Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Mkuu Bossless kabla ya kuendelea na stori yako ya biashara ya chuma uligusia mwanzoni kuwa utakuja kutumbia kuhusu vikosi vya UNAMIR. Tumalizie hicho kipande bos
 
Mkuu hiyo ni lugha ya kinyarwanda. Wanaoelewa lugha hiyo watatupa tafsiri ya kile kilichoandikwa. Mimi nimeitoa sehemu na kuiweka hapa nia ikiwa ni kuonyesha jina la huyo balozi wetu mwanamama aliyekuwa Rwanda kwa wakati huo wa genocide maana katika habari hiyo jina lake limetajwa kwamba ndiye alikuwa balozi wetu huko Rwanda mwaka huo 1994 kipindi cha genocide. Kumbuka muda mrefu tumeulizana hapa kwenye huu uzi kuhusu jina la huyo mama hivyo ikabidi tuingie chimbo kusaka jina lake ndipo nikakutana na hiyo habari ambayo pia iliandikwa mwaka huo huo wa 1994. Na katika post zingine hapo juu tumeshapata na picha zake na hata nyaraka za mikutano ya upatanishi iliyofanyika kati ya serikali ya Rwanda, RPF na wapatanishi alizosaini kabla ya mauaji kama unavyoona.
Sawa kiongozi hapo nimekusoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hiyo ni lugha ya kinyarwanda. Wanaoelewa lugha hiyo watatupa tafsiri ya kile kilichoandikwa. Mimi nimeitoa sehemu na kuiweka hapa nia ikiwa ni kuonyesha jina la huyo balozi wetu mwanamama aliyekuwa Rwanda kwa wakati huo wa genocide maana katika habari hiyo jina lake limetajwa kwamba ndiye alikuwa balozi wetu huko Rwanda mwaka huo 1994 kipindi cha genocide. Kumbuka muda mrefu tumeulizana hapa kwenye huu uzi kuhusu jina la huyo mama hivyo ikabidi tuingie chimbo kusaka jina lake ndipo nikakutana na hiyo habari ambayo pia iliandikwa mwaka huo huo wa 1994. Na katika post zingine hapo juu tumeshapata na picha zake na hata nyaraka za mikutano ya upatanishi iliyofanyika kati ya serikali ya Rwanda, RPF na wapatanishi alizosaini kabla ya mauaji kama unavyoona.
Na wale wasichana aliokabidhiwa aliwaacha wapi na mpaka Leo wanafanya nini isijekuwa mmoja ndo first lady wa seneta wa mkoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Abandi bari bayirimo ni Ministiri w’intebe Uwilingiyimana Agatha na Twagiramungu Faustin wagombaga kuba Minisitiri w’intebe wa guverinoma y’Inzibacyuho yaguye.

Hari kandi n’uwari ukuriye MINUAR Jacques Roger BOOH-BOOH, na Ambassaderi Dorah Mbezi wa Tanzania, wari uhagarariye umuhuza mu mishyikirano y’amahoro ya Arusha.

Umuhuza muri aya masezerano yari Perezida Ally Hassan MWINYI. Undi wari urimo kandi ni Joe FELLI wari uhagarariye Umunyamabanga mukuru w’Umuryango w’Ubumwe bw’Ibihugu bya Afrika (OAU)



Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine waliohudhuria walikuwa Waziri Mkuu Uwilingiyimana Agatha na Twagiramungu Faustin ambaye angekuwa Waziri Mkuu wa Serikali ya Mpito.

Pia alikuwepo Mkuu wa UNAMIR, Jacques Roger BOOH-BOOH, na Balozi Dorah Mbezi wa Tanzania, ambaye alimwakilisha mpatanishi katika mazungumzo ya amani ya Arusha.

Mpatanishi katika makubaliano hayo alikuwa Rais Ally Hassan MWINYI. Pia alikuwepo Joe FELLI, Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika (OAU)
 
1994: Joseph Kavaruganda yari azi ko ingabo za Loni zitazatabara abanyarwanda

Umunyamategeko, Joseph Kavaruganda wari Perezida w’Urukiko rurinda ubusugire bw’itegeko nshinga, na Agathe Uwilingiyimana wari Minisitiri w’Intebe, bombi bishwe ku itariki ya 7 Mata 1994.

Hari hashize iminsi 100 babwiye umuryango w’abibumbye ko nibadatabara ngo bambure abicanyi intwaro, mu Rwanda hazacura imiborogo. By’umwihariko Kavaruganda yabonanye n’uwari ukuriye MINUAR, Jacques Roger Booh-Booh, mu nzu yari atuyemo hafi ya Hotel Umubano-Merdien.

Mu kiganiro bagiranye na Jacques Roger Booh-Booh cyari icyo kwereka LONI ko gutinda gushyirwaho kw’inzego z’ubutegetsi bw’inzibacyuho bizagira ingaruka mbi ukurikije uko yabonaga ibintu mu gihugu icyo gihe. Kavaruganda, kimwe n’abandi bayobozi bakuru bari mu rwego rwe, yari yarahawe abasirikare na MINUAR bamurinda. Ariko, ibyo ntabwo byamubujije kumva ko umutekano we ku giti cye ntacyo wamumarira.

Mu kiganiro cyihariye Umunyamakuru Venuste Nshimiyimana yigeze kugirana n’ Umushakatsi Tom Ndahiro yamubwiye ko Kavaruganda atashiraga ingabo za MINUAR amakenga kubera ko zitabashaga “kubuza urwaje”. Ngo yavugaga ko kurindwa nazo “ari nko kurindwa n’imishashara ihura n’izuba igashonga.” Ibyo yavugaga ntiyibeshye, Kavarugamda yishwe MINUAR yitwa ngo iramurinze.

Kavaruganda yabwiye Jacques Roger Booh-Booh, ko yarusimbutse kenshi, akagenda ashyira mu majwi abambari ba Prezida Habyarimana. Undi amusubiza ko nta bushobozi yari afite bwo kureba niba ibyo avuga ari byo.

Icy’ingenzi muri icyo kiganiro ni uko Kavaruganda yabwiye umuyobozi wa MINUAR ko “iramutse yemeye kurinda umutekano we, ikamushyigikira”, muri Gashyantare 1994, yayobora umuhango wo kurahiza abaministiri n’abadepite batanzwe na Minisitiri w’intebe Agathe Uwilingiyimana, afatanije na Twagiramungu Faustin wari kuyobora guverinoma y’inzibacyuho yaguye.
Muri uko kwezi, Perezida Habyarimana yari kuba yagiye muri Cote d’Ivoire mu muhango wo guhamba uwahoze ayobora icyo gihugu witwa Felix Houphouet Boigny. Impungenge uwo mucamamaza yari afite zari zifite ishingiro kubera ko nta munsi wahitaga i Kigali hadaturitse nibura grenade 15.

Ikindi ni uko ku itariki ya 5 Mutarama, abayoboke b’ishyaka CDR bateye ambasaderi wa Tanzania, witwa Dorah Mbezi bamuziza ko ngo akabya gushyigikira amasezerano y’amahoro ya Arusha.
994: Joseph Kavaruganda alijua kuwa UN haitawasaidia wanyarwanda

Wakili, Joseph Kavaruganda, ambaye alikuwa Rais wa Mahakama ya Katiba, na Agathe Uwilingiyimana, Waziri Mkuu, wote waliuawa Aprili 7, 1994.

Siku 100 zilizopita waliiambia Umoja wa Mataifa kwamba ikiwa hawataingilia kati ili kuwaondoa wauaji, kutakuwa na maombolezo nchini Rwanda. Hasa, Kavaruganda alikutana na mkuu wa zamani wa UNAMIR, Jacques Roger Booh-Booh katika nyumba yake karibu na Hoteli Umubano-Merdien.

Katika mahojiano na Jacques Roger Booh-Booh ilikuwa ni kuonesha UN kwamba kucheleweshwa kwa uanzishwaji wa utawala wa mpito kunaweza kuwa na athari hasi kwa jinsi alivyotazama vitu nchini wakati huo. Kavaruganda, kama maafisa wengine waandamizi katika safu yake, alikuwa amepewa askari wa UNAMIR kumlinda. Walakini, hiyo haikumzuia kuhisi kwamba usalama wake wa kibinafsi hautumiki kwake.

Katika mahojiano ya kipekee na mtafiti Tom Ndahiro, mwandishi wa habari Venuste Nshimiyimana alimweleza kwamba Kavaruganda hakuwatuhumu wanajeshi wa UNAMIR kwa sababu hawawezi "kuzuia ugonjwa". Alisisitiza kwamba kukiri kwake kulipatikana kupitia kuteswa, na kwamba kukiri kwake kulipatikana kupitia kuteswa. Hakuwa na makosa, Kavarugamda aliuawa na UNAMIR ili kumlinda.

Kavaruganda alimweleza Jacques Roger Booh-Booh kuwa ameruka mara kadhaa, na kuendelea kupiga kura kwa wafuasi wa Rais Habyarimana. Mwingine akajibu kuwa hakuwa na uwezo wa kuona ikiwa anachokuwa akisema ni kweli.

Kwa maana, Kavaruganda alimweleza kiongozi wa UNAMIR kwamba "ikiwa atakubali kulinda usalama wake na kumuunga mkono", mnamo Februari 1994, atasimamia sherehe ya kuapishwa ya Waziri Mkuu Agathe Uwilingiyimana, kwa kushirikiana na Twagiramungu Faustin. kuongoza serikali ya mpito iliyoanguka.
Mapema mwezi huo, Rais Habyarimana angeenda Cote d'Ivoire kwenda kumzika Rais wa zamani Felix Houphouet Boigny. Maswala ya wakili yalikuwa na haki kwa sababu hakuna siku iliyokuwa imepita huko Kigali bila ya kulipuka mabomu 15.

Kwa kuongezea, mnamo Januari 5, washiriki wa CDR walimshambulia Balozi wa Tanzania Dorah Mbezi kwa tuhuma za kukiuka Hati za Amani za Arusha.
 
994: Joseph Kavaruganda alijua kuwa UN haitawasaidia wanyarwanda

Wakili, Joseph Kavaruganda, ambaye alikuwa Rais wa Mahakama ya Katiba, na Agathe Uwilingiyimana, Waziri Mkuu, wote waliuawa Aprili 7, 1994.

Siku 100 zilizopita waliiambia Umoja wa Mataifa kwamba ikiwa hawataingilia kati ili kuwaondoa wauaji, kutakuwa na maombolezo nchini Rwanda. Hasa, Kavaruganda alikutana na mkuu wa zamani wa UNAMIR, Jacques Roger Booh-Booh katika nyumba yake karibu na Hoteli Umubano-Merdien.

Katika mahojiano na Jacques Roger Booh-Booh ilikuwa ni kuonesha UN kwamba kucheleweshwa kwa uanzishwaji wa utawala wa mpito kunaweza kuwa na athari hasi kwa jinsi alivyotazama vitu nchini wakati huo. Kavaruganda, kama maafisa wengine waandamizi katika safu yake, alikuwa amepewa askari wa UNAMIR kumlinda. Walakini, hiyo haikumzuia kuhisi kwamba usalama wake wa kibinafsi hautumiki kwake.

Katika mahojiano ya kipekee na mtafiti Tom Ndahiro, mwandishi wa habari Venuste Nshimiyimana alimweleza kwamba Kavaruganda hakuwatuhumu wanajeshi wa UNAMIR kwa sababu hawawezi "kuzuia ugonjwa". Alisisitiza kwamba kukiri kwake kulipatikana kupitia kuteswa, na kwamba kukiri kwake kulipatikana kupitia kuteswa. Hakuwa na makosa, Kavarugamda aliuawa na UNAMIR ili kumlinda.

Kavaruganda alimweleza Jacques Roger Booh-Booh kuwa ameruka mara kadhaa, na kuendelea kupiga kura kwa wafuasi wa Rais Habyarimana. Mwingine akajibu kuwa hakuwa na uwezo wa kuona ikiwa anachokuwa akisema ni kweli.

Kwa maana, Kavaruganda alimweleza kiongozi wa UNAMIR kwamba "ikiwa atakubali kulinda usalama wake na kumuunga mkono", mnamo Februari 1994, atasimamia sherehe ya kuapishwa ya Waziri Mkuu Agathe Uwilingiyimana, kwa kushirikiana na Twagiramungu Faustin. kuongoza serikali ya mpito iliyoanguka.
Mapema mwezi huo, Rais Habyarimana angeenda Cote d'Ivoire kwenda kumzika Rais wa zamani Felix Houphouet Boigny. Maswala ya wakili yalikuwa na haki kwa sababu hakuna siku iliyokuwa imepita huko Kigali bila ya kulipuka mabomu 15.

Kwa kuongezea, mnamo Januari 5, washiriki wa CDR walimshambulia Balozi wa Tanzania Dorah Mbezi kwa tuhuma za kukiuka Hati za Amani za Arusha.
Ahsante mkuu kwa tafsiri hiyo.
 
Abandi bari bayirimo ni Ministiri w’intebe Uwilingiyimana Agatha na Twagiramungu Faustin wagombaga kuba Minisitiri w’intebe wa guverinoma y’Inzibacyuho yaguye.

Hari kandi n’uwari ukuriye MINUAR Jacques Roger BOOH-BOOH, na Ambassaderi Dorah Mbezi wa Tanzania, wari uhagarariye umuhuza mu mishyikirano y’amahoro ya Arusha.

Umuhuza muri aya masezerano yari Perezida Ally Hassan MWINYI. Undi wari urimo kandi ni Joe FELLI wari uhagarariye Umunyamabanga mukuru w’Umuryango w’Ubumwe bw’Ibihugu bya Afrika (OAU)



Sent using Jamii Forums mobile app
duh! utanipofua macho... Anyway, ulakoze chane.

Balozi Dorah Mbezi nimempata kwa kuchungulia kwenye msitu wa maandishi ya Kinyarwanda
 
RPF walivoingia wakaanza kuua nao wahutu lakini wakawa wamechelewa dunia ikawa imeshajua na kuanza kufuatilia kwa karibu , ikumbukwe hata hapa mkuu wa majeshi Kama sijakosea General Mboma alitishia kuingiza majeshi Rwanda kuzima hii kitu akawa anasubiri final say atoe oda tu .kwa hiyo watusi wakaamua kudeal na wahutu kupitia mahakama za kihuni walizoziita AGACHACHA na hizi ndo zilinifanya nisimuone Tena mpenzi wangu yule niliporudi Rwanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole Sana Mkuu kwa uliyoyapitia, stori tamu Sana nilikuwa nasoma huku nikivuta taswira ya Action Movie.
Endeleza stori Mzee wetu maana huwezi kumfurahisha mwanadamu kwa lolote lile. Ukikimbia ataongea Sana kwanini unakimbia atataka utembee na ukitembea atataka ukimbie, ukikaa atataka usimame, ukisimama atataka Tena usimame, ukilala ataongea tu ili uamke na ukiamka bado atalala.
Chukulia picha ya Gaddaf, aliwapa wananchi wake karibu kila kitu lakini haohao ndo walomuua.
 
Mwaka 1989 usiwe mbulula
Kimbari ni 1994
Hapo umejiona mjanja kumuita babu mbulula wakati umeandika vitu vya ajabu.
Soma uelewe, kama haukumuelewa mleta mda sio shida lakini hadi unafikia hapa hukusoma ufafanuzi wake na wa wadau wengine basi wewe ni sifuri kabisa.

Umeambiwa yeye kaanza kusimulia toka alivyoa anza kazi ubalozini mwaka 1989.
Hata hivyo hivyo vita ilianza miaka ya 1950 huko ikiwa inatokea vurugu inatulia kisha inarudi tena, kufikia mwaka 1990 mambo yakaanza kushika kasi sana na mwaka 1994 ndio ikalipuka vita kamili na machafuko ya kutisha (all out war) , ndio ile kimbari (genocide) sasa..
 
Team | United Republic of Tanzania High Commissions, Embassies, Consulates, and Diplomatic Missions

Hiyo website ina orodha ya mabalozi wote tangia uhuru na nchi walizopangiwa. Unaweza search kwa kila nchi pia inakupatia list ya mabalozi waliowahi kuiwakilisha Tanzania hiyo sehemu.

Tatizo ni kwamba huyo balozi hayumo kwenye list, ukipekuwa unaona atukuwa na balozi muda huo Rwanda isipokuwa Burundi na kwenyewe pia akupelekwa mtu baada 1991 mpaka vita ilipoisha.

Ukipekuwa sana domument zingine unakutana na jina la ‘Ami Mpungwe’ kama chief diplomat kutoka wizarani aliekuwa architect wa usuluhishi wa mambo ya Rwanda na ‘Patrick Chokala’ kama msemaji wa serikari hao ndio watanzania wanaotajwa na Dr Salim.

Lakini hakuna mention ya huyu mama balozi, pamoja na uzuri wa story but one significant fact is missing for credibility hapo ndio kwenye utata ili wengine tumeze yote as yet ntachukua 80%; very interesting though.
Mtoa mada....njoo ufafanue hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umetazama suala tu linalohusu mambo yanayohusu watuhumiwa

Kuna mambo ya kipropaganda ikiwa walidanganya au walisema ukweli huwa wanatoa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kuna baadhi ya matukio au nyaraka haziwezi kuwa declassified mpaka wahusika fulani wafe.
Sio nyaraka zote ukomo wa kuwa classified ni miaka 20.

Kuna nyingine unaruhusiwa kusema lakini usiweke majina au utambulisho halisi wa wahusika.
 
Sehemu kubwa ya story hii ni fiction. Madereva wa trucks wote walikuwa escorted back na diplomats waliondoka bila kudhuriwa iweje yeye mtumishi mwenye hadhi ya diplomat (kumbuka kuwa degree holder wakati huo halikuwa jambo la mchezo mchezo) akimbilie Burundi kwa kuunga unga?
Hakusema alikimbilia Burundi peke yake...la hasha, ila alisema msafara mzima wa watumishi wa Ubalozi na Balozi mwenyewe walisafiri kutoka Rwanda, kupitia Burundi ndo waingie Tz...Anasema ingawa ni roote ndefu ila nadhani waliona ina usalama zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani uliposema umeshawaka akiliyangu sijui ikoje! imehamia kwingine kabisa. Samahani lakini kila mtu na uelewa wake.
Ninavyopenda story hapa nimeshawaka... leta vitu Mkuu.
Halafu hii tabia ya watu kuvamia story na kukashifu kuwa ni uongo, ya nini? Kama unaona story ni ya uongo si uachane nayo?
Ustaarabu ni jambo la msingi linalowashinda wengi, hakika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Team | United Republic of Tanzania High Commissions, Embassies, Consulates, and Diplomatic Missions

Hiyo website ina orodha ya mabalozi wote tangia uhuru na nchi walizopangiwa. Unaweza search kwa kila nchi pia inakupatia list ya mabalozi waliowahi kuiwakilisha Tanzania hiyo sehemu.

Tatizo ni kwamba huyo balozi hayumo kwenye list, ukipekuwa unaona atukuwa na balozi muda huo Rwanda isipokuwa Burundi na kwenyewe pia akupelekwa mtu baada 1991 mpaka vita ilipoisha.

Ukipekuwa sana domument zingine unakutana na jina la ‘Ami Mpungwe’ kama chief diplomat kutoka wizarani aliekuwa architect wa usuluhishi wa mambo ya Rwanda na ‘Patrick Chokala’ kama msemaji wa serikari hao ndio watanzania wanaotajwa na Dr Salim.

Lakini hakuna mention ya huyu mama balozi, pamoja na uzuri wa story but one significant fact is missing for credibility hapo ndio kwenye utata ili wengine tumeze yote as yet ntachukua 80%; very interesting though.
Mkuu hivi umejiuliza kwanini huyu jamaa amegoma kuweka jina la huyo balozi mwanamama?
Je, haiwezekani huyo mama alikuwa afisa wa ubalozi anae kaimu nafasi kwa shughuli na wakati maalum?

Huoni sababu ya mleta mada kuficha ndio imepelekea hata kwenye taarifa zote rasmi kama ulizoweka wameficha kwa makusudi?
 
Back
Top Bottom