Mburia
JF-Expert Member
- Jul 15, 2022
- 2,369
- 3,488
Gonga Bavaria, wine isiyo na alcohol etc hizo energy drink achana nazo aisee...Bar ndio kwenye michongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gonga Bavaria, wine isiyo na alcohol etc hizo energy drink achana nazo aisee...Bar ndio kwenye michongo
Baltika mpaka aje kuizoea duuhKunywa baktika au tonic water na ka limao au hill water ile sparkling mineral water
Bar za Arusha kuna wamama wanauza chai,vitimbi, uji wa ulezi daaah 😀akili huna ww😂😂
Piga BalticaWakuu Nimeamua kuacha pombe kutokana na matatizo ya kiafya.
Lakini soda pia niliQuite tangu 2020.
Sasa napata changamoto nikienda Bar unakuta siwezi kukaa na kampani ya washikaji maana wenzio wanakunywa we unatoa macho.
Hivi ndo nilikuwa natumia lakini naona siyo kabisa
1. Maji
Aisee haya huwezi kunywa saa moja
2.Grand malta
-Hii inanikera inaleta nzi, mapovu kibao
3.Maji na Energy
Nzuri sana unakuwa na kavibe lakini shida haya maenegy kunywa energy mbili si kiaafya siyo poa naona nakunywa sana…
Hebu nipeni vinywaji vinavyoburudisha bila ya kileo
Kwann mkuu? nimeonesha dalili gan kwanUmeanza kuchanganyikiwa
tabu tupu yaanSwali zuri, majibu ya kimasihara
atleastPiga Baltica
Huko sijafika kakaBar za Arusha kuna wamama wanauza chai,vitimbi, uji wa ulezi daaah 😀
ni chungu?Baltika mpaka aje kuizoea duuh
kuna wine isiyo na alkoholiGonga Bavaria, wine isiyo na alcohol etc hizo energy drink achana nazo aisee...
Mshangae huyo nae😂😂Kwani mke sianae analindaje geto🤣🤣
Vuta bangi utakuja kunishukuru baadaeWakuu Nimeamua kuacha pombe kutokana na matatizo ya kiafya.
Lakini soda pia niliQuite tangu 2020.
Sasa napata changamoto nikienda Bar unakuta siwezi kukaa na kampani ya washikaji maana wenzio wanakunywa we unatoa macho.
Hivi ndo nilikuwa natumia lakini naona siyo kabisa
1. Maji
Aisee haya huwezi kunywa saa moja
2.Grand malta
-Hii inanikera inaleta nzi, mapovu kibao
3.Maji na Energy
Nzuri sana unakuwa na kavibe lakini shida haya maenegy kunywa energy mbili si kiaafya siyo poa naona nakunywa sana…
Hebu nipeni vinywaji vinavyoburudisha bila ya kileo
Kunywa kahawa,hunywi sasa bar unafuata nini,basi uwe unakunywa shisha.Wakuu Nimeamua kuacha pombe kutokana na matatizo ya kiafya.
Lakini soda pia niliQuite tangu 2020.
Sasa napata changamoto nikienda Bar unakuta siwezi kukaa na kampani ya washikaji maana wenzio wanakunywa we unatoa macho.
Hivi ndo nilikuwa natumia lakini naona siyo kabisa
1. Maji
Aisee haya huwezi kunywa saa moja
2.Grand malta
-Hii inanikera inaleta nzi, mapovu kibao
3.Maji na Energy
Nzuri sana unakuwa na kavibe lakini shida haya maenegy kunywa energy mbili si kiaafya siyo poa naona nakunywa sana…
Hebu nipeni vinywaji vinavyoburudisha bila ya kileo
Yes...kuna shampen ambazo ni non alcoholkuna wine isiyo na alkoholi