Hapo kwenye kupika porini nimekuelewa sana aisee, inasaidia sana kuondoa stressSema ushauri bure... Achana na bar... Kama ni stress jaribu kupunguza kwa njia nyingine... Tembea tembea kidogo... Jaribu kupika mwenyewe porini au Sehemu yoyote yenye kaupepo una forget kama kuna shida atleast for some hours
Uhuuu....hujui..kwani hela zisipoisha utawaza kutafuta..zingine...?Na mpa pole yake jombaa..Bia tamu..inachajisha akili ...inavyo blink blink ukiimimina kwenye glass. na akili ina blink hivyo hivyo...unawaza kufanya madili ya hela kubwa kubwaHivi kwer et🤔
Usipende kabisa BarWakuu Nimeamua kuacha pombe kutokana na matatizo ya kiafya.
Lakini soda pia niliQuite tangu 2020.
Sasa napata changamoto nikienda Bar unakuta siwezi kukaa na kampani ya washikaji maana wenzio wanakunywa we unatoa macho.
Hivi ndo nilikuwa natumia lakini naona siyo kabisa
1. Maji
Aisee haya huwezi kunywa saa moja
2.Grand malta
-Hii inanikera inaleta nzi, mapovu kibao
3.Maji na Energy
Nzuri sana unakuwa na kavibe lakini shida haya maenegy kunywa energy mbili si kiaafya siyo poa naona nakunywa sana…
Hebu nipeni vinywaji vinavyoburudisha bila ya kileo
Bavaria 😊😋Wakuu Nimeamua kuacha pombe kutokana na matatizo ya kiafya.
Lakini soda pia niliQuite tangu 2020.
Sasa napata changamoto nikienda Bar unakuta siwezi kukaa na kampani ya washikaji maana wenzio wanakunywa we unatoa macho.
Hivi ndo nilikuwa natumia lakini naona siyo kabisa
1. Maji
Aisee haya huwezi kunywa saa moja
2.Grand malta
-Hii inanikera inaleta nzi, mapovu kibao
3.Maji na Energy
Nzuri sana unakuwa na kavibe lakini shida haya maenegy kunywa energy mbili si kiaafya siyo poa naona nakunywa sana…
Hebu nipeni vinywaji vinavyoburudisha bila ya kileo
Tonic Water iko poa sanaKunywa baktika au tonic water na ka limao au hill water ile sparkling mineral water
Kunywa ChaiWakuu Nimeamua kuacha pombe kutokana na matatizo ya kiafya.
Lakini soda pia niliQuite tangu 2020.
Sasa napata changamoto nikienda Bar unakuta siwezi kukaa na kampani ya washikaji maana wenzio wanakunywa we unatoa macho.
Hivi ndo nilikuwa natumia lakini naona siyo kabisa
1. Maji
Aisee haya huwezi kunywa saa moja
2.Grand malta
-Hii inanikera inaleta nzi, mapovu kibao
3.Maji na Energy
Nzuri sana unakuwa na kavibe lakini shida haya maenegy kunywa energy mbili si kiaafya siyo poa naona nakunywa sana…
Hebu nipeni vinywaji vinavyoburudisha bila ya kileo
Alooooh!🤣Uhuuu....hujui..kwani hela zisipoisha utawaza kutafuta..zingine...?Na mpa pole yake jombaa..Bia tamu..inachajisha akili ...inavyo blink blink ukiimimina kwenye glass. na akili ina blink hivyo hivyo...unawaza kufanya madili ya hela kubwa kubwa
hizo bar za wapKunywa mtindi
Akauweke AmarulaNenda na uji kwenye themosi mkuu.
Mke ndio aende na washikajiKwani mke sianae analindaje geto🤣🤣
Shida yake akinywa kinywaji chochote alewe lkn sio pombe yaani hata kama ni maji lkn yeye alewe kama wenzie.Agiza Baltika. Ni bia ya kirusi yenye Zero alcohol.
pombe hiyoAkauweke Amarula
sasa unalewaje majiShida yake akinywa kinywaji chochote alewe lkn sio pombe yaani hata kama ni maji lkn yeye alewe kama wenzie.
😂😂😂huna akiliMke ndio aende na washikaji