Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

From: BOSSLESS TO BONGOMAN

SASA TUENDELEA NA STORY YETU ILA NAOMBA NIWATAKE RADHI KIDOGO KUTOKANA NA SHUGHURI ZA SHAMBA NILIVYOKUWA NI MEBANWA HAKIKA UKIJUMLISHA NA HAYA MASIKA HATA MUDA WA KUANDIKA MISTARI MIWIRI TU NILIKUWA NI KUDHINDA SHAMBA NA KULALA SHAMBA .
PLUS KUKIMBIZANA NA NDEGE NA KUTEGUA MAJARUBA PALE YANAPOJAA MAJI KUHUSUS SIMU HAIKUPONA VIZURI NIKAAMUA KUNUNUA NYINGINE TU NAWASHUKURU WALE MLIOKUWA NA NIA YA KUNICHANGIA SASA TUENDELEE NA STORY YETU.

Sasa baada ya kuvuka mpaka ndo nikahisi akili yangu ndo imakaa sawa nakumbuka nilisafiri kwa maroli kutoka mpakani hadi kahama tben nikakaa kahama mjini kama siku mbili hivi then nikakwea train kuingia kuja Dar (ikiwa ni mara ya kwanza kupanda train) ugeni wa kupanda train ukanipa somo fulani ila kuna kituko nilikifanya hadi leo huwa sikisahau na nikikumbuka macheka mwenyewe iko hivi nilipokuwa nimekaa nilikaa na jamaa moja hivi yeye alikuwa ametulia tu na konyagi yake mkononi anakunywa taratibu sasa sikumbuki kama tulibadilishana story kwa namna moja ama nyingine ila kwa asilimia kubwa alikuwa anaongea mwenyewe kilevilevi tu.

Tukafika sehemu hivi nakumbuka itakuwa ilikuwa Tabora train ikawa imesimama akina mama wanauza chakula na mambo mengine hivi sasa tukawa tumeagiza vyakula tunakula sasa wakati tunakula yule mlevi akaniuliza ndugu wewe unaelekea wapi nikamjibi naekea Tanzania halafu nikawa namjibi kwa kujiamini kabisa daaahhh ebwanae watu waliokaribu walicheka hatarii nikajistukia nikarekebisha kuwa naelekea Dar ila watu walibaki na kicheko hatariii. Safari ikaendelea

Hatimae tukafika station_ dar es salama nikashuka nikapanda texi hadi magomeni enzi zile kuna majamaa yalikuwa yanauza mitumba pale barabarani mitumba safi kabisa nikanunua tisheti mbili na jeans mbili zikawa ndo nguo zangu za mwanzo toka nirudi ikumbukwe tu kuwA niliach nguo nyingi na baadhi yamabegi yangu yalipoteana kwenye maroli sasa nikawa ndo naekea home .

Nikafika home nikakuta hakuna mtu ila nyumba iko wazi niakaingia nikaenda chumba cha madogo nikabadilisha nguo nikaenda bafuni kuoga nikarudi nikaingia ndani nikalala mpaka saa kumi na mbili jioni ndo nikaamka nikala sasa ndo nikaanza kupokea pole na maswali kibao toka kwa ndugu jamaa na marafiki wengine wakawa kama hawaamini .mzes asikwambie mtu bongo kuna amani sanaaa

Yani anaenda kuitwa jamaa w mtaa wa ng'ambo kuja kuniona tu jamaa wakawa wazidi kujaa tu nyumbani ikabidi mzee awaambie waje kesho waniache kwanza nipumzike maisha yakawa yanaendelea siku ikapita hadi week ikaisha ijumaa tatu mapema nikariport wizara ya mambo ya njee .

Taarifa zetu zilikuwa zimeshawafikia so kufika nikasaini kitabu nikamuona katibu muhtasi akanipa barua sikujua ina nini nikakaa benchi nikawa na isoma nikumbushe ni mwaka huo huo 1994 ilikuwa kama mwezi wa tano mwishoni au katika ya wa sita hivi ,nikawa nasoma nikakuta barua ya likizo ya miezi mitatu na barua ya malipo ya likizo ya mapumziko na laki 130 nikachukua barua yangu nikarudi home.

Ikimbukwe tu kuwa bado tulikuwa kwenye payroll na hela ilikuwa inaingia kila mwezi kama kawaida .sasa mzee mzima nimasema ngoja niangalie salio kipindi hicho mfumo wa kulipa mishahara kupitia akaunti za mabenk ulikuwa hakuna wewe kila mwisho wa mwezi nikupokea tu kwa mahasubu uwe dar au kigali , sijui taasisi kwaa taasisi nyingine.ulikuwa unaweza kumuuliza mhasibu kiasi au balance ua mshara wako bada ya muda akakwambia so mimi nilikuwa na kama nina miezi 2 hivi sijagusa mshahara nikauliza ikaonekana na kama US 600 hivi .

Nikaridi home maisha yakawa yanaendelea natokea home kila siku naenda pale kwa wauza mitumba napiga story jioni narudi nyumbani nakula nalala siku zikaenda likizo ikaisha nikareport wizarani nikakuta barua ya kupangiwa kituo makau kama mhasibu msaidizi ,

Nikumbishe maisha ya kukaa uraiani miezi ile mitatu ndo yslinifany sasa nikakutana na watu wengi walikuw wanafanya biashara tofauti pale kijiweni japo wengi hawakujua taaluma yangu lakini walitokea kunipenda akiweno mzes moja alikuwa wa kichagga alikuwa na anaitwa Mambosasa sina hakika kama ndo lilikusa jina lake halisi ila alikuwa na mabasi ya abiria ya ubungo_kariakoo alikuwa ameyaandika jina hilo Mambosasa na fiat moja hivi kukuu mzes alikuwa anaishi magomeni makanya na alikuwa ana nunua srepa na kuuza so nikawa nimeanza kupata IDEAR ya ile biashara yake.......

Itaendeleea .......POLE NA CORONA

Sent using Jamii Forums mobile app
🙏
 
Na ndio stori nyingi zipo hivi😃😃
From: BOSSLESS TO BONGOMAN

SASA TUENDELEA NA STORY YETU ILA NAOMBA NIWATAKE RADHI KIDOGO KUTOKANA NA SHUGHURI ZA SHAMBA NILIVYOKUWA NI MEBANWA HAKIKA UKIJUMLISHA NA HAYA MASIKA HATA MUDA WA KUANDIKA MISTARI MIWIRI TU NILIKUWA NI KUDHINDA SHAMBA NA KULALA SHAMBA .
PLUS KUKIMBIZANA NA NDEGE NA KUTEGUA MAJARUBA PALE YANAPOJAA MAJI KUHUSUS SIMU HAIKUPONA VIZURI NIKAAMUA KUNUNUA NYINGINE TU NAWASHUKURU WALE MLIOKUWA NA NIA YA KUNICHANGIA SASA TUENDELEE NA STORY YETU.

Sasa baada ya kuvuka mpaka ndo nikahisi akili yangu ndo imakaa sawa nakumbuka nilisafiri kwa maroli kutoka mpakani hadi kahama tben nikakaa kahama mjini kama siku mbili hivi then nikakwea train kuingia kuja Dar (ikiwa ni mara ya kwanza kupanda train) ugeni wa kupanda train ukanipa somo fulani ila kuna kituko nilikifanya hadi leo huwa sikisahau na nikikumbuka macheka mwenyewe iko hivi nilipokuwa nimekaa nilikaa na jamaa moja hivi yeye alikuwa ametulia tu na konyagi yake mkononi anakunywa taratibu sasa sikumbuki kama tulibadilishana story kwa namna moja ama nyingine ila kwa asilimia kubwa alikuwa anaongea mwenyewe kilevilevi tu.

Tukafika sehemu hivi nakumbuka itakuwa ilikuwa Tabora train ikawa imesimama akina mama wanauza chakula na mambo mengine hivi sasa tukawa tumeagiza vyakula tunakula sasa wakati tunakula yule mlevi akaniuliza ndugu wewe unaelekea wapi nikamjibi naekea Tanzania halafu nikawa namjibi kwa kujiamini kabisa daaahhh ebwanae watu waliokaribu walicheka hatarii nikajistukia nikarekebisha kuwa naelekea Dar ila watu walibaki na kicheko hatariii. Safari ikaendelea

Hatimae tukafika station_ dar es salama nikashuka nikapanda texi hadi magomeni enzi zile kuna majamaa yalikuwa yanauza mitumba pale barabarani mitumba safi kabisa nikanunua tisheti mbili na jeans mbili zikawa ndo nguo zangu za mwanzo toka nirudi ikumbukwe tu kuwA niliach nguo nyingi na baadhi yamabegi yangu yalipoteana kwenye maroli sasa nikawa ndo naekea home .

Nikafika home nikakuta hakuna mtu ila nyumba iko wazi niakaingia nikaenda chumba cha madogo nikabadilisha nguo nikaenda bafuni kuoga nikarudi nikaingia ndani nikalala mpaka saa kumi na mbili jioni ndo nikaamka nikala sasa ndo nikaanza kupokea pole na maswali kibao toka kwa ndugu jamaa na marafiki wengine wakawa kama hawaamini .mzes asikwambie mtu bongo kuna amani sanaaa

Yani anaenda kuitwa jamaa w mtaa wa ng'ambo kuja kuniona tu jamaa wakawa wazidi kujaa tu nyumbani ikabidi mzee awaambie waje kesho waniache kwanza nipumzike maisha yakawa yanaendelea siku ikapita hadi week ikaisha ijumaa tatu mapema nikariport wizara ya mambo ya njee .

Taarifa zetu zilikuwa zimeshawafikia so kufika nikasaini kitabu nikamuona katibu muhtasi akanipa barua sikujua ina nini nikakaa benchi nikawa na isoma nikumbushe ni mwaka huo huo 1994 ilikuwa kama mwezi wa tano mwishoni au katika ya wa sita hivi ,nikawa nasoma nikakuta barua ya likizo ya miezi mitatu na barua ya malipo ya likizo ya mapumziko na laki 130 nikachukua barua yangu nikarudi home.

Ikimbukwe tu kuwa bado tulikuwa kwenye payroll na hela ilikuwa inaingia kila mwezi kama kawaida .sasa mzee mzima nimasema ngoja niangalie salio kipindi hicho mfumo wa kulipa mishahara kupitia akaunti za mabenk ulikuwa hakuna wewe kila mwisho wa mwezi nikupokea tu kwa mahasubu uwe dar au kigali , sijui taasisi kwaa taasisi nyingine.ulikuwa unaweza kumuuliza mhasibu kiasi au balance ua mshara wako bada ya muda akakwambia so mimi nilikuwa na kama nina miezi 2 hivi sijagusa mshahara nikauliza ikaonekana na kama US 600 hivi .

Nikaridi home maisha yakawa yanaendelea natokea home kila siku naenda pale kwa wauza mitumba napiga story jioni narudi nyumbani nakula nalala siku zikaenda likizo ikaisha nikareport wizarani nikakuta barua ya kupangiwa kituo makau kama mhasibu msaidizi ,

Nikumbishe maisha ya kukaa uraiani miezi ile mitatu ndo yslinifany sasa nikakutana na watu wengi walikuw wanafanya biashara tofauti pale kijiweni japo wengi hawakujua taaluma yangu lakini walitokea kunipenda akiweno mzes moja alikuwa wa kichagga alikuwa na anaitwa Mambosasa sina hakika kama ndo lilikusa jina lake halisi ila alikuwa na mabasi ya abiria ya ubungo_kariakoo alikuwa ameyaandika jina hilo Mambosasa na fiat moja hivi kukuu mzes alikuwa anaishi magomeni makanya na alikuwa ana nunua srepa na kuuza so nikawa nimeanza kupata IDEAR ya ile biashara yake.......

Itaendeleea .......POLE NA CORONA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ni covid-19 ndiyo imepunguza shauku ya watu kufuatilia hiki kisa au? Awali haikuwa hivi na kama hali itaendelea hivi itamkatisha tamaa msimulizi wetu.
 
Vita ya Rwanda,.nlikuwa kigoma at that time,nlipokuwa Ni karibu na mpaka waburundi,nlikuwa Kama na miaka sita hivi, origin ya waha wengi wa mipakani huwa na asili ya either tutsi au hutu.kwetu ilikuwa Ni tutsi nakumbuka mida ya jioni walikuwa wakifungulia redio kusikiliza BBC ilikuwa Kama wanafatilia matangazo ya mpira

ilikuwa ikitangazwa idadi ya wahutu waliokufa Ni wengi kuliko watutsi Basi nyumba nzima ilikuwa inaripuka kwa shangwe
miaka kadhaa baadaye ndio nakuja kujua kwamba ilikuwa Ni Vita ...nkaanza kupata picha halisi ya uadui uliokuwapo Kati ya mtutsi nA muhutu,...yani mtu anashangilia kifo Cha mwenzake Kama timu yake pendwa imepata goli
 
Hapo nimekuelewa mkuu kumbe hata watutsi sio innocent kwa Wahutu
Ni tofauti nilivyoaminishwa kuwa Wahutu ni makatili kwa Watutsi

Vipi jeshi la nchi chini ya utawala huu wa KG limechangamana na Wahutu?

Shukrani kwa maelezo safi ndugu



Sent using Jamii Forums mobile app


Hapo ndio utajua sisi waAfrika tuna laana na aliyetulaani wala hatumjui.Jeshi la Rwanda ni jeshi la watutsi.Vyombo vyote vya ulinzi na usalama ni Tutsi.

Serekali ya sasa ni Tutsi ambao ni 15% huku wahutu wakiwekwa kando wakikodoa macho.Paul Kagame hajarekebisha mambo sana sana ndio anazidi kupanda mbegu ya utengano baina ya kabila mbili kubwa.
 
JF ni habari nyingine linapokuja swala la kusaka habari,vijana wa leo mnatuangusha sana mpaka sasa nipo post ya 881 hakuna mtu aliweza kusaka jina la Mama Balozi shujaa ?
 
JF ni habari nyingine linapokuja swala la kusaka habari,vijana wa leo mnatuangusha sana mpaka sasa nipo post ya 881 hakuna mtu aliweza kusaka jina la Mama Balozi shujaa ?
Huyo mama kumjua Ni issue aisee maana database ya Tz inaanzia 2003
 

Attachments

  • Screenshot_20200420-001258.png
    Screenshot_20200420-001258.png
    50.3 KB · Views: 17
Dada umeongea kitu kizuri sana ndio maana mimi huwa nasema pamoja na kwamba Magu ana makosa yake, lakini ukisikia makelele mengi ya kumtukana na kumlaumu, mengi ya hayo makelele yanatoka kwa lile kabila lililojiona special, lilojiona wao ndio wamesoma, wao ndio wanajua biashara, wao ndio wanajua kuajiri na kuajiriwa kwenye ofisi za umma.

Magufuli kawakomesha na hii si kuwaonea bali kuepusha kama yale ya Rwanda.

Sent using Jamii Forums mobile app


Ni kweli aisee Tundu Lissu kakomeshwa haswaa.
 
Acha inferiority complex umejuaje wanapiga kelele watu wanachapa kazi nyie mwasema wanajioma na akili sio wakiona Wana akili tu, ni kweli wako vzuri kila sector not only in Tanzania, but globally nyie jipeni moyo magu eti anawakomesha msijipange kujituma kufanya kazi kwa bidii na kuwekeza kwenye elimu na biashara wengine wakipambana mje humu kulia Lia eti wakiona, hata hyo magu hzo position za watu wake 90% na kitu zimebadilisha Nini Kanda ya ziwa kuanzia poverty level, infrastructure licha ya kuwa ni ukanda wenye madini.

Acheni chuki kwa makabila mengi na kusimgizia upendeleo Mara wamishionary unafikiria dunia hii Kuna kitu kirahisi Tena tumepata Uhuru kila sehemu ilikuwa priority Tena Nyerere mikoa ka kagera na Kilimanjaro pass mark ilikuwa kubwa ili kubalance na mikoa mingine hata waliofeli waliendelea je wako wapi.
Msiwe mnatumia hisia rather than use logic, inferiority complex inawatesa Sana washamba

Sent using Jamii Forums mobile app


Kuna binadamu wa ajabu sana,mtu hataki kufanyakazi anakodolea macho ukabila.Majuzi nilikuwa mitaa ya Bondeni basi jamaa mmoja kawajaza watu ujinga eti corona inapukutisha wazungu mwakani lazima waje afrika kutuomba tuhamie Ulaya washabiki wakawa wanashangilia utafikiri majuha.
 
Huu uzi umeufuatilia vizuri 'mzee wa zamani ' Balozi alishatajwa na picha zake zimewekwa, Uzi una pages 1700 na ushee wewe umeishia 881 halafu umesha draw conclusion kazi kwako
JF ni habari nyingine linapokuja swala la kusaka habari,vijana wa leo mnatuangusha sana mpaka sasa nipo post ya 881 hakuna mtu aliweza kusaka jina la Mama Balozi shujaa ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa ame eleza vizur hapPoint number 4&6,hii nchi ilikuwa vitani,
Njia ya kupita ili kujiikoa, ilitegemea usalama upo wapi,
Hebu fikiria Bongo, kuna vita baadhi ya vikosi vimeasi, na unataka kutoka Dar kwenda Dodoma, 466Km,hapo mbezi kuna mapigano makali ,
Ukaamua kutoka Dar ukaenda mpaka lindi, lindi masasi, masasi songea, njombe, makambako, iringa, ukaibuka Dodoma, zaidi ya km 1500!katika hari ya kukwepa balaaa njiani, ukimsimulia mtu kitu Kama hiki anaweza asikuelewe kabisa,


Sent using Jamii Forums mobile app
Umeiweka vizuri
 
Back
Top Bottom