Sinywi pombe Sinywi soda! Ninywe nini nikiwa bar

Sema tu we ni mlevi hutaki kuacha pombe na unaona hasara kukaa bar bila kunywa. Kwa nini sasa unaenda Bar kama huwezi vumilia?
 
Kuna pisi kibao maeneo hayo utakunywa mate yao
 
Mkuu ukifika bar wenzako wakiwa wanapiga Gambe, we angaza angaza macho ukiona kuna malaya yoyote chukua kapige short time afu unarudi, ukikaa kidogo unatafuta mwingine tena, hivyo hivyo mpaka time ya kuondoka
Mkuu USA kajitoa WHO, tunakumbushana tu
 
Nakosa namna ya kukusaidia

Stay home stay safe
 
Serenget larger haipandishi sukari kuna mtu ana sukari anakunywa hiyo na haipandii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…