Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Story ni ya kweli ila ameweka codes. Inawezekana walipitia Rusumo ila kaamua kuweka miwani tusimjue ni nani. Yawezekana balozi alikuwa Me, au si mzanzibari. Story yake itabaki kuwa the best.
Hector pia ni mzuri kwenye historia ya Congo nahisi atatumegea mengi yanayohusu Chisekedi.
Point number 4&6,hii nchi ilikuwa vitani,
Njia ya kupita ili kujiikoa, ilitegemea usalama upo wapi,
Hebu fikiria Bongo, kuna vita baadhi ya vikosi vimeasi, na unataka kutoka Dar kwenda Dodoma, 466Km,hapo mbezi kuna mapigano makali ,
Ukaamua kutoka Dar ukaenda mpaka lindi, lindi masasi, masasi songea, njombe, makambako, iringa, ukaibuka Dodoma, zaidi ya km 1500!katika hari ya kukwepa balaaa njiani, ukimsimulia mtu kitu Kama hiki anaweza asikuelewe kabisa,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makubwa! Pia katika post yake ya kwanza kwenye mada hii alisema alisomea stashahada ya uhasibu ila katika post zake katika mada zingine anadai yeye ni fundi umeme na ana degree ya Human Resource Management. Pia katika post hizo hizo zingine anadai yeye akinunua kitu kipya atamwita mtoto wake na kumwambia asikiguse lakini pia atampiga pasipo mtoto kufanya kosa lolote ili mradi tu kumtisha asije akathubutu kugusa hicho kifaa kipya! Huo ni upande wa pili wa msimulizi wetu.
Bossless ameanza kuleta utata. Inawezekana kuna walakini kwenye hii story yake. Labda kadanganya sasa au alidanganya posts za nyuma, Idk which Is which.
Aje kuondoa huu utata please.
 
Mkuu kashasema humu amefanya kazi ubalozini hiyo tu inatosha, haihitajiki maelezo zaidi

Kama mtu anafahamu diplomatic passports huwa wanapewa watu gani nje ya viongozi na kwa sababu gani basi hutatilia shaka simulizi hii na utapata picha mtoa mada anatumikia chombo gani kikubwa cha dola hapa nchini
Kingine mtoa mada ni muislam kwa nilivyomcheki na Feza ni shule ya Waturuki na Waturuki ni Waislamu

Kama member mmoja hapo juu alivyosema kama mtu anafahamu kuhusu usalama wa Taifa basi anajua kuwa si kila kinachoonekana/onyeshwa/semwa ni disclosed , na kama mkuu mtoa mada ni mtu wa TISS hawezi kuongea vitu au kuweka hadharani taarifa za kumjulisha yeye nani tujaribu kukubaliana na hilo
Basi Inawekana names + baadhi ya utambulisho mtoa mada katulambisha joker. Kuna fake details nyingi sana kwenye huu uzi kama mtoa mada atakua ni TISS kweli.
 
Nilishauliza huko nyuma kuna mabalozi wa aina mbili huyo mama yupo kundi gani?

1. Ambassador ‘extraordinary and plenipotentiary’ hawa ndio wale kilasiku tunaona wanaapishwa na kupangiwa nchi za kwenda.

2. Ambassador ‘Charge D’affaires’ hawa wanateuliwa temporarily kutoka wizarani kuwakilisha taifa lao pale ambapo serikari yao inahitaji ushiriki kamili kwenye maswala ya nchi nyingine ambayo hawana ubalozi (kama vile Tanzania ilivyokuwa sehemu ya kutatua mgogoro Rwanda).

Sasa kwakuwa atukuwa na ubalozi Rwanda kabla ya 2000 liko wazi huyo mama alikuwa ni balozi wa aina gani.

"Mshua wangu" alikuwa anafanya kazi Kigali kipindi hicho cha machafuko ya Rwanda na hadi vita rasmi vinaanza bado yeye na watz wenzake walikuwa hapo mjini Kigali....labda nikuhakikishie ofisi za ubalozi wetu zilikuwepo hapo Kigali kitambo kabla ya hiyo mwaka 1994 na hazikuanza hiyo mwaka 2000 unaosema eti kwamba ndiyo TZ ilifungua ubalozi wake Rwanda....Bongo kuna Info nyingi kuhusu nchi hazipo kwenye website za serikali hasahasa za miaka ya nyuma hadi ujiongeze mweyewe ndiyo utazipata
 
Basi Inawekana names + baadhi ya utambulisho mtoa mada katulambisha joker. Kuna fake details nyingi sana kwenye huu uzi kama mtoa mada atakua ni TISS kweli.

Maelezo yake kwamba TZ tulifunga mpaka wetu na Rwanda kipindi cha genocide ikapelekea wao wapitie Burundi border kuna walakini....sababu watz ninaowajua waliokuwepo Rwanda kipindi hicho cha machafuko walirudi Tz kupitia Rusumo border.....kwa ufupi hii story yake ina "coverings" nyingi kwasababu anazozijua yeye mwenyewe...siyo ya kumeza kama ilivyo
 
Mkuu Bossless naomba maelezo yako hapa kwa ufupi.
Natanguliza shukrani.View attachment 1393125
Sasa mkuu mbona unachimbua makaburi ambayo hayapaswi kuchimbuliwa....hizo comments kila mtu anazilopoka tu kutegemea na story ilivyo(kwake yeye alitaka aonekane mtoto wa kishua...si unajua tena feza)

Ila kwa kifupi kila mtu humu ashawahi kudanganya coz anaenijua humu...

Ambae hajawahi kudanganya ashoonye mkuu juu
 
Ulivyoongea Hivyi Imebidi Nikimbie Fasta Nikawaangalie Wanyarandwa Wangu Wawili Wa Enzi Izoo Chuonii...

Kumbee... Lakini Niseme Haka Kahutu Kalikua Karahisi Kukaminya, Ila Huyu Mtutsi Alinisumbua Sanaa Asee [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

ĹMtutsi huwa mrefu hewani au wa wastani.pua ndefu ya kisomali.ngozi nzuri laini.kama ni mwanamke hubeba hipsi za maana.nywele nzuri pia kiufupi huwa ni wenye mvuto.(pisi kali).hutu huwa vijeba .hawana mvuto nywele kipilipili na pua pana.wengi ni weusi tititii..mademu zao vipori[emoji85][emoji85][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app




Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwa maoni yangu
Siasa haina nguvu hasa kwa watanzania
Ni kitu u can change ama kuhama
Yani hamna wafia siasa au chama
Mange alijaribu hii siasa na alifeli
Watanzania were not up to it

Tofauti na powerful forces za ukabila
Kabila ni lako tu u have no choice umezaliwa hapo by default
Ukabila is the strongest force ikifuatiwa na dini mana watu hujitoa mhanga kabisaa kisa imani
then siasa ya mwisho kabisa
Word!

Hivi, nini kilomsibu yule dada jamani.?!
 
Ahsante sana, na pole kwa misukosuko.
Umeyaona mengi hakika!

Wale wazungu hukuwahi kujua ilikuaje nao wakachinjwa.?!
Vipi kuhusu mafuta (Diesel) mlikua mnayapata wapi kujaza kwenye haya malory.?
 
Inasikitisha sana jamani duh, kweli vita visikie kwa watu, kuna siku mtaani kwetu majambazi walivamia ikapigwa chuma moja hewani,dadeq mbn nilirudi nlipotoka. Sasa we we ndugu yangu safari yote hiyo pole sana
 
Jamaa ame eleza vizur hap
Maelezo yake kwamba TZ tulifunga mpaka wetu na Rwanda kipindi cha genocide ikapelekea wao wapitie Burundi border kuna walakini....sababu watz ninaowajua waliokuwepo Rwanda kipindi hicho cha machafuko walirudi Tz kupitia Rusumo border.....kwa ufupi hii story yake ina "coverings" nyingi kwasababu anazozijua yeye mwenyewe...siyo ya kumeza kama ilivyo
Point number 4&6,hii nchi ilikuwa vitani,
Njia ya kupita ili kujiikoa, ilitegemea usalama upo wapi,
Hebu fikiria Bongo, kuna vita baadhi ya vikosi vimeasi, na unataka kutoka Dar kwenda Dodoma, 466Km,hapo mbezi kuna mapigano makali ,
Ukaamua kutoka Dar ukaenda mpaka lindi, lindi masasi, masasi songea, njombe, makambako, iringa, ukaibuka Dodoma, zaidi ya km 1500!katika hari ya kukwepa balaaa njiani, ukimsimulia mtu kitu Kama hiki anaweza asikuelewe kabisa,


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee, hembu tupe kama kuna zaidi ya ile ya kurudishwa kwa watusi home kwao na maomesho mazito ya silaha.
Ndugu, hivi vidude huwa ni vya kupuuza tu mara zote. Huwa vinajiona ni extremely special. Rejea ishu ya Mkwere na PK miaka ya mwishon mwa utawala wa Mkwere unajua kwa nini ulinzi wake uliimarishwa!? Hiki kijamaa kilitaka kuleta upuuzi wake, akapewa onyo kidogo tu akaufyata. Na alijua akishaitwaa Tz bas East Africa yote inakuwa chini yake. Anajua kilichompata mtutsi yule

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kuna access na hizi copy nisaidie mkuu.
ĹHii ni kama testmony tu.story zipo nyingi tu hata kwa survivor wa kinyarwanda.hela ilishapigwa kitambo na kina emaculee ilibagiza " left to tell" ." Virgin marry" ."our laddy from kibeho".pia yule kamanda wa UNAMIR ana kitabu chake. " shake hand with the devil" .muda umekwenda sana sasa.ukileta hizo mambo unamtafuta ubaya PK.hapendiii....

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom