witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]Maison ni Club mkuu sio pombe [emoji2]
Soma izo hapoView attachment 1718683
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]Maison ni Club mkuu sio pombe [emoji2]
Soma izo hapoView attachment 1718683
Hiyo hela naingiaga nayo hapo La charz na hata samaki samaki.. viwanja vingi sana hiyo ndio pesa yangu pendwaMkoani hiyo ni kubwa sana desperado 6 18000,10000 mbuzi potion 2 mafuta kwa gari 20!lol
Daaaah! Kumbe, nilifikiri ni kinywajiMaison ni Club mkuu sio pombe [emoji2]
Soma izo hapoView attachment 1718683
Ha ha ha wewe Mzee soma uendelee na mambo mengine! Vijana hutawaweza! Anamaliza m7 kwenye baa ya uswahilini!
Bil 1 inaweza kuwa ndogo au kubwa kutegemea unafanya shughuli gani.Narudia tena kusema 1 billion ni ndogo kwenye uwekezaji, ingawa thamani yake ni kubwa. Na huko mbeleni kama uchumi wa dunia hauto imarika vyema itakuwa utopolo kabisa hasa kwa wekezaji, maana ma vitu yana panda bei, sitoshangaa miaka kadhaa mbeleni mtu kuniambia ametumia zaidi ya 3 billionkwa club kama La chalz
Situmii kabisa hizo mambo hizo. Siku moja moja nachukuaga Chamdor, ambayo ni 40 nabaki ka elfu narudi nayo home, ila huwa nahakikisha haizidi elfu 50 na hapo nahapo mtu akinipiga mzinga nampa buku ya maji..Ha ha ha....we kumbe hugusi hard drinks eeh, basi ndo maana[emoji848]
Sasa nimekuelewa
Matukio ni meng[emoji16]Kwanini mwoga?[emoji23][emoji23][emoji23]
1billion ni hela nyingi sana, hili halina ubishi. Ila kuna kazi ukiitupia hiyo hela lazima ushangae mwenyewe, mbona i akatika kama laki tano 😀😀😀Bil 1 inaweza kuwa ndogo au kubwa kutegemea unafanya shughuli gani.
Kuna yule mwarabu wa rukwa aliyekuwa anamiliki mabasi ya sumry aliwahi kuhojiwa alisema amenunua mashine mbili kwa ajili ya kuvuna mahindi na kukoboa mahindi na kila mashine imegharimu million 600,jumla ametumia bil 1.2
Kuna mwamba mmoja mbeya mbarali ni mkulima wa mchele alifukia chini mil 400 hivi,mifano ipo mingi tu
Kifupi Kama unapokea mshaara lazima uone bil 1 ni nyingi lakini kama ni mfanyabiashara bil 1 ni pesa ndogo
Binafsi ni mwajiriwa naweza kusema bil 1 ni pesa kubwa mno
Hahahahahha...tulia tuliaWe ntakuwa nakufahamu[emoji848][emoji848]
Eeeh buana[emoji1]Huhuhuuuhuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]
Na ndio maana nimeuliza hawa wanaosema bilioni moja ni ndogo humu wamewekeza au wana bilioni ngapi?! Sasa mtu leo ukishtuliwa tu 10m haraka haraka huna na wewe unavimba eti bilioni moja ni hela ndogo sana!Bil 1 inaweza kuwa ndogo au kubwa kutegemea unafanya shughuli gani.
Kuna yule mwarabu wa rukwa aliyekuwa anamiliki mabasi ya sumry aliwahi kuhojiwa alisema amenunua mashine mbili kwa ajili ya kuvuna mahindi na kukoboa mahindi na kila mashine imegharimu million 600,jumla ametumia bil 1.2
Kuna mwamba mmoja mbeya mbarali ni mkulima wa mchele alifukia chini mil 400 hivi,mifano ipo mingi tu
Kifupi Kama unapokea mshaara lazima uone bil 1 ni nyingi lakini kama ni mfanyabiashara bil 1 ni pesa ndogo
Binafsi ni mwajiriwa naweza kusema bil 1 ni pesa kubwa mno
Usicheke.hahahaHuhuhuuuhuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]
Usema kwelo nilitakaga kumla nilikuwa nakutana nae sana hotel flani.. alafu nilikuwa nikiwaza hela yangu roho yaumaHuhuhuuuhuu...kama kala mbona kitanuka[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]
Akili za kibongo hizi mazee, uwivu na husda kama mishetani, unasema bora? Unajua wangapi wamepoteza ajira hapo, ona na likes mingi ulivoipata, wabongo tuna shida kubwa sana manina.Bora iteketee tu maana yule mchaga wa La chaaz kala hela zangu saana.
In life you win some... You lose some!
Motivational speaker hao wakisoma jarida za Forbes iyo bil 1 ni ndogo kwao ila wakishamaliza kusoma jarida la Forbes akili zinawarudia wanaanza kugongea buku.Na ndio maana nimeuliza hawa wanaosema bilioni moja ni ndogo humu wamewekeza au wana bilioni ngapi?! Sasa mtu leo ukishtuliwa tu 10m haraka haraka huna na wewe unavimba eti bilioni moja ni hela ndogo sana!
Hasara mnoooo....Nini faida sasa uliyopata baada ya La Chaaz kuteketea?
😀😀😀.. mkuu hapa ni tafsiri ndio imechangesha, hatusemi ni hela ndogo kama kwa udodo wa thamani yake, tunasemea kwa uwekezaji kama ule. Mie kipindi nipo nafurukuta na bado nafurukuta kutoka, nilikuwa nashangaa sana 1 billion, ila nikapata nafasi ya kufanya mradi na mie nikiwa kama head na muidhinisha wa hiyo pesa, hadi nilishangaaa hela ilivyokatika. Hapa tunazungumzia kwenye picha ya uwekezaji.. mie ukinipa hiyo Billion sasa hivi naenda kabisa kuchukua E 450 na sio tena E 350.. na kuvimba na vimba, huenda na club ningeongeza niwe naenda hata na elfu 70, badala ya 50Na ndio maana nimeuliza hawa wanaosema bilioni moja ni ndogo humu wamewekeza au wana bilioni ngapi?! Sasa mtu leo ukishtuliwa tu 10m haraka haraka huna na wewe unavimba eti bilioni moja ni hela ndogo sana!
Duh kwahio umekuwa kama mfanyakazi wa bank kumdharau mwenye 1b kisa ana manage akaunti za wenye 100b. Kwa mustakabali huu uko sahihi.😀😀😀.. mkuu hapa ni tafsiri ndio imechangesha, hatusemi ni hela ndogo kama kwa udodo wa thamani yake, tunasemea kwa uwekezaji kama ule. Mie kipindi nipo nafurukuta na bado nafurukuta kutoka, nilikuwa nashangaa sana 1 billion, ila nikapata nafasi ya kufanya mradi na mie nikiwa kama head na muidhinisha wa hiyo pesa, hadi nilishangaaa hela ilivyokatika. Hapa tunazungumzia kwenye picha ya uwekezaji.. mie ukinipa hiyo Billion sasa hivi naenda kabisa kuchukua E 450 na sio tena E 350.. na kuvimba na vimba, huenda na club ningeongeza niwe naenda hata na elfu 70, badala ya 50
Bado hujapata point yangu mkuu. 1 billion ni hela nyingi sana na duniani popote ni hela nyingi sana, sijadharau mwenye 1 billion, na sijawahi kudharau kiasi chochote cha pesa, mie kwangu hata elfu moja ina thamani kubwa. Point ya kusema udogo wake ni ile uwekezaji wake, kuna aiana ya uwekezaji hiyo hela inakuwa ni ndoto kulinga na thamani ya alipowekeza. Nafikiri ni ngumu kweli kupata point yangu, usha amua kuona kwamba naidharau billion au naiona ndogo. Kitu ambacho ni tofauti na mawazo yangu.Duh kwahio umekuwa kama mfanyakazi wa bank kumdharau mwenye 1b kisa ana manage akaunti za wenye 100b. Kwa mustakabali huu uko sahihi.