengine wanakuja kukutoa tu kwenye reli kujibizana nao ni matumizi mabaya ya muda maana unachokieleza ni uliyoyashuhudia mwenyewe ukiwa huko na sio historia ya machafuko ya Rwanda
Umemjibu sahihi.
Ufahamu umetofautiana sana. Huyu bwana anahadithia aliyoyaona yeye kwa macho yake sio aliyohadithiwa, aliyosikia, aliyosoma au kuona kwenye vyombo vya habari. Sijui tatizo liko wapi, na usishangae akawa ni miongoni mwa hai interahamwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh!
Screenshot_20200307-230746_Chrome.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo mambo mnayaona nyie watu wa kaskazini na hii yote ni kutokana na kujina nyie ni special kwa hiyo mnaona kama mnaonewa na utawala huu.

Sijawahi kusikia mtu wa kusini akilalamikia ukanda isipokuwa malalamiko aina hiyo utayasikia kwa mkaskazini pekee.

Sasa huo ukanda ni kati ya kanda ya ziwa na kaskazini tu au unatuhusu hata sisi wa mikoa ya kusini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika kitu cha maana sana. Watu pekee wanaopenda kuongelea mambo ya ukanda na kuonewa ni watu wa kaskazini na kuwa specific ni wachaga na ilikujificha wanasema kanda ya kaskazini lakini ukifuatilia makabila kama ya wamaasai, wambulu, wameru,wairaq, wapare hawana hiyo superior mentality bali wanaburuzwa kwenye issue za ukanda na wachaga. Hii tabia inawafanya wachukiwe na kunyimwa fursa kama Urais. Ushauri wangu kwao ni bora waachane nayo kwasababu inaleta matokeo hasi kuliko chanya.
 
Mfano Rwanda after kagame akaingia muhutu Uganda itatishika na nn..why Museven aogope muhutu..,?

Sent using Jamii Forums mobile app
Uganda lazima itishike sababu wahutu wanajua kuwa M7 ndo alowasaidia kwa hali na mali RPF (watutsi) wakaweza kuchukua nchi. PK ni miongoni mwa vijana wa kitutsi waliomueka madarakani M7 na yeye akaamua kulipa fadhila. Lakini inasemekana M7 ni mtusti au ana vinasaba vya hilo kabila.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uganda lazima itishike sababu wahutu wanajua kuwa M7 ndo alowasaidia kwa hali na mali RPF (watutsi) wakaweza kuchukua nchi. PK ni miongoni mwa vijana wa kitutsi waliomueka madarakani M7 na yeye akaamua kulipa fadhila. Lakini inasemekana M7 ni mtusti au ana vinasaba vya hilo kabila.

Sent using Jamii Forums mobile app
PK na wanyamulenge wenzake ndo waliomwingiza madarakani M7 kwaiyo ulikua ni mwendelezo wa kusaidiana tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dada umeongea kitu kizuri sana ndio maana mimi huwa nasema pamoja na kwamba Magu ana makosa yake, lakini ukisikia makelele mengi ya kumtukana na kumlaumu, mengi ya hayo makelele yanatoka kwa lile kabila lililojiona special, lilojiona wao ndio wamesoma, wao ndio wanajua biashara, wao ndio wanajua kuajiri na kuajiriwa kwenye ofisi za umma.

Magufuli kawakomesha na hii si kuwaonea bali kuepusha kama yale ya Rwanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
inaelekea kabila lako ni inferior sana
 
Back
Top Bottom