Diana Spencer
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 3,609
- 5,144
Umechanganya madesa mkuu!Ile ID nyingine yenye kifupisho cha W.J uliichinjia baharini mkuu?
Siijui hiyo ID
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umechanganya madesa mkuu!Ile ID nyingine yenye kifupisho cha W.J uliichinjia baharini mkuu?
Walau Picha Yake!
Mbona picha yake ilishawekwa muda kwenye post za nyuma mkuu. Angalia kwenye post # 1,564 na 1,565 utaona picha zake.JF hapaharibiki neno, soon hadi sura ya mama balozi tutaijua. Watu wamesakanya jina mpaka wamelipata, picha yake inakuja soon.
Sent using Jamii Forums mobile app
Makubwa! Pia katika post yake ya kwanza kwenye mada hii alisema alisomea stashahada ya uhasibu ila katika post zake katika mada zingine anadai yeye ni fundi umeme na ana degree ya Human Resource Management. Pia katika post hizo hizo zingine anadai yeye akinunua kitu kipya atamwita mtoto wake na kumwambia asikiguse lakini pia atampiga pasipo mtoto kufanya kosa lolote ili mradi tu kumtisha asije akathubutu kugusa hicho kifaa kipya! Huo ni upande wa pili wa msimulizi wetu.
...🙄🙄🙄...
Kwa maelezo yake mwenyewe alisema alimaliza masomo ya stashahada ya uhasibu mwaka 1989.
Kwa maelezo yake mwenyewe alisema alimaliza masomo ya stashahada ya uhasibu mwaka 1989.
Ukienda kwenye website ya FEZA INTERNATIONAL SCHOOL inaonyesha Feza Boys Secondary School ilianzishwa mwaka 1998 na high school ikaanzishwa mwaka 2005. Nursery ilianzishwa 2001. Sasa kama alimaliza stashahada 1989 hizo Feza Primary hadi Feza High School alizisomea wapi wakati zilikuwa hazijaanzishwa? Na kama msimulizi kaweza kudanganya hivi uhalali wa hii simulizi yake utatoka wapi?
Sawa mkuu. Kwa mantiki hiyo msimulizi atakuwa kaongeza mengine yasiyo kweli au kuficha mengine yaliyo kweli ili kuficha true identity yake. Na sababu kuu ya kuongeza au kuficha hayo ikiwa ni sababu za kiusalama ambapo tafsiri yake pana ni kwamba ukweli wa simulizi yote kama ilivyo hapa ni 50% kwa 50%. Hii ni kwa sababu kama yote aliyoeleza ni kweli kwenye kila kipengele ni wazi kwamba wenzie aliokuwa nao ofisi moja ubalozini ambao wameona hii simulizi yake tayari watakuwa wameshamjua.Mkuu kashasema humu amefanya kazi ubalozini hiyo tu inatosha, haihitajiki maelezo zaidi
Kama mtu anafahamu diplomatic passports huwa wanapewa watu gani nje ya viongozi na kwa sababu gani basi hutatilia shaka simulizi hii na utapata picha mtoa mada anatumikia chombo gani kikubwa cha dola hapa nchini
Kingine mtoa mada ni muislam kwa nilivyomcheki na Feza ni shule ya Waturuki na Waturuki ni Waislamu
Kama member mmoja hapo juu alivyosema kama mtu anafahamu kuhusu usalama wa Taifa basi anajua kuwa si kila kinachoonekana/onyeshwa/semwa ni disclosed , na kama mkuu mtoa mada ni mtu wa TISS hawezi kuongea vitu au kuweka hadharani taarifa za kumjulisha yeye nani tujaribu kukubaliana na hilo
Duuh! Mtoa Mada Bossless ufafanuzi please. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha inauma sanaPole sana mkuu maana inauma. Sijui wakati huo ulipokwenda huko na kumtafuta tayari huku nyumbani ulikuwa umeshampata shemeji yetu au ulikuwa bado? Ulitaka ukajikumbushie kidogo kwa mtoto wa kitutsi?
Mbona rahisi sana kuwagundua hao watuUnatambuaje kuwa huyu kabila hii huyu kabila hii?
Mtutsi pure yule wajihi wake unatoka kumtambulishaHivi yule mwanamuziki alikuwa mhutu au tutsi?
Hivi mmatumbi ni kabila gani hapa Tanzania maana nimesikia Sana.Mbona rahisi sana kuwagundua hao watu
Watutsi huwa na sura ndefu,pua ndefu midomo midogo yenye lips pana warefu kwa kimo .
Mhutu ni mbantu kabisa mhutu Hana tofauti sana na mmatumbi
Sent using Jamii Forums mobile app
Akina kayumba nywamwasa,Patrick karegeya, Theodore Rudasingwa watutsi wenzake anawasaka awamalizeNdio hivo mkuu, kagame siku hzi haangalii cha kabila ukimgusa tu anapaa na wwe
Ni kabila la mkoa wa PwaniHivi mmatumbi ni kabila gani hapa Tanzania maana nimesikia Sana.
KilwaHivi mmatumbi ni kabila gani hapa Tanzania maana nimesikia Sana.