Sinza, Dar: La Chaaz Bar yateketea kwa moto

Nashangaa wanaosema 1B, kwa uwekezaji gani pale lachaz, jamani unaijua 1B?
 
Ha ha ha....we kumbe hugusi hard drinks eeh, basi ndo maana[emoji848]

Sasa nimekuelewa
 
Kwa wadada sio nzur sana...mdada anatakiwa kuwa ametulia ...

Na sie wanaume hatupend mdada awe kiruka njia..na ndomana huwa hatuwaoi wale tunaokutana nao maeneo kama ya huko tunaoa wale home girl.church girl etc
Ha ha ha ha ha kwahiyo nani atawao hao wenzetu jamani.. si kila mmoja ataoa wa kufanana nae? Kwani nyie machurch boys? [emoji23][emoji23][emoji23] pooh mbaka
 
Ukimaliza ile bar jirani na BIGBON kuna vyumba vya show then kuna njia inaingia kulia ukimaliza frem zile kuna michongoma kuna site moja guest bubu unaipata?
Looh.... najulia wapi?? Miye napenda sehemu tulivu kwaajili ya kula tu. I love foodie[emoji3059][emoji3059]
Some fresh juice[emoji91][emoji91]
 
Sawa mama la mama[emoji119]
 
Yale malive band dj mixing nayo yalizidisha makelele maana huwezi punguza sauti
 
Hii ni kweli tunazidi mtia hatiani asee, may be ni watu wamampigia kiberiti huko nyuma maana pale fitina kama yotee
 
Unafosi tuu kaka....ule usemi wa force tuu mpaka itiki umeusahau...we huon skuhiz wana weng maeneo wanakunywa ngumu...

Mim nikienda mahala sabab sijaoa..80% ya mim kuwa hapo ni women..na 20% ni michongo.hahahahha
Fake fake everything till u make it...[emoji23][emoji23][emoji16]

Wazungu wajinga
 
Hii ni kweli tunazidi mtia hatiani asee, may be ni watu wamampigia kiberiti huko nyuma maana pale fitina kama yotee
Yaaniii. Kuna mipango yake alikua nayo maskini ndo naona sasa inaenda kufa. Maana bank iko mdomoni marejesho. Bima ndo hivi kila mtu anachonga. Na hapo alipo kabaki mweupeee. Mimi sitaki kuwa negative saana kaichoma. Akajiweke kwenye risk yote hii? Presha za marejesho[emoji119][emoji119][emoji119]
 
We ntakuwa nakufahamu[emoji848][emoji848]
 
Huhuhuuuhuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Ngoja tuone kifuatacho...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…