Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,160
- 5,728
Bar hapakufai tena baki nyumbani tuu umsaidie shemeji kukuna nazi mkisubilia eltuguli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi thijuagiKwani wewe hujui 😹😹😹
Tafuta hii, kuna wakti nilikuwa naziona kwenye baadhi ya barheee
Agiza Baltika. Ni bia ya kirusi yenye Zero alm.
Kunywa mineral water ni nzuri sana kwa tumbo lako. Kwa jina tulozea hapa kwetu tunaiita club sodaWakuu Nimeamua kuacha pombe kutokana na matatizo ya kiafya.
Lakini soda pia niliQuite tangu 2020.
Sasa napata changamoto nikienda Bar unakuta siwezi kukaa na kampani ya washikaji maana wenzio wanakunywa we unatoa macho.
Hivi ndo nilikuwa natumia lakini naona siyo kabisa
1. Maji
Aisee haya huwezi kunywa saa moja
2.Grand malta
-Hii inanikera inaleta nzi, mapovu kibao
3.Maji na Energy
Nzuri sana unakuwa na kavibe lakini shida haya maenegy kunywa energy mbili si kiaafya siyo poa naona nakunywa sana…
Hebu nipeni vinywaji vinavyoburudisha bila ya kileo
club soda aisee mm mgeniKunywa mineral water ni nzuri sana kwa tumbo lako. Kwa jina tulozea hapa kwetu tunaiita club soda
haya mkuuTafuta hii, kuna wakti nilikuwa naziona kwenye baadhi ya bar
View attachment 3044064
Alinde ghetto tuWe siubaki nyumbani bar unafata nini
duuhAlinde ghetto tu
aiseeNunua togwa Yako nenda nayo bar
✅😂😂Piga bwège ukifika bar unang'aa ng'aa sharubu,uku unàngalia soka,uku mida inaenda,hujanywa maji wala energy.
uko wapKunywa Uhai..
Mashariki ya mbali...uko wap
Kwani mke sianae analindaje geto🤣🤣Alinde ghetto tu